Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na C.E.O wa WCB Diamond Platnumz akiwa chini Ufaransa ameweza kufanya tukio kubwa sana la Kuperfom wimbo wa TETEMA kwenye birthday ya aliyewahi kuwa mchezaji wa...
6 Reactions
30 Replies
9K Views
Watanzania tuna tabia ya kutoa sifa mtu akishafariki. Sasa leo hii nakupa hongera mond kwa mambo mengi ulioyafanya: 1. Kuitangaza lugha ya kiswahili kupitia nyimbo zako. 2. Kuleta tuzo za...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Kupitia akaunti ya Instagram ya E Fm (efmtanzania) wameandika haya Hamisi Mandi B. Bozen, kati ya majina yake anayopenda ni The Navigator (msafiri). Kwenye safari hiyo kavusha wengi kiasi kwamba...
13 Reactions
347 Replies
49K Views
Niimani yangu kuwa mko poa wana jf mnaendelea na majukumu ya kila siku japo ndio hivyo vyuma vimekaza kwa baadhi yetu lakini maisha lazima yaendelee Leo tunamuongelea mchekeshaji wa zamani...
8 Reactions
126 Replies
68K Views
Ayo Tv, Millard ayo channel ya youtube zamani ilishazoeleka kuingiza hata video 10 kwa mpigo kwenye orodha ya video zinazovuma (trending videos), Ni kipindi ambacho kijana hakuwa na mpinzani...
4 Reactions
44 Replies
8K Views
Huyu sasa ndo KING KONG halisi. Jamaa ka-improve sana,kawa mbavu kinyama gym halisemi uongo, hana tena muonekano wa kiteja, usijerudia tena unga mzee.
9 Reactions
16 Replies
4K Views
Nimejaribu kucheck orodha sijaona hata msanii mmoja kutoka nyumban na EA kwa ujumla, hii maana yake nini? Mziki wetu umeshuka? Au wasanii wetu washalizika? Au tuseme ushindani umezidi... Majina...
1 Reactions
42 Replies
5K Views
Huyu mwanadada yuko wapi? Binafsi nampenda sana huyu mrembo... Kipindi anashiriki hili taji na kushinda nafasi ya pili, bado nilikuwa shule DIT nilimtamani sana sema tu sikuwa na mavumba kipindi...
7 Reactions
128 Replies
17K Views
First of all, do you believe in re incarnation? So you love Tupac Shakur? Do u know who George Stinney was ? Do u want me to prove to you why I say Tupac Shakur was a re incarnation of George...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
kuwa staa ni mtaji mkubwa sana kwa msanii, unaweza kufanya kitu cha kawaida tu ila kikapewa sapoti mno na kuonekana kikubwa, mbali na kazi za sanaa kuwa staa ni kuwa na sifa kama za huyu kijana...
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Msanii Hakeem 5 ambaye alitambulika katika muziki baada ya kufanya Collabo na msani Ali Kiba kwenye wimbo wa ‘Nakshi Mrembo’ amefunguka na kusema kuwa msanii Ali Kiba si mtu mzuri na wala hana...
3 Reactions
74 Replies
16K Views
Christina Shusho ni moja kati ya waimbaji maarufu wa muziki wa injili Tanzania ambao wamefanikiwa kufikisha pia kazi zao nje ya Tanzania. Christina amekuwa na utaratibu wa kuandika jumbe kwa...
5 Reactions
18 Replies
5K Views
Professionally, huyu jamaa ni muigizaji maarufu kidogo, tena ni mtanzania anaeongea kiswahili, na ni mwanaume aliezaliwa na kukulia Dar, aliigiza kwenye ile movie inayoitwa huba, half kimuonekano...
0 Reactions
30 Replies
7K Views
Licha ya kutaka tu mziki mzuri lakini tunapenda vionjo vingine pia kutoka kwa Mwanamuziki. Msanii/Mwanamuziki/Mburudishaji yafaa kuishi kisanii kama kazi uliyochagua inavyokutaka na si kuleta...
29 Reactions
60 Replies
8K Views
Kuna rundo la watu wenye wasiopenda wema wa kijana wameegamia kwenye fikra potofu kwamba ilibidi huu msaada utoke kimya kimya, Jibu ni "NO" "HAPANA!!!" Kuna misaada inabidi itoke kimya kimya...
22 Reactions
281 Replies
34K Views
Tangu nimeanza kumwona huyu jamaa akitangaza Habari za biashara mara zote rangi ni ile ile, ni utaratibu wa ITV au?
1 Reactions
37 Replies
5K Views
Nasikia mara kwa mara Zari the boss lady akiitwa Tukinao na team pinzani so nataka kujua lina maana gani na ni nani alilianzisha maana kama linazidi kuwa viral hivi.
5 Reactions
111 Replies
26K Views
Kuhusu kulipia show =========== Jamaa kaona isiwe kesi, Kiki hakuna kaamua kujilipua kwa kununua Airtime ili Akiki siku mbili tatu ==================== Kuhusu performance ya kuwa nzuri...
1 Reactions
268 Replies
27K Views
Haters wa Alikiba Mshumaa=> Hii ngoma si ya kimataifa haiwezmfikisha popote ni ya hapa hapa Dodo=> Ngoma Imepooza Sana mda huu watu wanataka ngoma za kubang So hot, Club banger=>Ngoma mbovu...
7 Reactions
52 Replies
5K Views
Habari wadau wa JF na Bongo fleva, Aliyekuwa mwanamziki wa bongo fleva na komandoo wa JWTZ aliyejulikana kama Masota afariki dunia. Masota alitamba na vibao kadhaa alivyorecord kwa producer...
13 Reactions
149 Replies
55K Views
Back
Top Bottom