Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Zaidi, soma: Diamond Platnumz ndani ya Times FM: Ukinifungia nyimbo haunipunguzii kitu nitafanya show hata nje Shonza: Siwezi kujibizana na Diamond
5 Reactions
204 Replies
31K Views
Ni miezi 7 sasa tangu huyu mtanzania mwenzetu afariki, sio ndugu yangu, hajawahi kunipa hata shillingi tano, na wala sijawahi kuonana nae uso kwa uso, ila maisha yake yameni-inspire sana, sio siri...
7 Reactions
27 Replies
4K Views
Inauma sana! Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Mh. Juma Hamidu Aweso kumbe kazaliwa mwaka 1986?! Dah! Kama ni kweli ameanza kula maisha mapema sana!
2 Reactions
31 Replies
7K Views
Muigizaji huyo ameyasema hayo Ijumaa hii akiwa kwenye uzinduzi wa kipindi kipya cha Nipe Code ambacho kitaoneshwa kupitia king’amuzi cha @startimestz .
1 Reactions
54 Replies
9K Views
Ali Kiba ni staa kwenye muziki wa Bongo Fleva.. kama wewe ni mtumiaji wa Instagram utakuwa umeona kwamba Ali Kiba haja-follow mtu yoyote ukitembelea mitandao ya kijamii ya Ali Kiba utaona ya kuwa...
4 Reactions
192 Replies
25K Views
Nani ni mcharuko kati ya lulu na wema?
0 Reactions
21 Replies
6K Views
BAADA YA KIMYA CHA MUDA MREFU MWANAMUZIKI KING CRAZY GK JANA ALIONEKANA KWENYE HADHARA KATIKA TUZO ZA KILI. CRAZY GK ANAKUMBUKWA SANA ALITAMBA NA KUNDI LAKE LA EAST COAST TEAM.
4 Reactions
94 Replies
23K Views
Hongera sana mtu mzima Jay. Kudumu kwenye relationship kwa kipindi chote hicho sio mchezo ukizingatia maneno ya watu kujaribu kuwashusha na kuwaongelea sivyo. Nimependa Jay na Bey wamefanya...
6 Reactions
48 Replies
9K Views
Diamond ana perform ktk hizi tuzo za CAF kwa mara ya tatu. ---------------------------- Diamond Platnumz aki-perform kwenye CAF
6 Reactions
76 Replies
13K Views
Kuwa nawalinzi sio sababu ya kuuliwa tu, kitendo chakutoka point A to B ukitembea mashabiki wana weza kukuzonga kukuvutavuta sasa. Kwa upande wa kiba haitaj kwasababu kiwango hicho kwake...
3 Reactions
30 Replies
4K Views
Haya sasa tangia jana ni missile after missile... Inavyoonekana huyu Diva alikuwa na hamu sana Platnumz amjibu , maana tangia amejibiwa anarukaruka tuuu mara aseme hivi mara vileee, sahizi...
1 Reactions
137 Replies
21K Views
Yule muigizaji wa kimataifa wa nchini Tanzania ambae majuzi akiongozana na baadhi ya waigizaji wa Dar ametia kinyaa uwanja wa kigali na kufikia kila mtu kuanza kutukana Kinyarwanda Haikuwa rahisi...
1 Reactions
110 Replies
67K Views
Kwenu wakuu Huyu msanii nyimbo zake zilizopita zilikua hits kiasi chake na nzuri ila sikuhizi sijui anatoa ushubwada gani usharo mwingiiiii Nyimbo sio hits tena sio zile zinye pick ile aliyokuja...
4 Reactions
41 Replies
8K Views
Hili game linaweza kusitisha mkataba wako wa kuwa superstar ukianza kutoa ngoma kwa kusua sua mashabiki wanahamia kwengine. Sijui ni kipi kinaendelea lakini Ali amepoa mno, Yale ya "unikome"...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Hii ni kutoka makao makuu youtube kwamba wasafi yaongoza barani africa hongera wasafi. Sent using Jamii Forums mobile app
16 Reactions
57 Replies
6K Views
Baraza la sanaa limemfutia msanii Godfrey Tumaini "Dudubaya" leseni, kwahiyo hatakiwi kujihusisha tena na muziki. Mwanzoni msanii huyo alitoa kashfa tofauti kwa kutumia clips za video kwenye...
1 Reactions
65 Replies
9K Views
Amani iwe nanyi wakuu Dudubaya ataendelea kuwa mshindi daima na hakuna wa kumzuia milele mpaka kiama. Haogopi na ana msimamo. Kawashinda Clouds media sasa anaelekea kuwashinda BASATA na mpaka...
1 Reactions
50 Replies
5K Views
Music industry ina vituko vingi. Kiba anajiheshimu, Konde Boy anatafuta maisha Mondi naye kadhalika, sijui hizi conflict za sisi wasikilizaji zinatoka wapi. Moja, Pili, msikiti kwa wale wenzangu...
1 Reactions
19 Replies
6K Views
Kwa jinsi show yake ya jana,ilivyokua mmmhhh kawaida sana,labda kwa level za wazungu watakua wanamuelewa sana mchizi,ila kibongo bongo msela bado mnoooo.....
5 Reactions
60 Replies
10K Views
Back
Top Bottom