Tamthiia ya Huba inakera

Tamthiia ya Huba inakera

mpima mstaafu

Senior Member
Joined
Jul 7, 2018
Posts
131
Reaction score
239
Waandaaji wa Tamthilia ya HUBA inayoonyeshwa DSTV, mmeanza kuunga unga na kuongeza watu wasio na umuhimu wowote mpaka mmeanza kutuudhi wafuatiliaji.

Kwa mfano suala la Uchawi wa kuwatoa kina Charle na daktari wa vichaa tija yake nini? Uchawi wa Bi Sikitu unachukua nafasi kubwa hata tija yake haijulikani.

Kama Tamthilia imefika mwisho tangazeni kuliko kuweka mwendelezo usioeleweka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We kashaulo tulia acha fujo ntamuita mgeni sasa hivi apaa.
 
Maajabu ya hiyo tamthilia.
1.Mchawi analogs tamthilia nzima maajabu Sana.
2. kila mtu mchawi doh
 
Back
Top Bottom