Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Jacqueline Ntuyabaliwe-Mengi is a former Miss Tanzania. She started off her career as a singer, later won the Miss Tanzania beauty contest and subsequently represented her country at the Miss...
4 Reactions
117 Replies
16K Views
Nyimbo mbaya kama walevi vile wanaimba jumbe wa maana hakuna mpangilio hovyo yani unaumiza masikio tu ni kweli muda wake umeisha asilalale
1 Reactions
40 Replies
6K Views
Watu wengi tunafahamu kuhusu msanii Chidi Benz alivyoathirika na madawa. Ninachokiomba kwa Babu Tale amsaidie Chidi peke yake bila kumhusisha na WCB. Kwani kuna uwezekano mkubwa wa label hiyo...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Daah goma limesimama hatari chid benz karudi vyema sama aisee...dude linaitwa "Chuma" take ur time to listen hilo kitu utakubali.... bravo chid ila usivimbe kichwa na vishoo utakavyo anza kupiga...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Licha ya Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na staa wa filamu za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ kuibuka na kukanusha sakata lao la kurudiana, bado madai ya wawili hao...
2 Reactions
28 Replies
6K Views
Nakereka sana napoona vijana wengi wadogo wanapotea baada ya kujiingiza kwenye maswala ya muziki, kuigiza, mashindano ya miss sehemu flani, miss tanzania, michezo ya mpira, netball na dancing...
7 Reactions
41 Replies
4K Views
Wanajamvi, tumeweza kushuhudia hivi sasa ushindani mkali katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya, wasanii wengi wakijitahidi kufanya kila liwezekanalo, ili mradi aweze kusikika au kukubalika, wapo...
2 Reactions
30 Replies
5K Views
Kaka nimejifunza mie. Ukilikalia benchi wabaya utawajua!
7 Reactions
61 Replies
14K Views
KAWEKA HIYO INSTAGRAM NA KUSEMA “MY VILLA” HONGERA KILICHOBAKI NI SEPETU, JOKATE, NA MAMISS WENGINE WOOTE WAIGIE MFANO HUU
4 Reactions
43 Replies
32K Views
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limeufungia rasmi wimbo wa ‘pale kati patamu’ ulioimbwa na msanii Ney wa Mitego kutokana na ukiukwaji mkubwa wa maadili. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya...
1 Reactions
59 Replies
12K Views
Moja ya vichwa navyo vielewaga kwenye game ya bongo sitomwacha kumtaja msanii na mtunzi Barnaba anajielewa sana ni ngumu kumkuta anapost ujinga au kuongea kwenye media kitu kitakacho wakwaza...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Lile timbwili la madale bado linaendelea kuwaka moto , hivi karibuni mzazi mwenzie na diamond, zari amepost picha akiwa na mama yake mzazi huku akimwagia sifa kem kem kuwa mama yake huyo ana...
3 Reactions
121 Replies
17K Views
Wana JF, Leo nawaletea mwandishi wa habari wa Tanzania ambaye anajua mambo mengi sana iwe kwenye nyanja ya afya,uchumi,siasa,biashara na hata kijamii pia Jina lake kamili ni Kibwana Mustapha...
5 Reactions
37 Replies
8K Views
Sasa dull wa planet bongo eatv kwa sasa atakuwa anawapa tabu team nzima ya xxl kutokana uwezo wake na ubunifu alionao huyu kijana na kujituma. katika radio zilizokuwa zinasikilizwa sana mchana ni...
2 Reactions
30 Replies
9K Views
Ukitaka amini usipotaka acha. Dangote platinum majuzi alisababisha wachezaji wanne wa VFB STUTGART inayoshiriki ligi kuu ya ujerumani kukatwa mshahara wa wiki 2 pale walipotoroka hotelini na...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Ni muda mrefu nimemkosa Comrade R. Masako katika kipindi cha KIPIMA JOTO cha kila Ijumaa baada ya taarifa ya habari. Ndugu Masako ni Mratibu muhimu wa kipindi hiki kutokana na kukiongoza vizuri na...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Msanii Bongo Fleva Emmanuel Elibariki "Ney wa Mitego" ahojiwa na Polisi, Kamanda Kanda Maalum Dar Simon Sirro athibitisha leo bila maelezo zaidi. Ney wa Mtego ahojiwa polisi Msanii wa muziki wa...
1 Reactions
33 Replies
10K Views
TBT- I wish R.I.P could stand for Return If Possible Albert Mangwea wewe ulikuwa hazina ya Bongo Flava kwa ubora wa karama yako ya Freestyle na tungo za utundu na ubunifu wa maneno ,Ngwear...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Huu ndio muonekano mpya wa mama mzazi wa super star diamond platnums, aiseeh ni shigidaaaa, hii inaitwa kupendeza kwa mwendo kasi, hapa hata ukimuweka mama chibu na zari bado zari ataonekana...
6 Reactions
127 Replies
29K Views
Back
Top Bottom