What an amazing album launch by Konde Boy

What an amazing album launch by Konde Boy

KITAULO

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2018
Posts
1,926
Reaction score
2,842
Wadau,

Tuache unafiki tufike mbinguni. Usiku wa kuamkia leo ulikuwa mwanana, na nimefurahishwa na namna Harmonize alichokifanya. Full show was live, na jinsi alivyocheza na stage was stunning.

Vile ndo namna uzinduzi wa album unapaswa kuwa, siyo kuplay back CD na kutupigisha kelele. 90% of the ablum are going to be hit songs.

Hongera kwako Harmonize.
 
Show kali ila hii album kwa upande wangu naona kama aliwahi sana kuitoa na bila kuifanyia research ya kutosha ina nyimbo ambazo nyingi ni copy & paste eidha melody au beat yan inatoka hii kacopy beat inakuja nyingine kacopy kionjo flani sijapendezwa na hilo ila nyimbo nyingine ziko poa kiukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Show kali ila hii album kwa upande wangu naona kama aliwahi sana kuitoa na bila kuifanyia research ya kutosha ina nyimbo ambazo nyingi ni copy & paste eidha melody au beat yan inatoka hii kacopy beat inakuja nyingine kacopy kionjo flani sijapendezwa na hilo ila nyimbo nyingine ziko poa kiukweli

Sent using Jamii Forums mobile app

mkuu hakuna kitu kipya chini ya jua..sana sana ni maboresho ya yaliyotangulia........so tafuta fanta baridiiiiiiii unywe nitalipa.....kupunguza povu
 
mkuu hakuna kitu kipya chini ya jua..sana sana ni maboresho ya yaliyotangulia........so tafuta fanta baridiiiiiiii unywe nitalipa.....kupunguza povu
Hata sio povu mkuu labda tu umesoma comment ukapanick ukadhani ni povu mimi ni shabiki kindakindaki wa harmonize na sio shabiki maandazi kama mlio wengi hata kitu kisipokua sawa mnasifia tu ilhali wengi wenu mioyon mwenu mnakua hamjakipenda

Kikubwa ni kua aongeze ubunifu kwenye tungo zake kama kipaji cha kuimba anacho sana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom