Wu-Ma

Senior Member
Dec 1, 2017
113
277
Job Ndugai alitoa sintofahamu yake kuhusu mkopo na tozo Kwa pamoja Kwa ajili ya utatuzi wa Jambo Hilo Hilo moja kinyume na mpango kazi wa awali, ambao ulibainisha tozo ndio zibebe huo mzigo badala ya kukopa kopa.

Alikuwa sahihi kabisa kikatiba, hata hvyo hoja yake imeleta matokeo ya kushangaza Sana, baada ya hapo series of negativity from high command imemuandama, kusutwa hadharani na mheshimiwa Rais, kutishiwa wazi na viongozi wakuu wa chama na vibaraka, vitisho hivyo vikiambatana na kejeli na dharau...!! Huku akishinikizwa kujiudhulu.

Ghafla bin vuu , ikatolewa taarifa ya kujihudhuru Kwa mheshimiwa Job ndugai , bila kupoteza mda katibu wa CCM akatangaza kupokea barua ya kujihudhuru uspika toka Kwa mheshimiwa Job Ndungai, na katibu wa Bunge akatoa taarifa kupokea barua ya kujihudhuru uspika ya mheshimiwa Job ndugai tokea Kwa katibu mkuu wa CCM,

Maswali yamekuwa mengi kuhusu hyo barua na pia ukimya wa aliyekuwa spika , Kwa nini barua itokee Kwa katibu wa chama kwenda Kwa katibu wa Bunge badala ya kutokea Kwa spika mwenyewe kwenda Kwa katibu wa Bunge kama katiba inavyoelekeza .....?

Katibu wa CCM , na mwenyekiti wa CCM pamoja na baadh ya wakereketwa wakuu wa chama , ndo waliomsuta Ndugai , kumzomea , kumkejeli na kila Aina ya dharau , huku wakidai hafai , aachie ngazi la sivyo atatolewa Kwa nguvu ....

Ni Jambo la kushangaza watu hao ndo waliotoa taarifa ya kujihudhuru na kinyume kabisa na katiba barua ya kujihudhuru inatokea kwao kwenda Kwa katibu wa Bunge..!! Tutembee na taarifa ya kujihudhuru Kwa Ndungai , huku tikisubir uchaguzi wa spika mpya , hata hvyo ukimya wa Job ndugai kuiweka Sawa hii sintofahamu inatia Shaka na kuibua maswali kuhusu hii barua...!! Au alilazimishwa , au kiwewe au ni mchongo , au alishikiwa bunduki , ....
 
Kwa inavyoonekana...
Taarifa ya kujiuzulu kwa Job Ndugai ilishaandaliwa mapema na watawala na viongozi wake ndani ya ccm. Maoni yake juu ya mikopo na tozo yametumika tu kama ngazi kurahisisha mchakato!
Kama unabisha basi ikague tu ile barua utagundua kuwa haikutoka kwa Job Ndugai yule aliyekuwa Spika wa Bunge la JMT.
Kwa nyongeza zaidi; hata kauli yake wakati anaomba radhi kwa SSH ina viashiria kuwa alikuwa kwenye shinikizo kubwa!
Job Ndugai ametangulizwa tu mbele... Kuna wengi wanafuata nyuma yake!

Watajuzulu wenyewe au watajiuzulishwa kama ilivyotokea kwa Job Ndugai!

NB: Vijana mnaotumika leo kupandwa migongoni. Kuweni makini sana na wanaowapanda! Haijalishi ni rais ama ni nani!
 
Job ndungai alitoa sintofahamu yake kuhusu mkopo na tozo Kwa pamoja Kwa ajili ya utatuzi wa Jambo Hilo Hilo moja kinyume na mpango kazi wa awali, ambao ulibainisha tozo ndo zibebe huo mzigo badala ya kukopa kopa , alikuwa sahihi kabisa kikatiba , hata hvyo hoja yake imeleta matokeo ya kushangaza Sana , baada ya hapo series of negativity from high command imemuandama, kusutwa hadharani na mheshimiwa Raisi, kutishiwa wazi na viongozi wakuu wa chama na vibaraka , vitisho hvyo vikiambatana na kejeli na dharau...!! Huku akishinikizwa kujihudhuru.

