Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Hello.. Nilikutana na mzee mmoja one month ago akaniuliza, "Is it true that this country has used wasomi at the point hawahitajiki tena?" Kisa tu alikutana na graduate aliyesomea civil...
1 Reactions
1 Replies
675 Views
Kiukweli katika siku nilizo kwazika ni leo, nikajuwa maneno ya watu wazima kuwa uyaone yame maanisha mengi, hizi tabia za mimba kutamani vitu ime kuwa kwangu shida mara leo pweza, mara soda, mara...
0 Reactions
1 Replies
721 Views
John Cena amempiga AJ Styls katika 2017 Royal Rumble WWE Championship match
4 Reactions
70 Replies
9K Views
Wasanii wapotevu......huu wimbo walitegemea ungewatoa na kuwarudisha kwenye ramani? BWANA MISOSI Ft. NURUELY
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni wapi naweza pakua audio za zouk music? auidio only not video
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Heshima kwenu wanajamvi... Nakumbuka kuna kipindi serikali...
0 Reactions
2 Replies
790 Views
Yaani hii movie huwa naitizama sana, hadi sehemu nyingi nimekuwa nafahamu watazungumza neno fulani... na sijawahi ichoka kuitizama... Inafundisha vizuri ina story nzuri, Ina action za taratibu na...
2 Reactions
7 Replies
9K Views
Hii tamthilia nimetokea anza iangalia.. Mwaka huu.. Ila ni moja kati ya Tamthilia bora kwangu Kwanza Comedy za bwana Frank Gallagher ni Noma Debbie, Carly ni noma Kwa wadau ambao ni wapenz wa...
1 Reactions
4 Replies
967 Views
Je ni Nadal kupata 15th Grand Slam of his career au ni Maestro Roger Federer kuwa na 18th Grand slam? Na hii ni baada ya Novak The Djoker kutolewa Alhamisi iliyopita "Djokovic fell victim to one...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
SINGELI na KABALI huambatana kama CHIPSI na MAYAI!,......kule kwenye Show za muziki wa DANSI wanaotajwa majina kwenye nyimbo ni Mapedeshee watunza Fedha,....na wanapotajwa husimama kwa Mbwembwe na...
7 Reactions
25 Replies
5K Views
Nipo naitizama machozi yananilenga lenga sina namna maana nipo na watu ila kiukweli inasikitisha makaburu sio watu
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Huyu Makame jina lake na jinsi anavyo ongea anaonekana ni Mzanzibari. Sasa jinsi wanavyo mweka wanamuonyesha kwamba ni mtu mshamba sana na wanamtengenezea uhusika wa kumdharaulisha sana. Kwa maoni...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kipindi cha miaka ya 1990-2000s mwanzoni hivi tumeshuhudia kukitokea marapa wengi wa kike waliokuwa wana uwezo mkubwa kwenye rap game ya USA. Baadhi ya marapa wa kike walioibuka miaka hiyo na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mtunzi : Fredy Ndalakasheba Msimulizi:Maestro KingKikii Mama nipe Nauli nikamfuate monica Eeh, Amekimba Zambia na Treni ya Mizogo Eeh, Kisa cha kukimbia madeni yamemzidi Doti 10 Za Khanga...
3 Reactions
5 Replies
7K Views
Kuna hii mistari ya huu muziki sweet mangi huu mwenzenu naipenda sana yani nikipiga huu wimbo najikutaga tu narudia rudia mara tatu tatu hapa anapoimba " sina takataka katapila kata Kila demu...
0 Reactions
6 Replies
976 Views
Wanataka kumvunja kiuno mzee wa watu [emoji15] [emoji15]
0 Reactions
5 Replies
989 Views
Who's watching this? Addicted na hizi shows za 24hrs unatamani iwe reality mwanzo imeanza vizuri sana-sijui baadaye! Dstv Chan' No 198
0 Reactions
24 Replies
5K Views
*Mama akiwa na mwanae walipitishwa na dereva tax mitaa ya wadada wanapojiuza....* Mtoto: *mama hao wadada wanasubiri nn apo* Mama: *wanasubiri waume zao watoke kazin wawachukue waende makwao..*...
1 Reactions
0 Replies
823 Views
Jamani kuna huu wimbo wa malaika, uliotungwa enzi hizo, malaika nakupenda malaika, wakenya eti wanadai ni wa kwao , wakati miriam makeba aliaknowledge kuwa wimbo huo ni wa tanzania, Inasemekana...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Filamu inaitwa QUEEN OF KATWE.Ni kisa cha kweli kinachoelezea historia ya binti wa miaka 10 (PHIONA MUTESI) anaeishi katika lindi la umasikini uliokithiri na mama yake (LUPITA NYONG'O )npamoja na...
3 Reactions
19 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…