Word Up!!!
Hopefuly weekend mswano.....kuna jambo naliona sana siku hizi kwenye majukwaa ya matamasha mbalimbali pindi wanapopanda wasanii wa muziki wa Hiphop,suala la kutokuwa na watu wa kubreak...
Salaam wakuu,
Pasi shaka kwa wapenzi wenzangu wa 24 (nimeirudia mwanzo-mwisho 3times) kuna baadh ya matukio ulitokea kuyakubali sana. Hebu tushee hapa:
Kwa upande wangu, mwanzoni kabisa hakuna...
Wandugu ninaomba anaeujua jina lake halisi wimbo wa African Stars band a.k.a Twanga pepeta International we vionjo vya "SUGUA KISIGINO" naomba atupie jina lake hapa ili niweze kuutafuta.
Wasalaam wana jamvi!!
Naomba mwana jamvi mwenye nyimbo hizi mbili zilizo katika high quality aziupload nitadownload nimetafuta kwenye net lakini nimepata zilizo na low quality nyimbo zenyewe ni...
IRENE UWOYA "SHIGONGO ANANICHAFUA KWENYE MAGAZETI YAKE SABABU NINA KESI NAYE MAHAKAMANI"
Ukurasa wa mbele wa gazeti la Risasi la leo Jumamosi (Sept 14) umetawaliwa na habari...
Duh wakuu leo karibia siku nziMa nimekuwa nasikiliza wimbo huu hakika ulinifanya nimchimbe muimbaji wa nyimbo hii Ti kwenye google
kwanza nimekumbuka mbali sana hasa mashairi na chorus aliyoimba...
First time I heard house rhythms in 2010 when I was in Botswana,very popular kinda of music down there, it was a bit annoying at first...As days went on I fell in love with this kind of tone...
Kwa wadau wa movie
Filamu mpya ya Anton Fuqua THE OLYMPUS HAS FALLEN inaangukia kwa star Gerald Butler anayecheza kama mwana usalama aliyepoteza ajira yake kutokana na kifo cha first lady...
Naomba kama kuna link au site yenye miziki ya zamani kutoka DRC zamani Zaire kama ya Ochestra Veve,Super Mazembe nk niweze kudownload mniwekee kwa yeyote nayefahamu tafadhali.
EA radio wameweka wazi majina ma4 ya wasanii kutoka bongo land watakao perform ktk stage moja na wakali toka Nigeria(p-square) wakali hao ni
Prof.J,Lady jd,Ben Pol&Joh Makini! what z ur opinions...
Habari zenu wakuu! Naomba kujuzwa wapi naweza kujirusha Leo? Sikuwa dar kwa muda kidogo,Nimerud na nina hamu ya kwenda music waungwana! Music wa bend km twanga pepeta,Extra bongo,FM academia na km...
Tazama video mpya kutoka kwa mwanadada Shaa katika wimbo uitwao Sugua Gaga chini ya usimamizi wa kampuni ya Mkubwa na Wanae ya Said Fela.
http://youtu.be/dAXYlpnTuOE
Jamani kuna ngoma inachezwa mkoa wa MBEYA inaiywa LING'OMA kweli toka nimeanza kuangalia ngoma za kiasili sijaona ngoma inayo chezwa vizuri kama ngoma ile,yani huwezi kuchoka kuiangalia is the best
Hawa wanamuziki kutoka nchini Congo huwa wanajituma sana jukwaani,nikiangali nyimbo hii kwenye dakika ya 8:58 namuona repa baada ya kumaliza kurep anamkimbilia mkaanga chipsi(mpiga drum)ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.