ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Natizama TBC 1 leo tarehe 10.03.2012 jumamosi asuhbuhi ambapo kuna mwanamziki chipukizi wa maadhi ya Zainabu anahojiwa akijitamnulisha kwa mara ya kwanza. Anamziki aliofanya ft na Kingwendu.
Meneja wa Mwanamziki huyu ni Mwandishi wa Habari wa Jambo leo, Asha Kigundula. Kwa kumtizama tu huyu Meneja ni kama upeo wake ni mdogo sana kwenye masuala ya usimamizi wa kazi za usanii..hata kujieleza imekuwa ni shida sana, anaongea hata apangilii maneno ya kuwezesha kumnadi vizuri msanii huyu mchanga,..sijui kama anafahamu nafasi yake..sijajua vigezo vinavyotumika kwa wasanii kuteua ma Meneja. Pengine wengine wanakuwa ni "ma demeja"
Meneja wa Mwanamziki huyu ni Mwandishi wa Habari wa Jambo leo, Asha Kigundula. Kwa kumtizama tu huyu Meneja ni kama upeo wake ni mdogo sana kwenye masuala ya usimamizi wa kazi za usanii..hata kujieleza imekuwa ni shida sana, anaongea hata apangilii maneno ya kuwezesha kumnadi vizuri msanii huyu mchanga,..sijui kama anafahamu nafasi yake..sijajua vigezo vinavyotumika kwa wasanii kuteua ma Meneja. Pengine wengine wanakuwa ni "ma demeja"