Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

  • Closed
Apo vipi?
1 Reactions
96 Replies
10K Views
Huyu jamaa ni fundi sana nadhani hakuna vocalist kama yeye hapa Bongo maana jamaa anaimba vizuri low keys na high keys hasa kwa upande wa waimbaji wa room. Siku hizi sisikii nyimbo mpya toka...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Malkia wa filamu Wastara Juma amepata shavu la kuwa balozi wa kampuni ya simu za mkononi ya KZG Tanzania yenye makao makuu yake nchini China. Katika mkataba huo mwigizaji huyo atavuna kiasi cha...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
By Sangu J Moja ya mambo yananishangaza Sana kwenye Muziki wa Bongo Fleva ni kukosekana kwa Mwanamke mmoja ambaye atakuwa na hasira kubwa Sana kama aliyokuwa nayo Diamond Platnumz kwa kuweka...
2 Reactions
31 Replies
7K Views
Mashabiki wa Sanchoka wamewajia juu waandaaji wa shindano la miss bam bam 2018 baada ya mlimbwende binti Salim kuchukua taji la mrembo mwenye umbo la kibantu zaidi huku Sanchoka akishika namba 2...
6 Reactions
111 Replies
33K Views
Kijana wetu Diamond Platnumz a.k.a Michael jackson wa Africa kaanza vzr na mwaka 2020,event kubwa sana ya utoaji tuzo za fifa kwa bara la africa, Kijana alipofika tu kwenye shughuli nje ya jengo...
5 Reactions
67 Replies
12K Views
Ingawa mwaka huu bongo ilikua na wawakilishi wengi hakuna alieshinda. Ni kwa nini? Best New MVP: FireBoy DML (NG) JoeBoy (NG) Marioo (TZ) Rema (NG) – Winner Simmy (SA) Wendy Shay (GH) Best...
2 Reactions
102 Replies
11K Views
Msanii legend wa music wa bongofleva Mr Nice ameshangazwa na msanii Harmonize kuchukua vionjo wa wimbo wake kin'gasti Kwenye wimbo "Hainistui" bila kuniomba wala makubaliano. Wakati Mr Nice...
1 Reactions
41 Replies
7K Views
Man Water ni miongoni mwa ma producer hodari aliewatoa wasanii wengi kama kina 20% ila baada ya kutoelewana 20% akapotea. Katika mahojiano na Azam TV, amesema kuwa kuna nyimbo kadhaa alizofanya...
1 Reactions
66 Replies
14K Views
aliongea mengi, alimalizia kwa kusema tena kwa dharau, Diamond sio mmiliki kama anavyodanganya watu na angetaka kazi angempigia mmiliki sababu anamjua , Diva alaiongezea diamond ni muongo sana...
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Huyu kijana anauwezo mdogo wa kutunga na kuandika nyimbo kufikisha ujumbe wa aliokusudia. Badala yake amejikita kwenye hisia, mihemko na nadharia. Ila ukikaa na kusikiliza hakuna ujumbe...
6 Reactions
122 Replies
17K Views
Salute. Wagiriki wana msemo wao unaitwa πολυμαθής "polymaths" wakimaanisha aliye na elimu pana au ni mtu ambae anauwezo mkubwa katika mambo mbalimbali, anaweza kusovu mafumbo na kutatua au...
20 Reactions
73 Replies
9K Views
Hiki kipindi kilikuwa hot sana, kilibamba sana na kilikuwa kinapendwa na watu wengi sana. Kilikuwa kinarushwa kila Ijumaa ila kilianza kuyunga kuanzia mwaka 2017 mwishoni na hadi sasa hivi...
4 Reactions
47 Replies
12K Views
Habarini za wasaa huu, napanda jukwaa hill nikiwa na kero kubwa juu ya hawa wahuni wanaojiita wasanii Wa Tanzania Nimeunganisha dots nikaibuka na conclusion kwamba 80% yw wasanii Wa TZ ni...
12 Reactions
26 Replies
4K Views
Usiku wa jana Binti Elizabeth michael, Lulu alikuwa insta live akiwa amelewa, inasemekana kwa sasa amekuwa mtu wa stress baada ya kupigwa chini na mpenzi wake Majay
1 Reactions
107 Replies
24K Views
Diamond amefanya vizuri 2019 hakuna ubishi. Amefanya shows za mafanikio na ameangaliwa zaidi kwenye You Tube kuliko msaanii mwingine yeyote Afrika!!! Wasanii wa West na South Afrika ambao Mondi...
14 Reactions
125 Replies
13K Views
Msanii Dudu amefunguka baada ya kusikia kufungiwa mziki wake amesema sijapata wala kupokea barua yao so nitaendelea na mziki wangu Kama kawaida mpaka pale nitapopata barua yao alafu pia me...
10 Reactions
45 Replies
6K Views
Ni jambo la kishujaa alilolifanya na limewashida wengi. Ludacris kupitia ukurasa wake wa instagram, amepost video akiwa kashikilia passport ya Gabon kwenye video ameandika maneno akionesha kwamba...
9 Reactions
57 Replies
9K Views
Mnafikiri pesa za kulipa vitu vyote visivyo na maana zinatoka wapi. Dunia nzima hii ndiyo sababu ya kufilisika kwa waburudishaji wengi. Oprah alisema wengi wao hata matumizi na checks hawaandiki...
2 Reactions
55 Replies
11K Views
Wadau, Gwiji na mfalme wa R&B R Kelly yupo kwenye wakati mgumu kutokana na tuhuma za udhalilishaji kimapenzi kwa watoto. Safari hii tuhuma zimemlemea na kutikisa dunia ya muziki ambayo imempa...
8 Reactions
169 Replies
20K Views
Back
Top Bottom