Informer
Platinum Member
- Jul 29, 2006
- 1,626
- 6,778
Lyrics:
My Darling
Si uniambie
Una mawazo gani
Nielezee ni kwa nini
Kuwa na amani
Haya mambo yameanzia mbali
Yapo hapa tangu zamani
Kabla hatujazaliwa
We na mimi
Yapo ambayo umeshayafanya
Na tumeshawahi furahi sana
Na inatosha kujiamini
Naomba ufurahi ndo nlivyokuzoea
We huwa unafanya nsiboreke
Naomba lishe!
Naomba lishe! Eeeh x2
Na umaanishe!
Na umaanishe! Eeeh x2
Ungana nami tuilambe asali
Ukiwa kwenye mudi we ni hodari
Maneno mimi sina naomba lishe
Na pia najua we ndio mtaalamu
Moto hauzimi moto,
Maji huzima moto,
Nipe mi ya moto, utamu.
Uno sokosoko,
Nyonga mokomoko,
Nipe mi ya moto, utamu yeah!
Its okey x2
Naomba ufurahi ndo nlivyokuzoea
We huwa unafanya nsiboreke
Naomba lishe!
Naomba lishe! Eeeh x2
Na umaanishe!
Na umaanishe! Eeeh x2
(Hussein Rapper verse)
Nna chumba chako kikubwa ndani ya moyo (wangu)
Na chumbani sio pakubwa ukiwa pembeni (yangu)
Una weledi, tukiwa kwa bedi,
Ukisema you are ready nawasha high grade
Furaha, furaha wewe
Na mi nafurahi unapofurahi wewe
Nami shujaa, sababu wewe
Mama tule raha, naomba lishe
Moto hauzimi (moto)
Maji huzima (moto)
Nipe mi ya moto (utamu)
Uno (sokosoko)
Nyonga (mokomoko)
Nipe mi ya moto (utamu) yeah!
Its okey x2
And I believe in you
Naomba ufurahi ndo nlivyokuzoea
We huwa unafanya mi nisiboreke
Naomba lishe!
Naomba lishe! Eeeh x2
Na umaanishe!
Na umaanishe! Eeeh x2
Naomba ufurahi ndo nlivyokuzoea
We ndo q unafanya nsiboreke
Naomba lishe!
Naomba lishe! Eeeh x2
Na umaanishe!
Na umaanishe! Eeeh x2
Unaweza ku-download hapa chini
My Darling
Si uniambie
Una mawazo gani
Nielezee ni kwa nini
Kuwa na amani
Haya mambo yameanzia mbali
Yapo hapa tangu zamani
Kabla hatujazaliwa
We na mimi
Yapo ambayo umeshayafanya
Na tumeshawahi furahi sana
Na inatosha kujiamini
Naomba ufurahi ndo nlivyokuzoea
We huwa unafanya nsiboreke
Naomba lishe!
Naomba lishe! Eeeh x2
Na umaanishe!
Na umaanishe! Eeeh x2
Ungana nami tuilambe asali
Ukiwa kwenye mudi we ni hodari
Maneno mimi sina naomba lishe
Na pia najua we ndio mtaalamu
Moto hauzimi moto,
Maji huzima moto,
Nipe mi ya moto, utamu.
Uno sokosoko,
Nyonga mokomoko,
Nipe mi ya moto, utamu yeah!
Its okey x2
Naomba ufurahi ndo nlivyokuzoea
We huwa unafanya nsiboreke
Naomba lishe!
Naomba lishe! Eeeh x2
Na umaanishe!
Na umaanishe! Eeeh x2
(Hussein Rapper verse)
Nna chumba chako kikubwa ndani ya moyo (wangu)
Na chumbani sio pakubwa ukiwa pembeni (yangu)
Una weledi, tukiwa kwa bedi,
Ukisema you are ready nawasha high grade
Furaha, furaha wewe
Na mi nafurahi unapofurahi wewe
Nami shujaa, sababu wewe
Mama tule raha, naomba lishe
Moto hauzimi (moto)
Maji huzima (moto)
Nipe mi ya moto (utamu)
Uno (sokosoko)
Nyonga (mokomoko)
Nipe mi ya moto (utamu) yeah!
Its okey x2
And I believe in you
Naomba ufurahi ndo nlivyokuzoea
We huwa unafanya mi nisiboreke
Naomba lishe!
Naomba lishe! Eeeh x2
Na umaanishe!
Na umaanishe! Eeeh x2
Naomba ufurahi ndo nlivyokuzoea
We ndo q unafanya nsiboreke
Naomba lishe!
Naomba lishe! Eeeh x2
Na umaanishe!
Na umaanishe! Eeeh x2
Unaweza ku-download hapa chini