Jana nimebahatika kutazama kipindi cha Big Sunday Live kinachoongozwa na Lil Ommy. Nikiri wazi kuwa nimependa show yake, kuanzia ukumbi wamejitahidi sana maana hadi magari bajaji bodaboda zinazama...
Jana mmenikosha Sana kwenye hii show ya big Sunday live kumuona comedian wangu ninayemkubali Sana deogratius wa cheka tu jamaa anajua kuchekesha Sana.Kwa faida ya wale wasiojua kuhusu show ya big...
Kweli bongo land tumejaliwa kua na vipaji vingi sana, na watu wanajua kweli, ndio sababu hata mkuu wa nchi leo wakati anavunja bunge amewapongeza sana wasanii wetu kwa kupeperusha bendera vyema ya...
Aisee Startv kuna watangazaji kumbe nilikua sijui kabisa
Huyu jamaa anaitwa Edwin Odemba kwenye kipindi cha Siasa anajitahidi sana na haegemei upande wowote
Mcheza filamu asiyechuja bongo , na mwenye mvuto wa aina yake , Elizabeth michael , ameonekana akiwa kwenye kisiwa cha Zanzibar akila bata na marafiki zake na kufurahia maisha ..
Mrembo huyo...
Katika wasanii wenye Uwezo mkubwa wa kujenga hoja zenye maana katika Jamii hivi sasa hapa Tanzania, ni Ibrahim Musa aka Roma Mkatoliki.
Kwa Ujasiri na uwezo wako mkubwa kimaono kama kijana...
Tukiwa tunaendelea kushuhudia maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi yaliyotokana na mauaji ya Mmarekani mweusi George Floyd, ni vizuri wakati huu kujadili maswala yanayohusu ubaguzi wa rangi huku...
Kuna wakati niliwahi kusikia serikali imewachukulia hatua watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja akiwemo james delicious na amber ruti.
Nimeuliza kwa sababu mara nyingi nawakuta hawa watu...
Kennedy sanga maarufu director Kenny moja ya video director wakubwa hapa east Afrika na director namba moja wa Diamond Platnumz
Kitaaluma ni fundi umeme.Alianza mambo ya video kama mmoja wa...
Mwanamfalme Philip ambaye ni mume wa Malkia wa Uingereza, Elizabeth II kwa zaidi ya miongo 7 anasherehekea miaka yake 99 ya kuzaliwa, leo Juni 10
Philip 'The Duke of Edinburgh' atatumia muda wake...
William’s late mother, Lady Diana Spencer, married Charles, Prince of Wales in 1981 at Westminster Abbey.
She then inherited the title, Diana, Princess of Wales – though she was affectionately...
Controversial Twitter bigwig and influencer Artur Mandela aka Xtian Dela has for the first time revealed that he collected more than Ksh5 million from Club Covid.
Xtian started Club Covid after...
Wakuu,
Je wasanii wetu wa sanaa wanajua maana ya hakimiliki yaani copyright? Tunaposema hakimiliki au copyright inamaanisha haki aliyomilikishwa kisheria mtunzi au mwandishi wa kazi fulani kama...
Mtandao maarufu wa kupanga charts za muziki duniani wa Billboard umeachia makala wakielezea namna ya kupata mafanikio kimataifa kwa kutumia mtandao wa Youtube huku wakimtolea mfano star wa muziki...
Nukuu: "mtangazaji kanipgia simu kuniuliza, Roma kwanini hatukuoni Ukiandamana au Ukikekemea Mtandaoni yanayoendelea Marekani Kama wafanyavyo wasanii wenzio was bongo?(Black lives matter)...
.
By SanguJoseph
Leo nataka tuwaze pamoja, Kwa nyinyi kupokea salamu zangu kwa Alikiba,, msianze kusema wewe Sangu J unachuki Zako binafsi na Kiba, mbona kila siku wewe unamuangalia kwenye...
Katika kitabu chake cha SUGU THE AUTOBIOGRAPHY -MAISHA NA MZIKI (FROM THE STREET TO THE PARLIAMENT) Sugu anasema
""Nakumbuka katika kipindi hicho nilikuwa karibu sana na kanisa, nilikuwa mmoja...
Rais wa Manzese Madee Ali amesema kuwa haamini kwenye ubaguzi wa Rangi unaotajwa kuendelea Duniani na hata George Floyd inawezekana alikuwa mhalifu.
Madee amezungumza hayo kupitia kipinfi cha XXL...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.