Bingwaman
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 548
- 288
Magwiji Tabu Ley na Dr Nico ambao walikuwa bendi moja miaka ya 1960 walipiga shoo ya pamoja 1981 jijini Kinshasa. Hii ni baada ya mchawi wa solo Dr Nico kuvumishwa kafariki. Hata hivyo, Dr Nico hakuwa katika hali njema kiafya katika onyesho hili na alifariki miaka michache baadaye nchini Ubelgiji.
Last edited by a moderator: