“Where do you live?” (unaishi wapi?)
“Tanzania! You?” (Tanzania! Wewe?)
“Oman.”
“This is my first time to chart with an African girl, you look stunning...” (hii ni mara yangu ya kwanza...
LOVE STORY: PENZI PENZINI
SEHEMU YA 1.
AGE : 18+
Alice ni msichana mrembo wa sura na umbo, ana rangi ya choculate, mrefu wa wastani na ana macho ya kusinzia, shavuni ana vitundu vidogo viwili...
HADITHI: Msafara wa Mamba
SEHEMU: 01
MTUNZI: Ally Mbetu ‘DR AMBE’
SIMU: 0713646500
Siku zote kwenye msafara wa mamba huwa haukosi kenge na mijusi. Msichana Herena bila kutegemea amejikuta...
SEVEN DAYS IN HELL! (SIKU SABA KUZIMU)-1
Damu nyingi zilikuwa zinanitoka upande wa kushoto wa kifua changu kiasi cha kunifanya nilowe chapachapa. Nilijitahidi kuinuka pale nilipokuwa nimelala huku...
It's been a while hatujaonana wakuu. Najua 'tumemissiana' sana au sio wandugu? Haya sasa nimerudi tena na Riwaya ya NYUMA YAKO yenye mahadhu ya Kijasusi na kiitelijensia kama tulivyofanya kwenye...
RIWAYA: JASUSI KOMANDO
NA; BAHATI MWAMBA.
SIMU: 0758573660
1.
BERBERA, SOMALIA (Somaliland).
Alivuta pumzi zake kwa kasi kisha,alizishusha taratibu huku akiwa amefumba macho yake na kichwa...
KADI
Hadithi fupi, kali: iliyoandikwa miaka zaidi ya karne moja iliyopita. Imefasiriwa kwa Kiswahili na Wako Mtiifu.
Richadi Buruweli, wa New York, hataweza kamwe kuacha kujuta kwa nini lugha ya...
RIWAYA: KICHAA.
Na: ZUBER R. MAVUGO.
N0. 01.
Njaa, iliendelea kulisumbua tumbo lake na kumpelekea kuanza kujipitisha maeneo ya ma'ntilie, huku akiamini kuwa shibe yake ipo mikononi mwao.
"mmh...
HAPPY AT LAST (FURAHA HATIMAYE)
Eric Shigongo
“Umeolewa?”
“Ndio!”
“Mume wako yuko wapi?”
“Dar es Salaam!”
“Sijawahi kumwona hata mara moja akija hapa hospitali!”
“Ana kazi nyingi sana ofisini...
"JENEZA LA AJABU
Mtunzi; HAKIKA JONATHAN
Whatsup; 0629905923
***SEHEMU YA 01****
Ikulu kwa mfalme ;
"Siwezi kufa kirahisi namna hii, dunia tamu bwanaaa
weeeh, mali zangu hizi nitamuachia nani...
MAJIRA ya jioni nikielekea nyumbani, macho yangu yaligota kwenye wallet iliyodondoshwa njiani. Niliiokota na kuifungua ndan ili kuona kama kuna vitambulisho vitakavyowezesha kupata namba za...
Huyu msimuliaji wa matukio katika hiki kipindi licha ya kusimulia na kuyapanga matukio vizuri na kwa ustadi mkubwa, ila anazidisha mno chumvi.
Hebu tafuta simulizi zake kuhusu Bruce Lee halafu...
Sehemu ya kwanza
ILIKUWA ni majira ya saa nane na dakika kumi usiku. Mitaani, kulikuwa na giza la kutisha. Hali ya hewa ilikuwa ya baridi sana katika jiji la Birmingham nchini Uingereza.
Ni saa...
Simulizi:John ze Mwizi
Na: Humph Isack
Whatsapp: 0742817066
Sehemu ya Kwanza
Koooooh!! koooh!! koooh!!" ilikuwa ni sauti ya babuyake john akikohoa kwa nguvu wakati amejilazakitandani,kikohozi...
SIMULIZI HII IMEKAMILIKA
IMEANDIKWA NA : MAUNDU MWINGIZI
CHANZO : BURE SERIES
SEHEMU YA KWANZA
“Naitwa Hunudu, ni shefa mkuu katika Dini hii tukufu ya WAUFI, Dini hii inaongozwa na Wafalme wa...
SIMULIZI: EQUATORIAL FOREST (msitu wa
Equatorial)
MTUNZI: AISHA KHAN
SEHEMU YA 01
UTANGULIZI: kwa Jina naitwa Najma Abdallah, Nina
umri wa miaka 22 na soma university mwaka wa
pili sasa, wazazi...
WAHUSIKA, SEHEMU, MAJINA NA MATUKIO YALIYO KWENYE RIWAYA HII NI KAZI YA SANAA NA SIO HALISI. UFANANI WA AINA YOYOTE NA MAMBO HALISI NI NASIBU.
____________
1
Kwenye Jumamosi tulivu; mawingu...
"Fanya kama ulivyoambiwa" Alisema mtu yule,mrefu mweusi na mwenye mapana!
Niligeuka nyuma na kumtazama mke wangu,alikaa pale.. kiti cha mbao,mikono nyuma,kamba miguuni,kamba tumboni na kitambaa...
SEHEMU YA 01:
Nilichozoea kusikia ni kwamba kuna majini wanawake wanaojigeuza binadamu na kuwatongoza wanaume.
Wengi wa majini hao hutaka kuishi na binadamu kama mke na mume, jambo ambalo...
Imeandikwa na Hamisi Kibari wa gazeti la HabariLeo
“HUYU ndiye Edi Ganzel uliyekuwa ukimuuliza sana,” aliniambia Mzee Barnabas Maro, akinitambulisha kwa mmoja wa watunzi mahiri wa riwaya kuwahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.