Huyu mutu ya Kongo, naona kama anataka isimamisha nchi kwa muda kidogo hasa kwenye burudani ya mziki wa dance, sasa hivi kila upitapo utasikikia papa mobimba yeee papa mobimba yeeee, Mara papa...
Yaani tokea Harmonize ameachana nao wanajaribu njia zote kumzima kwa sababu wanajua akipenya tu ndiyo utakua mwisho wao. Harmonize alitoa nyimbo ya singeli wakaona umepenya sana. Wakamchukua...
Meghan ameamua kuvaa gauni la blue bahari lilitengenezwa na kampuni ya mitindo ya Victoria Beckham gharama za gauni ni £950. Hii ilikua hatua yake ya kumaliza ugomvi wake na Victoria.
David na...
Habari zenu wakuu, natumaini mko poa.
Kuna muvi nimeiona inaitwa IN THE TALL GRASSES ila imenichanganya sana tena sana. Haya ni baadhi ya mambo yaliyonichanganya
i)Je, yule mdada mwenye mimba...
Hivi wenzangu nauliza. Huwa mnawaelewaga hawa watu kweli?
Mbona sisi tupo karne ya 21 wao bado wapo karne ya 18?
Huwa mnacheka kweli mkiwaona hawa watu?
Hivi yule BABU MKOMBE yupo wapi?
Sehemu ya 01
Mtunzi Ally Katalambula
Waswahili wanasema uchungu wa mwana aujuaye mzazi lakini kwa mama yetu ilikuwa kinyume. Sikuamini mama yetu mzazi kuwa chanzo cha matatizo ya familia yetu...
Kuna nyimbo mpya unavyoanza jamaa anaimba
“She call me in my phone atakuja geto...”
Mbele anakuja kuimba mwanadada
Anayeijua iyo nyimbo anitajie
Portfolio | 2020
Boss wa Tuzo za Grammy, Deborah Dugan amefukuzwa kazi na waendeshaji wa tuzo hizo baada ya miezi 5 tangu kuajiriwa kwake kutokana na kutofautiana kwenye misingi ya kazi.
Hata hivyo, Deborah...
Siumii Barca Kufungwa Naumia Kumuona Messi Aliyekata Tamaa Kabisa This Is Very Touching Jamaa Anaonekana Amechoka Inafika Hatua Hata Kuongea Anashindwa Board Haielewii,Wachezaji Wenzake Hovyo...
Producer wa The Industry, Nahreel amesema kuwa lengo la kuanzisha Chuo cha Muziki ni kutaka kutengeneza watu watakaoweza kuja kuleta mapinduzi kwenye Muziki wa Bongo
Hit maker huyo wa ‘Nana’ ya...
Kuna huu wimbo wa huyu Gwiji wa miondoko ya Sukus, ambaye amejipachika majina lukuki, mara sijui Mopao Mokonzi, Sakozi n.k.
Huu wimbo nimeusikia ukichezwa jana kwenye Bar moja wakati...
Jamani sio kwa flavour hizi[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Kanyimbo katamu haka jamani
Kwangu ndo song bora haswaa sauti lugha ya malkia daah utadhan sio mbongo...
Habari
Binafsi Huwa napenda kutizama Documentaries tofauti hasa za nje
Inawezekana kuna Wadau hapa Wana idea flani nzuri za Documentaries ambazo wangependa zitengenezwe siku moja
Kama Una idea...
Wakuu naomba mwenye wimbo wa Beberu uliimbwa na Issa Matona anitumie, huwa unanikumbusha good moment sana, nimeutafuta YouTube haupo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kutoka kwa msanii mchanga anayeibukia hii ngoma imenifanya nikaguswaa mnooo watu wanatalent hatari hebu chekini tu daaah so amaizing sweet song hutojutia kuiwatch...
Ilikuwa kila siku saa 3:30 usiku siku za jumapili,
Ijumba
Maua
Mzee kasri na mkewe
Roda
Ijumba
Siti
N.k
Wengine humu muda huo tumewapakaka
Oooh!
I never missed Tausi
Nasiki wengi wa waigizaji...
Wadau habari za maujukumu,
kama kuna wapenzi wa Naigerian au African movies zenye stori nzuri iliyosimama na kuhamasisha kuangalia hata kuinuka kwenda toilet unashindwa tutajiane machimbo ya...
Mtunzi: Washawasha
Mambo zenu natumai muwazima au sio? Mi niko poa namshukuru Mungu,kwa jina naitwa Jeniffer nina miaka 23,leo nitawahadithia jinsi baba yangu wa kambo alivyonifumania nikijichua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.