Ghafla bin vuu , ikatolewa taarifa ya kujihudhuru Kwa mheshimiwa Job ndugai , bila kupoteza mda katibu wa CCM akatangaza kupokea barua ya kujihudhuru uspika toka Kwa mheshimiwa Job Ndungai, na katibu wa Bunge akatoa taarifa kupokea barua ya kujihudhuru uspika ya mheshimiwa Job ndugai tokea Kwa katibu mkuu wa CCM,

Maswali yamekuwa mengi kuhusu hyo barua na pia ukimya wa aliyekuwa spika , Kwa nini barua itokee Kwa katibu wa chama kwenda Kwa katibu wa Bunge badala ya kutokea Kwa spika mwenyewe kwenda Kwa katibu wa Bunge kama katiba inavyoelekeza .....?

Katibu wa CCM , na mwenyekiti wa CCM pamoja na baadh ya wakereketwa wakuu wa chama , ndo waliomsuta Ndugai , kumzomea , kumkejeli na kila Aina ya dharau , huku wakidai hafai , aachie ngazi la sivyo atatolewa Kwa nguvu ....

Ni Jambo la kushangaza watu hao ndo waliotoa taarifa ya kujihudhuru na kinyume kabisa na katiba barua ya kujihudhuru inatokea kwao kwenda Kwa katibu wa Bunge..!! Tutembee na taarifa ya kujihudhuru Kwa Ndungai , huku tikisubir uchaguzi wa spika mpya , hata hvyo ukimya wa Job ndugai kuiweka Sawa hii sintofahamu inatia Shaka na kuibua maswali kuhusu hii barua...!! Au alilazimishwa , au kiwewe au ni mchongo , au alishikiwa bunduki , ....
Sasa ana mapunziko mafupi, japo ameutimia muda vizuri Kwa kuenda kuokota mabibo kwenye Ile bustani ya mokorosho.
 
Huyu hana tofauti na yule aliyelala milele pale chattle,
Akili yake ilishakufa kitambo ila mwili ulikuwa bado hai
Kwa sasa macho ya TISS yapo juu yake hata Uhuru wa kujisaidia au kuchepuka hana tena.
Huyu akafanyiwe mila za kigogo, angekuwa mchagga au mmeru tungempelekea hii Kama ishara ya uzee usiostahili kuzungumzaa mbele ya umma
 

Attachments

  • VID_20220106_135601.mp4
    4.6 MB
Inaonekana kuna motive behind ya kujiuzulu kwake, hasa ikizingatiwa TISS na CCM hufanya kazi kwa pamoja, na ukimya wa Ndugai unazidi kuacha maswali mengi.
 
NB: Vijana mnaotumika leo kupandwa migongoni. Kuweni makini sana na wanaowapanda! Haijalishi ni rais ama ni nani!
Kama ilivyokuwa kwa Job. Mwiba uchomeapo ndipo utokeapo. Haiwezekani kupanda mpunga ukavuna mahindi. Hata sisi tunapaswa kutafakari haya. Imekuwa kama hadithi hivi!!
 
Kwa inavyoonekana...
Taarifa ya kujiuzulu kwa Job Ndugai ilishaandaliwa mapema na watawala na viongozi wake ndani ya ccm. Maoni yake juu ya mikopo na tozo yametumika tu kama ngazi kurahisisha mchakato!
Kama unabisha basi ikague tu ile barua utagundua kuwa haikutoka kwa Job Ndugai yule aliyekuwa Spika wa Bunge la JMT.
Kwa nyongeza zaidi; hata kauli yake wakati anaomba radhi kwa SSH ina viashiria kuwa alikuwa kwenye shinikizo kubwa!
Job Ndugai ametangulizwa tu mbele... Kuna wengi wanafuata nyuma yake!

Watajuzulu wenyewe au watajiuzulishwa kama ilivyotokea kwa Job Ndugai!

NB: Vijana mnaotumika leo kupandwa migongoni. Kuweni makini sana na wanaowapanda! Haijalishi ni rais ama ni nani!
Watakwambia, ^Mwacheni Bi Mikopo anafungulia nchi^
 
Job ndungai alitoa sintofahamu yake kuhusu mkopo na tozo Kwa pamoja Kwa ajili ya utatuzi wa Jambo Hilo Hilo moja kinyume na mpango kazi wa awali, ambao ulibainisha tozo ndio zibebe huo mzigo badala ya kukopa kopa.

