habari zenu wandugu poleni na pilikapilika za xmas, naombeni kujua kama 24 wamesharelease new season katika series yao as nimekuwa nikiona advertisements ITV abt the coming 24 ambayo binafsi hizo...
Jana VINEGA wa Antivirus wakiongozwa na kinega mwandamizi SUGU (joseph wa sae),walidhihirisha kuwa hiphop bado ipo juu na haiwezi kufa kama baadhi ya wadau wanavyodai,Vinega waliingia uwanja wa...
Ni mji pekee baa na pubs hazifungwi kwa muda uliowekwa kisheria. Polisi wako bize na CDM tuuu na rushwa zinazowafanya wasahau kuwa sheria hii ina maana. Source Mfamaji.
wadau nipo ndan ya mby for x mass nimekutana na show ya aunt virus ambayo inafanyika leo kuanzia saa 10 had saa 6 lakin kutokana na mvua zinazonyesha katika jii hili inaelekea wakapata mswak coz...
Ni mji pekee baa na pubs hazifungwi kwa muda uliowekwa kisheria. Polisi wako bize na CDM tuuu na rushwa zinazowafanya wasahau kuwa sheria hii ina maana. Source Mfamaji.
Christmas is a day created by capitalists to increase public spending. HALLOWEEN NIGHTS, BEER FESTIVALS, MOTHERS' DAYS ETC ETC. Do we need all those? A peasant unlike celebrities spends an...
Tembelea www.rogers.wen.ru utapata Nyimbo mpyaaaa za Bongoflava,Injili(Gospel),Hip hop. Pia utapata Kaswida,Bakulutu,Nyimbo Za zamani za Bongo and much More Visit www.rogers.wen.ru
Kwa Mheshimiwa
Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo.
WIZI WA KAZI ZA SANAA.
Mheshimiwa nategemea usalama na unaendelea vizuri na kazi. Mimi si mgeni kwako, nimeshafika ofisini kwako...
WanaJF,
Naomba kupata tafsiri ya nyimbo zilizomo katika albam ya Makhirikiri iliyoandaliwa na Wabotswana. Tafsiri inaweza kuwa ya kiswahili au hata kiingereza.
Natanguliza shukrani.
MpigaKelele.
Msanii wa kizazi kipya kutoka Arusha maarufu kwa jina la JCB amewaomba msamaha waislamu wote kutokana na kutunga wimbo wenye baadhi ya mistari ya Quran. Kitendo hicho kiliwaudhi waislamu na...
Kati ya wanamuziki ambao wananishangaza ni John Kitime, ameweza kuwa na blog za muziki ambazo zina taarifa nyingi ambazo zingekuwa mali sana kama wanamuziki wenzie wangweza kuzisoma lakini naona...
Kwa wale ambao mmeshasikiliza Wimbo mpya wa TMK unaoitwa KICHWA KINAUMA msikilizeni virusi Chegge Mashairi yake yanaendana na kilio cha VINEGA....ingawa sidhani kama Chegge yupo kwenye movement ya...
By Billie Odidi
THE EAST AFRICAN
Posted Monday, December 12 2011 at 00:00
The years after independence in 1960s and 70s witnessed a boom in East African music driven by...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.