Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kwa wanaojua ladha ya muziki...vipi ingefanyika production ikiwaunganisha wasanii Hawa wawili...Simi(Nigeria) na Saida Kalori(Tanzania) Audio production ifanywe na Mika Mwamba na Maneke Sent...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Katika jamii yoyote ile ya watu, kuna baadhi ya watu ambao ni mabingwa wa kung'ata na kupuliza , akiwa na wewe atakusifia na kukupa kila aina ya sifa na kujifanya ni mwema sana kwako na kuwaponda...
3 Reactions
52 Replies
8K Views
Ahlan wassalan wana jamvi, baada ya pilika pilika za sikuu ya Christmas hopefully mko poa, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu mrithi wa kiti cha ufalme wa bongo fleva hatatoka kwenye...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Kunaile tabia ya kutoa comments kwenye kurasa za kijamii hususani kwa mastaa haswa pale wanapofanya mambo yanayoonekana kuwa kinyume na imani zetu mara nyingi unakuta tunawakumbusha utaona mtu...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanazengo wapenda ubuyu, embu tujuzane wapenda umbeya. Huyu dada historia inasema aliolewaga. Hivi kimeendaje tena ama ndo mambo ya uzungu. Status ipoje sahiv? Maana tangu aolewage sijawahi muona...
3 Reactions
82 Replies
18K Views
Congrats to brother and my role model Zitto Kabwe.
16 Reactions
137 Replies
21K Views
Miezi michache.iliyopita nilikuwa nawasikiliza hawa.kwenye redio moja. Ila tangu mfumo wa utangazaji wa ile redio ubadilike sijawahi tena kuwasikia na kwa kweli siisikilizi ile redio siku hizi...
3 Reactions
32 Replies
8K Views
Aliyekuwa Mshiriki No 13 Meshack Fukuta ndio mshindi wa Bongo SS kwa mwaka 2019 Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Bongo star search imefikia hatua ya mwisho yaani final ya season ya mwaka Huu na tumeshuudia wasanii watano wakali wamebahatika kuingia kwenye final ambao ni meshack, Frank, leonard, Patricia na...
0 Reactions
48 Replies
6K Views
Huko youtube wasanii wa marekani kama kina chris brown wakitoaga video, masahabiki huandaa video za uchambuzi aidha kukosoa au pongezi kama kile kipindi salama jabir wa eatv alivyo kua akifanya...
3 Reactions
16 Replies
4K Views
Mh Mbilinyi mimi naamini yeye ndio alikuwa na sifa za kumpokea kijana. 1. Mbunge. 2. Msanii mwenzao Kivyovyote wangeongea lugha moja inayofanana, lakini nimeshangaa Dr. Tulia ndio mwenyeji. Kama...
8 Reactions
42 Replies
6K Views
Kutokana na tangazo lililotolewa na mamlaka juzi hapa kuhusu baadhi ya stations za radio hapa nchini kuhusu watangazaji wasio na vigezo kutangaza redioni naona sasa huenda aliekuwa mtangazaji...
4 Reactions
39 Replies
6K Views
Mbabe wa ndondi duniani kwenye uzito wa kati kutoka nchini Marekani Floyd Mayweather ambaye alistaafu lakini ametangaza kurejea kwenye ndondi tena, ndio mwanamichezo anayelipwa pesa nyingi zaidi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi wale wakongwe wa muziki safi wako wapi Eti akina marlaw na goma la busu la pink Akina matonya ,zanto n.k Wapo wapi Leo hii mziki mtamu hakuna tena daaah🙀🙀🙀😫😫😫
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kulikuwa na taarifa za muda mrefu kuwa msainii wa reggae wa Afrika kusini, Senzo Mthethwa, ameuawa na marehemu Lucky Dube. Senzo aliyepakua album nne: "Nothing But Prayer", " Irene", "Worshiping...
4 Reactions
53 Replies
30K Views
  • Closed
nimetoka kujikumbusha enzi zetu ,wakati muziki ulipokuwa muziki kweli, kwa kusikiliza hizo nyimbo tatu za mwamuziki sahlomon. huyu jamaa alikuwa anajua bwana, tofauti na muonekano wake na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana bodi, kwenye kufanya utafiti wangu mkubwa nimegundua na kuona kwamba taifa la Nigeria limedominate Karibu mambo mengi sana mfano kwenye muziki Muziki na Wana muziki wa Nigeria ni maarufu sana...
9 Reactions
103 Replies
11K Views
Mtangazaji bora kabisa wa EA radio David Rwenyagira hatimaye naye katua wasafi FM, Jamaa ni moja ya watu vichwa kabisa alikuwa akitangaza kipindi cha The Drive, ndinga mpya town
5 Reactions
80 Replies
13K Views
habari zenu wadau wa jf hasa jukwaa hili? kuna jamaa mmoja alikuwa hot sana kwenye bongo fleva, nilimfahamu kwa nyimbo zake kama ELIMU MITAANI, SAUTI YA GHARAMA (ft. mez-B), INGEWEZEKANA (ft. ray...
3 Reactions
26 Replies
11K Views
Back
Top Bottom