Alikuwa sahihi kabisa kikatiba, hata hvyo hoja yake imeleta matokeo ya kushangaza Sana, baada ya hapo series of negativity from high command imemuandama, kusutwa hadharani na mheshimiwa Rais, kutishiwa wazi na viongozi wakuu wa chama na vibaraka, vitisho hivyo vikiambatana na kejeli na dharau...!! Huku akishinikizwa kujiudhulu.

Ghafla bin vuu , ikatolewa taarifa ya kujihudhuru Kwa mheshimiwa Job ndugai , bila kupoteza mda katibu wa CCM akatangaza kupokea barua ya kujihudhuru uspika toka Kwa mheshimiwa Job Ndungai, na katibu wa Bunge akatoa taarifa kupokea barua ya kujihudhuru uspika ya mheshimiwa Job ndugai tokea Kwa katibu mkuu wa CCM,

Maswali yamekuwa mengi kuhusu hyo barua na pia ukimya wa aliyekuwa spika , Kwa nini barua itokee Kwa katibu wa chama kwenda Kwa katibu wa Bunge badala ya kutokea Kwa spika mwenyewe kwenda Kwa katibu wa Bunge kama katiba inavyoelekeza .....?

Katibu wa CCM , na mwenyekiti wa CCM pamoja na baadh ya wakereketwa wakuu wa chama , ndo waliomsuta Ndugai , kumzomea , kumkejeli na kila Aina ya dharau , huku wakidai hafai , aachie ngazi la sivyo atatolewa Kwa nguvu ....

Ni Jambo la kushangaza watu hao ndo waliotoa taarifa ya kujihudhuru na kinyume kabisa na katiba barua ya kujihudhuru inatokea kwao kwenda Kwa katibu wa Bunge..!! Tutembee na taarifa ya kujihudhuru Kwa Ndungai , huku tikisubir uchaguzi wa spika mpya , hata hvyo ukimya wa Job ndugai kuiweka Sawa hii sintofahamu inatia Shaka na kuibua maswali kuhusu hii barua...!! Au alilazimishwa , au kiwewe au ni mchongo , au alishikiwa bunduki , ....
Bro fanya utafiti kwanza kabla hujatoa upupu,tozo zina mpango wake na huo mkopo una mpango wake na vyote vilipita bungeni

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kwa inavyoonekana...
Taarifa ya kujiuzulu kwa Job Ndugai ilishaandaliwa mapema na watawala na viongozi wake ndani ya ccm. Maoni yake juu ya mikopo na tozo yametumika tu kama ngazi kurahisisha mchakato!
Kama unabisha basi ikague tu ile barua utagundua kuwa haikutoka kwa Job Ndugai yule aliyekuwa Spika wa Bunge la JMT.
Kwa nyongeza zaidi; hata kauli yake wakati anaomba radhi kwa SSH ina viashiria kuwa alikuwa kwenye shinikizo kubwa!
Job Ndugai ametangulizwa tu mbele... Kuna wengi wanafuata nyuma yake!

Watajuzulu wenyewe au watajiuzulishwa kama ilivyotokea kwa Job Ndugai!

NB: Vijana mnaotumika leo kupandwa migongoni. Kuweni makini sana na wanaowapanda! Haijalishi ni rais ama ni nani!
Inatia was was Sana , ngoja tuone
 
Kujiudhulu, kujiudhuru, umechanganya-changanya kishenzi mwanangu.

Sema KUJIUZULU usisumbuke na 'dhu' yako ahaha

Narudi kwenye Mada, naendelea kumsihi Ndugai akae kimya hivyo hivyo asiongee chochote maana he is at the edge of his last paper!
 
Bro fanya utafiti kwanza kabla hujatoa upupu,tozo zina mpango wake na huo mkopo una mpango wake na vyote vilipita bungeni

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Mkuu si Raisi alisema kuwa alikaa yeye a katibu mkuu na Wazir wa fedha , huo mkopo haukupita bungeni , Ndungai sio bonge la Fala Kias hcho boss
 
Kujiudhulu, kujiudhuru, umechanganya-changanya kishenzi mwanangu.

Sema KUJIUZULU usisumbuke na 'dhu' yako ahaha

Narudi kwenye Mada, naendelea kumsihi Ndugai akae kimya hivyo hivyo asiongee chochote maana he is at the edge of his last paper!
Ahsante Kwa marekebisho , mantiki imeeleweka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom