Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,944
Aman iwe nanyi wakuu katika jukwaa
Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu
Kuna ngoma imeachiwa hewan huko ya nandi ya ommy dimpoz lakin ukweli tu ni kwamba goma ni kali sana video nzuri lakin nandy kahalibu sana kaimba matusi mwanzo mwisho
Kitu kingine hii ngoma ni ya ubaguz sana maana inawasema vibaya watu wenye vibamia vyao, hatuwezi kuishi kwenye inchi yenye matabaka ambayo wanaopewa sifa wenye matango tu afu wenye vibamia wanatengwa hiyo ni no no no
Hiyo ngoma naomba basata muifunge mara moja ipasavyo imenichefua sana aisee
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu
Kuna ngoma imeachiwa hewan huko ya nandi ya ommy dimpoz lakin ukweli tu ni kwamba goma ni kali sana video nzuri lakin nandy kahalibu sana kaimba matusi mwanzo mwisho
Kitu kingine hii ngoma ni ya ubaguz sana maana inawasema vibaya watu wenye vibamia vyao, hatuwezi kuishi kwenye inchi yenye matabaka ambayo wanaopewa sifa wenye matango tu afu wenye vibamia wanatengwa hiyo ni no no no
Hiyo ngoma naomba basata muifunge mara moja ipasavyo imenichefua sana aisee
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app