warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,380
Bidada nasikia limemkuta jambo , ile ofisi yake aliyoifungua kwa mbwe mbwe wiki kadhaa iliyopita nasikia imevunjwa vunjwa na Vijana wanaosadikika wametumwa na mke wa muheshimiwa ambaye anadaiwa kutoka na Tessy.
Cheusi dawa nasikia alinunuliwa gari, alifunguliwa ofisi na kununuliwa kiwanja huko maeneo ya sala sala ambapo nasikia ujenzi bado unaendelea..
Nasikia bidada kavamiwa kwenye saloon yake na kuvunjiwa vitu na baadhi kuibiwa na watu wanaodaiwa kutumwa na mke wa jamaa
Cheusi dawa nasikia alinunuliwa gari, alifunguliwa ofisi na kununuliwa kiwanja huko maeneo ya sala sala ambapo nasikia ujenzi bado unaendelea..
Nasikia bidada kavamiwa kwenye saloon yake na kuvunjiwa vitu na baadhi kuibiwa na watu wanaodaiwa kutumwa na mke wa jamaa