Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hatimae muigizaji maarufu wa vichekesho nchini Tanzania Ankoo Zumo anaye igiza pamoja na Familia yake yaani Mwanae Maisala na Na mke wake (Mama yake Mai) Ambaye amejipatia umaarufu sana nchini na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kituo cha Sound city Africa kimetoa nomination za tuzo zao kwa wasanii waliofanya vizuri barani Africa mwaka 2018 huku wasanii nguli Wizkid, Davido, Diamond,Tiwa Savage wakiongoza kwa nominations...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Tukianzia msaada wa Tsh millioni 68 kule Sumbawanga na kule Zanzibar Diamond ametoa zaidi ya Tsh Millioni miamomja kwa mda mfupi tu inasemekana msaada alioutoa ni sawa mshahara wa Bdozen wa miaka...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Moja kati ya watu wanaoiharibia clouds na kuipotezea mashabiki ni hili kundi la shilawadu, Vijana wamekuwa ni watu wa shari sana na hawapendi maendeleo ya waliowazidi kimaisha. Bifu la Platnumz...
11 Reactions
48 Replies
8K Views
Huyu kijana ni moja kati ya wanamuziki bora wa hip hop bongo.Ni mtunzi mzuri sana na pia uko very creative kwenye kutupe vile tunaita mistari kwenzi. Series ya sinaga Swagga imenikosha mno hasa...
4 Reactions
9 Replies
4K Views
Dada yangu najua ni jinsi Gani ulivyoumia pale watu walivyokuwa wanakushambulia mitandaoni kwa maamuzi uliyochukua kwa kuolewa na mtu mwingine ambaye uliona ni sahihi kwako. Kiukweli tokea...
2 Reactions
58 Replies
10K Views
Kupitia account yake kwenye mtandao wa Instagram usiku wa leo amepost video yake ya kwanza. Watu kibao wanashangilia ujio wake. Wasanii wenzie tunafurahi kwa ujio wake, nafikiria kurekodi nae...
2 Reactions
31 Replies
7K Views
A 24-year-old US rapper Cedrick Smith popularly known as YouTube star CeddyBu Rap Sumo has died following the car accident he was involved in, hours after New Year’s Day. According to the...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Sipenzi mawazo Ya kupewapewa Na ndo mana mi sipendi bure Sipendi ukoloni hasa mkoloni mweusi Na ndomana joh mi siendi kule Ili tu mi nile zile chuki zile Hunijui kivileNyani haoni kundule You...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Miss Mexico Venessa Ponce yatwaa taji la Miss World 2018, huku Miss Uganda akitwaa taji la Miss World Africa. Mashindano ya Miss World yamemalizika huko China kwa mrembo kutoka nchini, Mexico...
6 Reactions
161 Replies
15K Views
"Nimeamua kuleta keki kama Shukrani yangu kwa #CloudsMediaGroup kwani kwangu inanigusa katika njia kuu tatu. . . . 1. Kama mwanafamilia ambaye ilinishika mkono toka nikiwa mdogo. . . . 2. Kama...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Rapa wa kike Nicki Minaj ametumia ukurasa wake wa Instagram kumtambulisha mpenzi wake mpya, Keneth Petty Mwenye umri wa miaka 40, baada ya wiki kadhaa nyuma (Nov 25) kuonekana na mwanaume huyo na...
1 Reactions
21 Replies
9K Views
Mrembo Sanchoka kutoka Tanzania anayesifika kwa umbo lake la kujazia, atangaza biashara ya mbwa watambulikao kama American bulldog kwa photoshoot kabambe ufukweni mwa bahari. sanchoka...
1 Reactions
42 Replies
12K Views
Mtangazaji wa Clouds tv Hassan Ngoma amesema CMG imeandaa shindano la kuwapata viongozi bora kwa ngazi ya DC, RC na Waziri. Ngoma amesema washindi watano wa kwanza watapewa zawadi mbali mbali na...
0 Reactions
77 Replies
7K Views
yeye pekee kafanya hivyo huku wengine hata wale walikuwa wanabebwa na club billicanas wakifyata mikia bila shaka kuogopa visasi vya watu fulani *soma haraka huu uzi utafutwa kwa sababu zisizojulikana*
3 Reactions
42 Replies
5K Views
Master Jay una boa wewe jamaa. Hizi ni chuki za wazi kabisa kwa mshiriki Aboubakari. Haiwezekani wiki tatu mfululizo unamponda tuu kijana wa watu. Hata kama ndio kukosoa sio ki hivyo unampotezea...
8 Reactions
87 Replies
11K Views
Mama wa msanii diamond platnumz maarufu Kama mama dangote amesema ndoa inamfanya ajisikie kijana na kufurahia maisha
0 Reactions
88 Replies
16K Views
Hivi Huyu msani wa miziki ya injili kwa sasa Yuko chini ya usimamizi wa nani! Namkutaga kwenye kituo cha mwendokasi nyuma ya mwanamboka aise naona kama anapoteaaa......kama yule kiuno bila...
11 Reactions
98 Replies
19K Views
It is more than three months now since when you penned down to inform us on your progress. As we continue to strongly believe that you are well recupurating and regaining your robust health, We...
5 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom