Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

KIKONGWE machachari kwenye tasnia ya muziki wa Bongo fleva Bibi Cheka, amesema hakukata tamaa tangu akiwa kijana, alijipa moyo kuwa siku moja kila mtu atamjua kutokana na juhudi zake binafsi...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Attention! Dini mpya kabisa duniani inaitwa Yeezianity . Jina hili linafanana na album mpya ya kanye inayoitwa Yeezus ambayo ni combination ya nickname yake ya Ye na jina la Jesus. Tayari kuna...
1 Reactions
20 Replies
7K Views
LICHA ya madai kuwa wapenzi wawili, Idris Sultan na Wema Sepetu wamemwagana, muigizaji huyo nyota na Miss Tanzania 2006, amesema anataka kuzaa na mshindi huyo wa Big Brother Hotshots 2014 kutokana...
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Msanii wa Kimataifa "Alikiba" anayetamba na kibao cha #Aje aendelea ku-make headlines Africa na dunian kote hasa baada ya kupata dili nono, Baada ya Kuwa offical brand ambassodor wa kampni kubwa...
3 Reactions
34 Replies
8K Views
  • Closed
Amini usiamini siri ya mafanikio ya le akili kubwazz imejulikana leo baada ya kupost picha kiwa ze dodomaz katika harakati za kumkabidhiz chamaz Mr Pombe. Ni kidoti kilichopo unyayoni ambacho...
2 Reactions
36 Replies
10K Views
Za Weekend JF, Nimekuwa nikimfuatilia huyu mtangazaji wa EATV kwa aina yake ya utangazaji, ni mmoja ya watangazaji makini sana wanaochipukia, maana wasoma habari wengi wanaoibuka kwa sasa wamekuwa...
5 Reactions
21 Replies
4K Views
Mbunge sugu yupo fnl kukitambulisha kichupa chake na kujibu maswali wanayomuuliza mashabiki wake ....
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Unajua kinacho mfanya Jay Z kuwa kati ya wasanii na pengine msanii pekee anae heshimika hata akiwa sehemu za public au akiwa kwenye events tofauti tofauti either zaki muziki, biashara, fashion...
4 Reactions
45 Replies
5K Views
sijui ni kutafuta kick na umaarufu au ni njia ya kutafuta wapenzi. ukigoogle majina ya wasanii wa Bongo utaona picha zao nyingi ni za uchi au nusu uchi. hata wasio wasanii naona nao wanaiga...
1 Reactions
34 Replies
36K Views
Bloga anayetegemewa kurudi bongo wakati wowote kuanzia leo ameanza kuandaa mazingira mazuri kwa wenyeji wake watakao mpokea bandarini baada ya kuwarushia maneno kadhaa kwamba wanauza sembe ambapo...
6 Reactions
25 Replies
7K Views
Not that there's anything wrong, but seems to me like most rappers or those associated with rap push their kids into becoming ballers. Is balling with a mic so tight, they'd rather try out with a...
3 Reactions
0 Replies
1K Views
Meneja wa Mwanamuziki Diamond Platnumz “Babu Tale” kufikishwa mahakamani kwa kushindwa kutekeleza adhabu ya kulipa Sh mil 200-'Kosa la HAKI MILIKI' #MwananchiLeo #GazetiNiMwananchi...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
  • Closed
Faiza Ally Kamfungukia Mrembo anayesemekana ndio mchumba wa Mh Mr Sugu Kwa Sasa Anaitwa Happy... Soma Hapa: Simpati Kwa lipi huyo happy - makengeza? Au Kwa sababu Ana Fany kazi biuro Au Kwa...
0 Reactions
57 Replies
11K Views
Kwa muda mrefu nimekua nikijitahidi kukukwepa kujifanya sikusikii as if mziki wako sio mzuri lakini kwenye vikona nikisikia nabana kusikiliza kidogo then najipa moyo kwamba huu nao mbaya. Yaani...
15 Reactions
75 Replies
10K Views
Ni majuzi tuu hapa nilitoa onyo Nkaasema sitaki mwanangu afanye sanaa yoyote ile iwe mziki, maigizo, umiss au chochote kila. Sasa katika pita pita zangu yatika mitandao ya kijamii na hasa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Msanii Msami ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake wa ‘Mabawa’ amefunguka na kusema kuwa yeye ni mwanaume na Kajala ni mwanamke hivyo kwa kile ambacho kinazungumzwa na watu kuwa huenda...
1 Reactions
41 Replies
11K Views
Mwanadada mrembo na mjasiliamali Jokate Mwegelo leo amemsifia na kumsapoti msanii nyota Diamond Platnumz kwa kutoa kazi nzuri (nyimbo mpya inaitwa kidgo). Kipitia account yake ya instagram Jokate...
5 Reactions
31 Replies
6K Views
Wadau kama nlivotanabaisha mwanzo kuwa Jide ili atambe lazima amponde Gardner. Sasa ana wiki ya 2 ametoa nyimbo inaitwa kama wao lakini cha ajabu yaweza pita masaa 72 bila kuisikia. Hata E fm...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Back
Top Bottom