only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Hallo wanaJF,
Hakuna atakayepinga kuwa kwa miaka ya karibuni bendi ya Twanga Pepeta chini ya ASET imekuwa ikifanya vyema kiasi cha kuzifunika bendi zilizojaza wakongo kama FM Academia na nyinginezo..Hakika uwezi taja mafanikio ya Twanga Pepeta bila kumtaja Mama Asha Baraka aka Iron Lady,huyu mama amekuwa mstari wa mbele kulisukuma gurudumu la ASET..Lakini upepo umeanza kuvuma vibaya kwasasa,wanamuziki wengi wanaikimbia hii bendi na katika siku za karibuni zaidi ya wanamuziki 10 wameikimbia mfano Fargeson,Chalz Baba,Liliani Internet,nyamwela,ally akida na wengine wengi..na hawa wengi wanaenda kwenye bendi pinzani za Twanga Pepeta kama Extra Bongo,Akudo nk...Je,huu si mpango madhubuti wa kumuangusha huyu mama jasiri? Au ni ushindani katika biashara.
Hakuna atakayepinga kuwa kwa miaka ya karibuni bendi ya Twanga Pepeta chini ya ASET imekuwa ikifanya vyema kiasi cha kuzifunika bendi zilizojaza wakongo kama FM Academia na nyinginezo..Hakika uwezi taja mafanikio ya Twanga Pepeta bila kumtaja Mama Asha Baraka aka Iron Lady,huyu mama amekuwa mstari wa mbele kulisukuma gurudumu la ASET..Lakini upepo umeanza kuvuma vibaya kwasasa,wanamuziki wengi wanaikimbia hii bendi na katika siku za karibuni zaidi ya wanamuziki 10 wameikimbia mfano Fargeson,Chalz Baba,Liliani Internet,nyamwela,ally akida na wengine wengi..na hawa wengi wanaenda kwenye bendi pinzani za Twanga Pepeta kama Extra Bongo,Akudo nk...Je,huu si mpango madhubuti wa kumuangusha huyu mama jasiri? Au ni ushindani katika biashara.