Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kuwa mjanja mdogo wangu. Utatumiwa sana kwakuwa ni maarufu uendeshe faida kwenye kituo cha watu halafu akipata mbinu nyingine anaku-dump. Kuwa makini Diamond.
6 Reactions
85 Replies
9K Views
Huyu jamaa ameenda Kigoma kwa 10 yrs yake kuanzimisha, Hivi huko pia ni asili ya baba yake. My take kama babu yupo hai amchimbe mkwala kuwa kwanza akapatane na mwanae kisha ndio amtambue...
6 Reactions
77 Replies
15K Views
Its without a doubt K. Dot a kid from Compton Cali is a hot rapper and hence has managed kurudisha ushindani katika hiphop game. Da kid is lyrical, conscious na unaambiwa wakati yuko high school...
5 Reactions
96 Replies
10K Views
Wakati akifanyiwa interview kwenye kipindi Cha block89 Cha Wasafi fm Hemedi amesema yeye apendi kuoga na niliwahi kukaa mwezi 1 na nusu bila kuoga na ninapiga mademu Kama kawa.
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Wengi wanadhani mwanamziki Ali Kiba hapendi makuu au hapendi kujionyesha, lakini hili si kweli. Huyu mwanamziki kwanza ni mbinafsi sana, ana majivuno na mwenye wivu sana. Mifano ni mingi kuonyesha...
15 Reactions
38 Replies
6K Views
Kuna msemo wa kiswahili unasema ukifuga chatu uwe na unga wa kumlisha, kwa maana ukiishiwa unga atakugeuza wewe ndio msosi wake. Hii ni sawa na team ya Wasafi wanavyomuendekeza Dudu Baya aka...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amefunguka kuhusu chanzo cha ugomvi mkubwa unaoendelea chini kwa chini kati yake na mtangazaji Diva The Bawse anayeendesha kipindi cha Ala za roho kupitia...
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Na Musa Mateja Kitendo cha njemba ambaye jina lake halikunaswa mara moja cha kumchezea makalio staa wa Kiwanda cha Muvi Bongo, Aunt Ezekiel Grayson ‘Gwantwa', kimezua mtiti wa haja na...
0 Reactions
19 Replies
9K Views
Mdogo una shida sana kwa masuala mawaili 1. Udini 2. Uccm 1.Mdogo wangu diamond unasifika sana na sidhani km utashuka leo wala kesho. Wewe ni celebrity unapendwa na wote wakristo kwa waislamu...
19 Reactions
107 Replies
14K Views
ANDIKO LA KUTOKA GAZETI MAARUFU DUNIANI FORBES LIKIMUONGELEA JACKLINE NTUYABALIWE MENGI NA MAISHA YAKE YA BIASHARA. Malkia wa Urembo kutoka Tanzania Anayejenga Himaya ya Samani Akijivinjari...
2 Reactions
53 Replies
10K Views
Mwanamuziki Christian Bella na bendi yake ya malaika bendi hivi sasa wamekuwa matapeli. Jana ktk mkesha wa kuukaribisha mwaka mpya,Christian Bella ilikuwa atumbuize ktk Hotel ya Kisasa iliyopo...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
kule kulikuwa na chimbuko la vipaji sana hasa wa muziki wa kizazi kipya hapa tz,kuanzia wana chamber squard mashadaz wamashamba, kina aliko,baf markz,dkluu,paco b,magazzine Sijui sikuizi wapi?
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Nowdays tunakosa vitu vingi toka industry sanaa in general.Tunakosa songs ambazo zinareflect our reality, zinareflect real life situations Like mentioned one hapo juu The song imekamilika...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kuna wimbo mmoja hiv unasikika Sana mtaani ni wa bongo fleva umeimbwa na mwanamke na mwanaume na moja Kati ya mistari ya huo wimbo ni "Naisi kuibiwa, nachanganyikiwa" "Nimechoka kusubili,mbona...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Aman iwe nanyi wakuu katika jukwaa Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu Kuna ngoma imeachiwa hewan huko ya nandi ya ommy dimpoz lakin ukweli tu ni kwamba goma ni kali sana video nzuri...
2 Reactions
17 Replies
5K Views
Huu ujinga wa bifu la kweli ao kama la kutengeneza la kondeboy na domo limeuwa mziki wetu ..vi mbosso rayvanny alikiba lavalava vyote tu vimepotezwa kwenye ramani ya mzikii kisaa harmonize na domo...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Katika pitapita mitandaoni nimekutana na hili.... Wakenya wako vizuri sana hawa majirani zetu. Is Singer Nandy Really Tanzanian or Kenyan? Scooper - Entertainment News: Is Singer Nandy Really...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Kwanza kabisa na mpongeza kwa kufikisha miaka 10 ya mziki wake SI rahisi kuwa on top kwa miaka hiyo yote lakini huyu mwamba kaweza.Haya ni baadhi ya mambo aliyofanya kwenye kipindi chake chote Cha...
18 Reactions
206 Replies
26K Views
Nimekuwa nikisikia mara kadhaa mijadala ya vijana wakijaribu kumlinganisha Diamond Platnumz na Ali Kiba, nionavyo mimi kwa mahali alipofika Diamond, hakuna msanii wa kulinganisha naye kwa hapa...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom