“To say they were crushed is an understatement,” a top royal expert has revealed about Prince Harry and Meghan Markle‘s exit from the British royal family, saying it was “unnecessarily cruel,”...
Tunahitaji wasanii wawili wenye vipaji vya uimbaji, waweze kufanya projects 4 kila mmoja. Projects hizo zitasimamiwa na sisi wenyewe kwa utayarishaji na usambazaji.
Utayarishaji wa muziki...
That's why we will no longer receive public funds for royal duties. With Bitcoin Trader we can concentrate on family and our main task - to help the British people. This is an independent passive...
Marlaw ametoa nyimbo nyingine tena na kwa kweli mimi sauti ya huyu kaka sijui hata nielezeeje.
Napenda utunzi wake na pia napenda angle ya music wake (Always positive)
Sikiliza nyimbo yake hapa...
Hili suala linanishangaza sana kwa upande wa media, wenzetu wa nchi za mbali huko wao huajili watu kwa kazi maalumu tu ya ubunifu na hulipwa mshahara wa juu sana, na hiyo hufanya Redio/TV kuwa...
Msanii ni kioo cha jamii, nakubali. Lakini, kwanini kioo hiki kinaangaza mapenzi zaidi? Mbona mada za kuimbwa ni nyingi? elimu, ajira, amani n.k kuna nini ktk mapenzi? Tena unakuta misong mingine...
IMEANDIKWA NA : SANGO
KIPOZI
*********************************************************************************
Simulizi : Kibwe Katika Safari Ya
Ajabu
Sehemu Ya Kwanza (1)
MWANA MTEULE
Ukimya wa...
Habari wana JF na wapenzi wa movies
Tasnia yetu imekuwa na matatizo mengi kwa upande wa utengenezaji filamu lakini wengi wetu hatujajua tatizo ni nini.
Lakini tatizo kubwa ni mapato yanayoingia...
Msanii wa Kimataifa kutoka Nigeria Burna Boy wimbo wake wa "On the Low" wafikisha mauzo ya kiwango cha Gold, yaani umenunuliwa na watu 500000 nchini Ufaransa. Msanii huyo mwaka huu na mwaka jana...
Hadithi: Mapenzi ndani ya daladala
Mtunzi: Washawasha
Ilikuwa ni Jumamosi moja matata mvua ya rasharasha ilikuwa ikidondoka kimtindo,nikiwa muakilishi wa vijana kutoka Ruangwa kuja kuichunguza...
Katika watangazi wa vipindi vya Kijamii vya mchana vya aina anayo endesha huyu biMAMA. huyu dada ni mpiga kelele kama alivyo MC PILIPILI kwenye Comedy.
Katika list yangu ya ubora wa hawa...
Katika radio station zilizokuja juu kwa fujo ndani ya muda mfupi kupata wasikilizaji wengi ni wasafi fm. Hii ni kutokana na kupiga miziki mizuri na kipindi cha sports arena.
Baada ya kupendwa...
Mtunzi Bishop Hiluka
0685 666964
DONDOO
Laiti ningejua kuwa alikuwa na siri nzito namna ile aliyokuwa kaihifadhi kifuani kwake, nisingefanya upuuzi. Ona...
Hivinajiuliza hawa wasafi wameshindwa kuwa creative?
Mbna kila kipindi au mradi wanakopi?
Kuanzia kivumbi cup-ndondo cup
Block 89-fnl
Wasafi festival-fiesta
Superwoman-malkia wa nguvu
Sports...
Bongo hapa tunawasanii wengi sana wanaofanya vizuri nje na ndani ya Bongo. Pamoja na mazuri yao wasanii hao wengi wao huwa na Gambia za ajabu ajabu sana.
Mfano kila msanii na yake.
1. NIKKI...
Buza! Buza! Buza! ni nini wamewakosea wakazi wanaoishi nyuma ya Airport ya Kimataifa? Kwa mashairi haya msanii huyu kadhalilisha sana wakazi wa Buza maana yeye ni msanii maarufu na ni kioo cha...
RIWAYA: Jestina
MTUNZI: Tariq H. Haji
MAWASILIANO: 0624065911
SEHEMU YA 1
KWA MWENYE UHITAJI WA RIWAYA HII, INAPATIKA KWA SHILINGI 2500 YOTE. WASILIANA NA TARIQ KWA NAMBA HIZO HAPO JUU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.