ile series bora zaidi kuwahi kutokea ya 24 itarudi tena mwakani ambapo jack bauer ataigiza series nyingine itakayoitwa live another day, dah naisubiri kwa hamu sana
Mara Clara Ndo Drama ya aina yake kuwahi kuigizwa nchini Pilipine,na hii drama iliyo anza kuyweshwa 2010 nchini Philipine ndo Bora kabs uwahi kigizwa mpaka leo hii
Daah kiukweli nilitegemea mwaka huu itakuwa babu kubwa tamasha la Fiesta kuwa angalau tutamuona P. Didy au tuamuona Rihana vile. Ila kiukweli hawa Clouds tamasha lao mwaka huu wamechemka. Kuleta...
Update 26th October 2013: 1st eviction night, Uganda's undercover Brothers and Kenya's Mishel are Out!!
Update: Poor Tanzanians! two are evicted! We're left only with Hisia and That pretty...
habari wakuu, wapenzi wote wa wwe hapa ndio kwetu tufundishane tucheke sote na kufurahi sote na husijaribu majumbani kwetu, leo kuna specials events kuanzia saa nane mpaka 11 ndani ya etv...
Huu wimbo umewekwa jana Youtube, ila leo tayari umeshaangaliwa na watu zaidi ya milioni moja na nusu.....
Ni katika kampeni ya Wanawake wa Saudi Arabia kuwa wanaendesha wenyewe magari.....
Baada ya jana maelfu ya wapenda burudani kukatizwa na na itilafu ya umeme iliyojitokeza kwenye moja ya jenereta na kufanya umeme kukatika uwanjani, na kufanya baadhi ya wasanii kama Mahombi...
Naomba mnijuze show ilikuwaje?stej ilikuwaje mahudhurio walofanya vizuri walofanya vibaya nan alitupia je mziki wetu unakua au ndo unazid kuangamia kwaajili ya hawa clouds media?
Kwa mdau yeyote anaye fahamu kilingala, tafadhali naomba anisaidie kufahamu tafsiri ya kiswahili ya wimbo EVELYNE wa AURLUS MABELE ulio toka mwaka 1993 .. Kwa juu najua...
Sijui ni hali ya kuishiwa cha Kuonyesha kwa watazamaji au Vipi.
Kiukweli "original comedy" imeguaka kua ni sehemu ya Matangazo ,hata kama ndio sehemu ya kupatia Mapata ,ila wameshindwa Kubalance...
habari za humu ndani, naomba msaa wa kupata huu wimbo umeimbwa na nan na kama kuna link nnayoweza ku download, kama unayo kwenye sim naomba uni pm afu ntakupa namba unitumie kwa whatsup, aksanteni.
Habari zenu wadau,
Wakuu kama kuna mtu anayo hii series ya wa Korea, tafadhari naomba msaada tutani. Nimejaribu kununua CDs lakini zote ubora wake F, so kwa yeyote mwenye anazo downloaded files...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.