MwanaHabari
JF-Expert Member
- Nov 9, 2006
- 442
- 13
Nimepata Habari kwamba mchungaji Lwakatare ameamua kurudisha Yatima 250 makwao kwa kisingizio kwamba hawezi kuwaangalia pale Tabata. Wanaorudishwa mikoani kwao wakiwemo wale wameathiriwa na HIV. Habari kutoka kwa wafanyakazi pale, plan ya kuwaondoa yatima ni kuandaa nafasi ya majengo ya orphanage kugeuzwa kuwa University.
Naomba kama kuna mtu ana habari zaidi aweze kunisaidia, maana huyu mchungaji there is something fishy going on, na kuchezea maisha ya yatima is something serious, so i am interested kama kweli ni mtu wa kusaidia watu au ana badilisha miradi tu at the expense of the disadvantaged people.
Naomba kama kuna mtu ana habari zaidi aweze kunisaidia, maana huyu mchungaji there is something fishy going on, na kuchezea maisha ya yatima is something serious, so i am interested kama kweli ni mtu wa kusaidia watu au ana badilisha miradi tu at the expense of the disadvantaged people.