Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Huyu mutu ya Kongo, naona kama anataka isimamisha nchi kwa muda kidogo hasa kwenye burudani ya mziki wa dance, sasa hivi kila upitapo utasikikia papa mobimba yeee papa mobimba yeeee, Mara papa...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Yaani tokea Harmonize ameachana nao wanajaribu njia zote kumzima kwa sababu wanajua akipenya tu ndiyo utakua mwisho wao. Harmonize alitoa nyimbo ya singeli wakaona umepenya sana. Wakamchukua...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Meghan ameamua kuvaa gauni la blue bahari lilitengenezwa na kampuni ya mitindo ya Victoria Beckham gharama za gauni ni £950. Hii ilikua hatua yake ya kumaliza ugomvi wake na Victoria. David na...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, natumaini mko poa. Kuna muvi nimeiona inaitwa IN THE TALL GRASSES ila imenichanganya sana tena sana. Haya ni baadhi ya mambo yaliyonichanganya i)Je, yule mdada mwenye mimba...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Hivi wenzangu nauliza. Huwa mnawaelewaga hawa watu kweli? Mbona sisi tupo karne ya 21 wao bado wapo karne ya 18? Huwa mnacheka kweli mkiwaona hawa watu? Hivi yule BABU MKOMBE yupo wapi?
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Sehemu ya 01 Mtunzi Ally Katalambula Waswahili wanasema uchungu wa mwana aujuaye mzazi lakini kwa mama yetu ilikuwa kinyume. Sikuamini mama yetu mzazi kuwa chanzo cha matatizo ya familia yetu...
14 Reactions
281 Replies
73K Views
Kuna nyimbo mpya unavyoanza jamaa anaimba “She call me in my phone atakuja geto...” Mbele anakuja kuimba mwanadada Anayeijua iyo nyimbo anitajie Portfolio | 2020
1 Reactions
15 Replies
2K Views
file attached
1 Reactions
48 Replies
50K Views
Boss wa Tuzo za Grammy, Deborah Dugan amefukuzwa kazi na waendeshaji wa tuzo hizo baada ya miezi 5 tangu kuajiriwa kwake kutokana na kutofautiana kwenye misingi ya kazi. Hata hivyo, Deborah...
0 Reactions
0 Replies
653 Views
Kwa wale ambao hamkusoma hadithi hii ya E.J.S, waweza download this pdf version. Sorry for the repetitions and the missing parts....
0 Reactions
4 Replies
12K Views
Siumii Barca Kufungwa Naumia Kumuona Messi Aliyekata Tamaa Kabisa This Is Very Touching Jamaa Anaonekana Amechoka Inafika Hatua Hata Kuongea Anashindwa Board Haielewii,Wachezaji Wenzake Hovyo...
0 Reactions
1 Replies
656 Views
Producer wa The Industry, Nahreel amesema kuwa lengo la kuanzisha Chuo cha Muziki ni kutaka kutengeneza watu watakaoweza kuja kuleta mapinduzi kwenye Muziki wa Bongo Hit maker huyo wa ‘Nana’ ya...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Kuna huu wimbo wa huyu Gwiji wa miondoko ya Sukus, ambaye amejipachika majina lukuki, mara sijui Mopao Mokonzi, Sakozi n.k. Huu wimbo nimeusikia ukichezwa jana kwenye Bar moja wakati...
0 Reactions
30 Replies
12K Views
Jamani sio kwa flavour hizi[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] Kanyimbo katamu haka jamani Kwangu ndo song bora haswaa sauti lugha ya malkia daah utadhan sio mbongo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari Binafsi Huwa napenda kutizama Documentaries tofauti hasa za nje Inawezekana kuna Wadau hapa Wana idea flani nzuri za Documentaries ambazo wangependa zitengenezwe siku moja Kama Una idea...
0 Reactions
0 Replies
859 Views
Wakuu naomba mwenye wimbo wa Beberu uliimbwa na Issa Matona anitumie, huwa unanikumbusha good moment sana, nimeutafuta YouTube haupo. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
727 Views
Ni kutoka kwa msanii mchanga anayeibukia hii ngoma imenifanya nikaguswaa mnooo watu wanatalent hatari hebu chekini tu daaah so amaizing sweet song hutojutia kuiwatch...
1 Reactions
7 Replies
949 Views
Ilikuwa kila siku saa 3:30 usiku siku za jumapili, Ijumba Maua Mzee kasri na mkewe Roda Ijumba Siti N.k Wengine humu muda huo tumewapakaka Oooh! I never missed Tausi Nasiki wengi wa waigizaji...
3 Reactions
51 Replies
14K Views
Wadau habari za maujukumu, kama kuna wapenzi wa Naigerian au African movies zenye stori nzuri iliyosimama na kuhamasisha kuangalia hata kuinuka kwenda toilet unashindwa tutajiane machimbo ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mtunzi: Washawasha Mambo zenu natumai muwazima au sio? Mi niko poa namshukuru Mungu,kwa jina naitwa Jeniffer nina miaka 23,leo nitawahadithia jinsi baba yangu wa kambo alivyonifumania nikijichua...
1 Reactions
7 Replies
47K Views
Back
Top Bottom