Habari zenu wadau,
Wakuu kama kuna mtu anayo hii series ya wa Korea, tafadhari naomba msaada tutani. Nimejaribu kununua CDs lakini zote ubora wake F, so kwa yeyote mwenye anazo downloaded files...
Leo nimekabidhiwa BARCODE yangu na shirika la GS1 TANZANIA , Hii itaniwezesha kuweza kutanua zaidi wigo wa soko la Muziki wangu na kuwafikia mashabiki wangu sehemu mbali mbali duniani na...
MONIFERE by GOZBY ft VANESSA MDEE & JUX
Kwangu mimi wimbo huu unaweza kuchezwa popote Africa, nilipousikia mara ya kwanza (last weekend nikiwa Botwana) sikujua kama ni bongo flava. Kama hujawahi...
MUGAMBO IS pleased! ( Mwigembo kushwaaah) haha hii muvu inanikumbusha mbali enz zile kijijn kwetu kulikuwa hakuna TV isipokuwa kwa waarabu tuh sasa hapo ilikuwa nikwenda kutazama Muvi adi tym ya...
Nimeshawahi kuanhalia movie moja inaitwa the notebook kiukweli mimevutiwa sana na aina hii ya movie, wadau nisaidieni majina ya nyingine kama kumi nizitafute. Natanguliza shukrani.
HER DIARY
Tonight I thought he was acting weird.
We had made plans to meet at a bar to have a drink. I was shopping with my friends all day long, so I thought he was upset at the fact that I...
Habari wana jamvi,
Nianze kwa salamu (Asalamu Aleykum) kwani nilipotea siku nyingi sana katika ulimwengu huu.
Nimerudi upya kuendeleza libeneke, leo ningependa kupata maoni na ufahamu juu ya...
Jifunze namna yakuandika PERFORMANCE CONTRACT ili mpunguze malalamiko yakuibiwa kila siku na mapromoter wenu, Ingia kwenye LINK hii hapa chini itakusaidia kupata PERFORMANCE CONTRACT DETAIL...
Jamani hivi kwenye huu wimbo Diamond - Nataka Kulewa - YouTube, anaposema amwage radhi lengo lake ni nini haswa, kwani ninavyojua kumwaka radhi ni kuvua nguo mbele za watu/ ya mtu, na akiwa...
Khabar zenu wadau! 1) me ni mgeni bmnmevutiwa na hii forum, naomba mnipokee. 2) naomba nisaidiwe kupata hii tamthilia ya kifilipino 'The long wait',mwenye nayo plzzzz,nkidownload hamna...
wana jf, kama mjuavyo kuhusu azam tv walisema mwezi wa kumi, wataanza rasmi kuuza visimbuzi vyao; leo ni tarehe 3 kipo kimya mpaka sasa, ni changa la macho ama?? manake maneno mengi halafu vitendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.