Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

habari kipindi cha nyuma actualy miaka ya 2000 i was young kuna movie ilikua inavuma ila sikubahatika kuiangalia, sina uhakika na jina la hiyo movie ila nadhani ilikua inaitwa DIAPERING ACT...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa jinsi ilivyokuwa kali ile nyimbo,sikudhani hata mara moja kama Godzillah angefanya video mbovu kiasi kile! Kwa jinsi nyimbo ilivyokuwa na mdundo wa maana,mdundo wa kitemi,mdundo wa hip hop...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wazee mwenye kuujua ule wimbo wa ''edigar mchizi wangu sintamuona tenaaa....'' uliimbwa na nani na unaitwaje?? msaada tafadhali, mi sio mtu kusikiliza mziki mara kwa mara lakini nimeusikia mara 1...
0 Reactions
4 Replies
10K Views
Wadau Hili tamasha la Gurumo 53 lilishafanyika pale Sigara kama lilivyotangazwa?. sijapata ona habari zake popote
0 Reactions
0 Replies
718 Views
Msaada bandungu nahitaji decoder iliyotajwa hapo juu yeyote anayeweza kunipa maelekezo ya kuipata
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu nina shida sana na wimbo wa Prof Jay uitwao Machozi Jasho na Damu,mwenye nao please.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
http://youtu.be/86d0r-3fmxg
0 Reactions
4 Replies
2K Views
HAKUNA jambo ambalo linanikera kama mtu anapobadili rangi ya ngozi yake, kwani hivi sasa imeshakuwa fasheni si tu kwa wanawake, bali hata kwa wanaume na mbaya zaidi, jinamizi hilo limehamia hadi...
1 Reactions
29 Replies
7K Views
Wadau, Naombeni mdondoshe ngoma kali kutoka Naija ambazo upigwa mara kwa mara clubs na maeneo mengine ya starehe. Kuwa free kutiririka, mimi naanza na Skelewu by Davido.
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Tupo wengi ambao tunaagiza magari lakini tunakuwa na mashaka juu ya ushuru wa customs unakuwa ni wa asilimia ngapi au bei gani kulingana na gari uliyo agiza hapa kuna mwangaza jinsi ya kupiga...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Watu wote wa hip hop naimani tumeridhia ROMA MKATOLIKI kuchukua tuzo hiyo akiwa kama mkali wao kwani kuna mtu anapinga? nadhani hakuna asante kwaku msapooti bwana huyu.
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Daaaaahh kuna msanii mmoja namuheshimu na nimmoja wa fans wake ila Jana ameonyesha dhahili yy c muungwana baada kupost Kent social network moja maneno yasiyotegemewa hasa kwa mashibik wa kazi yake...
1 Reactions
2 Replies
876 Views
pamoja na Diamond kuwa ana ng'aa sana kwa sasa katika tasnia ya bongoflaver na kuvaa umaarufu mkubwa hasa africa ya mashariki, lakini kwa mtazamo wangu ALIKIBA ni mwanamuziki bora kuliko hata...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Hongera sana kwa Azam kwa mafanikio yenu kibiashara hasa bidhaa zenu zenye ubora hapa nchini. Naamini hakuna mtanzania ambaye hafaidiki nazo, kwa maana hii mnapata sapoti ya watanzania wote...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tunashukuru TPF kwa burudani iliyotupatia hadi kufika tamati leo hii. Lakini hebu tujiulize matunda ya hii kitu yako wapi.? Hebu fwatilia hii link uone jinsi gani washindi wote 5 walivyopoteza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
TPF imefikia tamati. kwa kweli kama si kutumia njia ya voting ingekuwa vigumu kumpata mshindi. Hisia ni hodari na kukaa kwake ndani hilo jumba kumempolish sana. Vijana wote wamejitahidi na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
samahan wakuu, aina ya mziki ninaouzungumzia hapa ni ule kama unaopigwa na akina GYPTIAN,DEMARCO,CHRIS MARTIN N.K kuna hizi nilizonazo sasa CHRIS MARTIN-PAPER LOVIN MAVADO-DESTINY...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Magwiji Tabu Ley na Dr Nico ambao walikuwa bendi moja miaka ya 1960 walipiga shoo ya pamoja 1981 jijini Kinshasa. Hii ni baada ya mchawi wa solo Dr Nico kuvumishwa kafariki. Hata hivyo, Dr Nico...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Members wa JF mjipakulie kitu adimu na kikali kabisa kutoka kwa Hayati Le seigneur Ley; Tabu Ley. Pakua hapa. Download unrar (tumia winrar)Pasword tabuley.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
ENJOY MUSIC WA DISCO 2013 DISCO MUSIC 2013 CPS FINAL
0 Reactions
0 Replies
794 Views
Back
Top Bottom