Kwa wanaojua ladha ya muziki...vipi ingefanyika production ikiwaunganisha wasanii Hawa wawili...Simi(Nigeria) na Saida Kalori(Tanzania)
Audio production ifanywe na Mika Mwamba na Maneke
Sent...
Katika jamii yoyote ile ya watu, kuna baadhi ya watu ambao ni mabingwa wa kung'ata na kupuliza , akiwa na wewe atakusifia na kukupa kila aina ya sifa na kujifanya ni mwema sana kwako na kuwaponda...
Ahlan wassalan wana jamvi, baada ya pilika pilika za sikuu ya Christmas hopefully mko poa, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu mrithi wa kiti cha ufalme wa bongo fleva hatatoka kwenye...
Kunaile tabia ya kutoa comments kwenye kurasa za kijamii hususani kwa mastaa haswa pale wanapofanya mambo yanayoonekana kuwa kinyume na imani zetu mara nyingi unakuta tunawakumbusha utaona mtu...
Wanazengo wapenda ubuyu, embu tujuzane wapenda umbeya. Huyu dada historia inasema aliolewaga. Hivi kimeendaje tena ama ndo mambo ya uzungu. Status ipoje sahiv? Maana tangu aolewage sijawahi muona...
Miezi michache.iliyopita nilikuwa nawasikiliza hawa.kwenye redio moja. Ila tangu mfumo wa utangazaji wa ile redio ubadilike sijawahi tena kuwasikia na kwa kweli siisikilizi ile redio siku hizi...
Bongo star search imefikia hatua ya mwisho yaani final ya season ya mwaka Huu na tumeshuudia wasanii watano wakali wamebahatika kuingia kwenye final ambao ni meshack, Frank, leonard, Patricia na...
Huko youtube wasanii wa marekani kama kina chris brown wakitoaga video, masahabiki huandaa video za uchambuzi aidha kukosoa au pongezi kama kile kipindi salama jabir wa eatv alivyo kua akifanya...
Mh Mbilinyi mimi naamini yeye ndio alikuwa na sifa za kumpokea kijana.
1. Mbunge.
2. Msanii mwenzao
Kivyovyote wangeongea lugha moja inayofanana, lakini nimeshangaa Dr. Tulia ndio mwenyeji.
Kama...
Kutokana na tangazo lililotolewa na mamlaka juzi hapa kuhusu baadhi ya stations za radio hapa nchini kuhusu watangazaji wasio na vigezo kutangaza redioni naona sasa huenda aliekuwa mtangazaji...
Mbabe wa ndondi duniani kwenye uzito wa kati kutoka nchini Marekani Floyd Mayweather ambaye alistaafu lakini ametangaza kurejea kwenye ndondi tena, ndio mwanamichezo anayelipwa pesa nyingi zaidi...
Hivi wale wakongwe wa muziki safi wako wapi
Eti akina marlaw na goma la
busu la pink
Akina matonya ,zanto n.k
Wapo wapi Leo hii mziki mtamu hakuna tena daaah🙀🙀🙀😫😫😫
Kulikuwa na taarifa za muda mrefu kuwa msainii wa reggae wa Afrika kusini, Senzo Mthethwa, ameuawa na marehemu Lucky Dube. Senzo aliyepakua album nne: "Nothing But Prayer", " Irene", "Worshiping...
nimetoka kujikumbusha enzi zetu ,wakati muziki ulipokuwa muziki kweli, kwa kusikiliza hizo nyimbo tatu za mwamuziki sahlomon. huyu jamaa alikuwa anajua bwana, tofauti na muonekano wake na...
Wana bodi, kwenye kufanya utafiti wangu mkubwa nimegundua na kuona kwamba taifa la Nigeria limedominate Karibu mambo mengi sana mfano kwenye muziki Muziki na Wana muziki wa Nigeria ni maarufu sana...
Mtangazaji bora kabisa wa EA radio David Rwenyagira hatimaye naye katua wasafi FM,
Jamaa ni moja ya watu vichwa kabisa alikuwa akitangaza kipindi cha The Drive, ndinga mpya town
habari zenu wadau wa jf hasa jukwaa hili? kuna jamaa mmoja alikuwa hot sana kwenye bongo fleva, nilimfahamu kwa nyimbo zake kama ELIMU MITAANI, SAUTI YA GHARAMA (ft. mez-B), INGEWEZEKANA (ft. ray...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.