Hatimae muigizaji maarufu wa vichekesho nchini Tanzania Ankoo Zumo anaye igiza pamoja na Familia yake yaani Mwanae Maisala na Na mke wake (Mama yake Mai)
Ambaye amejipatia umaarufu sana nchini na...
Kituo cha Sound city Africa kimetoa nomination za tuzo zao kwa wasanii waliofanya vizuri barani Africa mwaka 2018 huku wasanii nguli Wizkid, Davido, Diamond,Tiwa Savage wakiongoza kwa nominations...
Tukianzia msaada wa Tsh millioni 68 kule Sumbawanga na kule Zanzibar Diamond ametoa zaidi ya Tsh Millioni miamomja kwa mda mfupi tu
inasemekana msaada alioutoa ni sawa mshahara wa Bdozen wa miaka...
Moja kati ya watu wanaoiharibia clouds na kuipotezea mashabiki ni hili kundi la shilawadu, Vijana wamekuwa ni watu wa shari sana na hawapendi maendeleo ya waliowazidi kimaisha.
Bifu la Platnumz...
Huyu kijana ni moja kati ya wanamuziki bora wa hip hop bongo.Ni mtunzi mzuri sana na pia uko very creative kwenye kutupe vile tunaita mistari kwenzi.
Series ya sinaga Swagga imenikosha mno hasa...
Dada yangu najua ni jinsi Gani ulivyoumia pale watu walivyokuwa wanakushambulia mitandaoni kwa maamuzi uliyochukua kwa kuolewa na mtu mwingine ambaye uliona ni sahihi kwako.
Kiukweli tokea...
Kupitia account yake kwenye mtandao wa Instagram usiku wa leo amepost video yake ya kwanza.
Watu kibao wanashangilia ujio wake.
Wasanii wenzie tunafurahi kwa ujio wake, nafikiria kurekodi nae...
A 24-year-old US rapper Cedrick Smith popularly known as YouTube star CeddyBu Rap Sumo has died following the car accident he was involved in, hours after New Years Day.
According to the...
Sipenzi mawazo Ya kupewapewa
Na ndo mana mi sipendi bure
Sipendi ukoloni hasa mkoloni mweusi
Na ndomana joh mi siendi kule
Ili tu mi nile zile chuki zile
Hunijui kivileNyani haoni kundule
You...
Miss Mexico Venessa Ponce yatwaa taji la Miss World 2018, huku Miss Uganda akitwaa taji la Miss World Africa.
Mashindano ya Miss World yamemalizika huko China kwa mrembo kutoka nchini, Mexico...
"Nimeamua kuleta keki kama Shukrani yangu kwa #CloudsMediaGroup kwani kwangu inanigusa katika njia kuu tatu. .
.
.
1. Kama mwanafamilia ambaye ilinishika mkono toka nikiwa mdogo. .
.
.
2. Kama...
Rapa wa kike Nicki Minaj ametumia ukurasa wake wa Instagram kumtambulisha mpenzi wake mpya, Keneth Petty Mwenye umri wa miaka 40, baada ya wiki kadhaa nyuma (Nov 25) kuonekana na mwanaume huyo na...
Mrembo Sanchoka kutoka Tanzania anayesifika kwa umbo lake la kujazia, atangaza biashara ya mbwa watambulikao kama American bulldog kwa photoshoot kabambe ufukweni mwa bahari.
sanchoka...
Mtangazaji wa Clouds tv Hassan Ngoma amesema CMG imeandaa shindano la kuwapata viongozi bora kwa ngazi ya DC, RC na Waziri.
Ngoma amesema washindi watano wa kwanza watapewa zawadi mbali mbali na...
yeye pekee kafanya hivyo huku wengine hata wale walikuwa wanabebwa na club billicanas wakifyata mikia bila shaka kuogopa visasi vya watu fulani
*soma haraka huu uzi utafutwa kwa sababu zisizojulikana*
Master Jay una boa wewe jamaa. Hizi ni chuki za wazi kabisa kwa mshiriki Aboubakari. Haiwezekani wiki tatu mfululizo unamponda tuu kijana wa watu. Hata kama ndio kukosoa sio ki hivyo unampotezea...
Hivi Huyu msani wa miziki ya injili kwa sasa Yuko chini ya usimamizi wa nani!
Namkutaga kwenye kituo cha mwendokasi nyuma ya mwanamboka aise naona kama anapoteaaa......kama yule kiuno bila...
It is more than three months now since when you penned down to inform us on your progress.
As we continue to strongly believe that you are well recupurating and regaining your robust health,
We...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.