Huu wimbo Nani kaimba na unaitwaje?

Huu wimbo Nani kaimba na unaitwaje?

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
18,320
Reaction score
26,174
Kuna wimbo mmoja hiv unasikika Sana mtaani ni wa bongo fleva umeimbwa na mwanamke na mwanaume na moja Kati ya mistari ya huo wimbo ni
"Naisi kuibiwa, nachanganyikiwa"
"Nimechoka kusubili,mbona utokei"
Alafu corus yake inaimbwa " kaputa" sijui nitakuwa nimelipatia hili neno .
 
Hata me nausikiaga sijui kaimba nan

kelphin kepph
 
Daah nimemis kipindi kile wanaume walikuwa wanaulizia ngoma za hip hop sio taarabu
 
Raisi anataka viwanda wakati mtaani tunahamasishwa kumwaga tu mbolea!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom