Nabii kibonge
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 277
- 308
Nowdays tunakosa vitu vingi toka industry sanaa in general.Tunakosa songs ambazo zinareflect our reality, zinareflect real life situations Like mentioned one hapo juu
The song imekamilika kuanzia lyrics beat na hata chorus yake.Infact Fid jamaa ni Jini huyu .. inaelezea situation ambayo inawakuta watu wengi ni utunzi wa aina yake kiukweli. The song is about 3 years now lakini ukisikiliza ni kama imetoka jana..Nyimbo za hivi zinaishi
Nowdays utasikia Amber lulu kunja dela utasikia timua vumbi na bado utasikia chuchuma kama choo cha mabua wakibadilika utasikia mambo ya kurogana..eti wenzako wanakuroga___ shame on u msanii mkubwa unakuwa kama kibabu cha nachingwea kutwa kulalamika uchawi
Hamna hardfeeling songs tena, hamna nyimbo za kutuinspire wapuuz wanadanganyan kuhus views za youtube na kupost nudes IG
Let us mention cool songs to listen from industry
1.Fid q Roho
2.Ay Safari
Sent using Jamii Forums mobile app
The song imekamilika kuanzia lyrics beat na hata chorus yake.Infact Fid jamaa ni Jini huyu .. inaelezea situation ambayo inawakuta watu wengi ni utunzi wa aina yake kiukweli. The song is about 3 years now lakini ukisikiliza ni kama imetoka jana..Nyimbo za hivi zinaishi
Nowdays utasikia Amber lulu kunja dela utasikia timua vumbi na bado utasikia chuchuma kama choo cha mabua wakibadilika utasikia mambo ya kurogana..eti wenzako wanakuroga___ shame on u msanii mkubwa unakuwa kama kibabu cha nachingwea kutwa kulalamika uchawi
Hamna hardfeeling songs tena, hamna nyimbo za kutuinspire wapuuz wanadanganyan kuhus views za youtube na kupost nudes IG
Let us mention cool songs to listen from industry
1.Fid q Roho
2.Ay Safari
Sent using Jamii Forums mobile app