Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wakuu katika kupitia mtandao nimektana na radio hii inaniwekea miziki mizuri sana inanikumbusha enzi zetu. kwa wale vijana wa zamani kama mimi link hii hapa: Radio Asante! - Jackson 5 - I Want...
1 Reactions
0 Replies
729 Views
ubunifu ni kitu pekee kinachoweza kuitofautisha brand moja hadi nyingine/kampuni nyingine ambazo/yo inatoa huduma zinazolingana/fanana. Nirudi kwenye topic,sina shaka na uwezo wa clouds media...
4 Reactions
88 Replies
11K Views
Ni kwa tani yako @ www.rahatz.com click hapa kuiona
0 Reactions
0 Replies
49K Views
Hii kitu coke studio iko poa sana, jamaa wamejipanga na wanaweka vionjo vya aina yake lazima mtu uipende tu. Hivi inafanyikiwa nchi gani wakuu? Bongo inawakilishwa na Diamond, Lady Jaydee...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Salaam, Zamani sana nilikua mpenzi wa nyimbo za mwambao wa pwani (taarab) na kikubwa nilivutika na tungo za wasanii mahiri wa mziki huo zamani kama kina marehemu mzee Issa matona, Siti bint Saad...
4 Reactions
33 Replies
27K Views
Mkenya, Lupita Nyong’o atwaa tuzo ya Hollywood Vipi kwa wasanii wetu wakibongo ? hasa wa kike au wao kazi ni kukaa na kupiga picha za uchi na kuzisambaza mitandaoni? na kugawa uroda bila...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Dear wapendwa I hope mu wazima: Nina dukuduku I know kuwa as watanzania tunatakiwa kuonyesha uzalendo kwa kusupport kazi za watanzania wenzetu. Leo MwanajamiiOne nazungumzia swala zima la...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Kwa wale wapenzi wa movies... any idea wapi naweza kupata movie hii?
0 Reactions
1 Replies
823 Views
ile series bora zaidi kuwahi kutokea ya 24 itarudi tena mwakani ambapo jack bauer ataigiza series nyingine itakayoitwa live another day, dah naisubiri kwa hamu sana
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nyimbo naipenda sana.Munishi mkali sanaaaaa,akifuatiwa na Jangala son,Dungwa sindano ninouma,
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Tazama video mpya kutoka kwa mwanadada Baby Madaha katika wimbo unaojulikana kwa jina la Squeeze me tight. http://youtu.be/FxEHS2dBKpc
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mara Clara Ndo Drama ya aina yake kuwahi kuigizwa nchini Pilipine,na hii drama iliyo anza kuyweshwa 2010 nchini Philipine ndo Bora kabs uwahi kigizwa mpaka leo hii
0 Reactions
40 Replies
15K Views
Download bure nyimbo za kibongo na za mbele kwa tani yako just go here bongomp3.xtgem.com
2 Reactions
10 Replies
85K Views
Daah kiukweli nilitegemea mwaka huu itakuwa babu kubwa tamasha la Fiesta kuwa angalau tutamuona P. Didy au tuamuona Rihana vile. Ila kiukweli hawa Clouds tamasha lao mwaka huu wamechemka. Kuleta...
2 Reactions
35 Replies
5K Views
Jikubushe simulizi murwa za Arabian Nights The Arabian Nights' Entertainments (Lang): The Adventures of Haroun-al-Raschid, Caliph of Bagdad
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Update 26th October 2013: 1st eviction night, Uganda's undercover Brothers and Kenya's Mishel are Out!! Update: Poor Tanzanians! two are evicted! We're left only with Hisia and That pretty...
0 Reactions
336 Replies
21K Views
habari wakuu, wapenzi wote wa wwe hapa ndio kwetu tufundishane tucheke sote na kufurahi sote na husijaribu majumbani kwetu, leo kuna specials events kuanzia saa nane mpaka 11 ndani ya etv...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Huu wimbo umewekwa jana Youtube, ila leo tayari umeshaangaliwa na watu zaidi ya milioni moja na nusu..... Ni katika kampeni ya Wanawake wa Saudi Arabia kuwa wanaendesha wenyewe magari.....
0 Reactions
0 Replies
992 Views
Baada ya jana maelfu ya wapenda burudani kukatizwa na na itilafu ya umeme iliyojitokeza kwenye moja ya jenereta na kufanya umeme kukatika uwanjani, na kufanya baadhi ya wasanii kama Mahombi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom