Kujipendekeza, au Ingratiation, ni tabia ya mtu kujenga picha nzuri au kutafuta kibali kwa watu wenye mamlaka kwa kutumia sifa za uongo na utii uliopitiliza. Katika jamii ya sasa, tabia hii imekuwa mkakati wa kujihami na kujitafutia fursa, lakini nyuma yake kuna maswali mazito ya kisaikolojia na...
Ndg wanajukwaa wenzangu Kwa kipindi kirefu mmeshuhudia member mwenzetu wa jamiiforums bwana mdogo Tlaatlaah akitoa nyuzi zinazohusu chadema Kila siku kama conveyer belt.
Hii yote ni kwasababu anaipenda na kuihusudu chadema mnoo kiasi Cha kushindwa kuficha mahaba yake.
Kimsingi huyu bwana...
Masikini wengi wakiwaongelea vibaya matajiri uwa wanapata auheni ya kisaikolojia hii ni ngumu kumeza ndio maana weng waliofanikiwa wanaongozwa kusemwa vibaya sana
Je,
anapata usaidizi wowote maalumu wa kiafya kutoka kwenye idara za chama chake kulingana na nafasi yake chadema taifa, na kutokana na maoni mseto yanayoenezwa mitandaoni dhidi ya tuhuma za ufisadi wa fedha za chama zinazomkabili?
Kwa maoni yangu,
licha ya familia yake kumtia moyo, nadhani...
baada
chadema
gani
hali
kisaikolojia
kutrend
makamu
makamu mwenyekiti
makamu mwenyekiti wa chadema
mitandaoni
mwenyekiti
mwenyekiti wa chadema
sana
taifa
tuhuma
ufisadi
zake
Wafuasi wa Chadema wanahitaji tiba akili, otherwise tutakuwa na watu wenye upungufu wa afya ya akili wengi sana nchini na Africa mashariki.
Imagine from nowhere mtu anaanza kutukana watu na ikizingatia mtu anayemtukana hata hana habari naye huu ni ugonjwa si akili ya kawaida.
Imagine mtu wa...
Na sio kuvunja ndoa tu, hata njia za kimafia
Kuna baadhi ya jamii ambazo tangu mtoto akiwa mdogo anakulia mfumo wa kuamini kwamba thamani ya mtu inapimwa zaidi kwa kiwango cha fedha na mali alizonazo.
Katika mazingira kama hayo, hata mtu anaporudi kusalimia yumbani, maswali ya kwanza yanaweza...
Katika kesi iliyopangwa kufanyika tarehe 6/7/26//2026 ya kupingwa ubunge wa ' Baba Levo' hisia za ndani kabisa zinaniambia ajiandae kisaikolojia kuachana na ubunge
Huyu mtoto anaharibikiwa kisaikolojia,mtoto anayetakiwa kushikwa mkono anamshika Mama yake mgongoni,kwa sababu Mama yake anatembea kwa magoti na mikono,yule mtoto anatazama watu anaogopa anahisi labda yeye ni kiumbe kingine,mtoto mdogo lakini kichwani kwake inaweza kuwa anawaza mambo mengi akiwa...
Kitendo cha kumfumania mwenzi wa ndoa au uhusiano wa karibu ni moja kati ya mapigo mazito zaidi ya kisaikolojia anayoweza kuyapitia mwanadamu. Katika jamii zetu, tumeshuhudia mara nyingi matukio ambapo fumanizi linageuka kuwa uwanja wa umwagaji damu, mauaji, au ukatili uliokithiri. Wakati...
Habari ya muda mrefu wakuu….
Baada ya miezi mingi kupita hatimaye nimerudi tena Binti wa zamani do you see me?……
Hivi mnajua kuwa mioyo yetu inauhitaji wa amani muda wote hapa duniani,na je mnaju kuwa amani za mioyo zinachangia tiba kisaikolojia……anyway iko hivi katika maisha yetu...
Simba hii ya Baker inainyesha kutisha kweli kweli; Yanga tujiandae kisaikolojia, Yanga hii tumekuwa butu sana kwenye kushambulia goli la mpinzani na vile vile tumekuwa lege lege sana kwenye kilinda goli let. Simba inaonekana kuwa imara sana kulinda goli lao na vile vile wana makali ya...
Iwe chama tawala au upinzani haitakuwa salama sana. Jitahidi kuomba Mungu akupe ujasiri na kukuondolea roho ya wivu na gubu kwa yajayo. Kama akianza kuhudhuria mikesha ya mwenge ndo usali zaidi. Akifikia hatua ya kutaka teuzi za viti maalum funga siku 40 bila kula wala kunywa.
Toka maza juzi atoe boko mbele ya jukwaa la biashara kwa kuwapiga mikwara vijana kwa atawatandika mikwaju basi ni kelele kote watu walidhani maza angekuwa kinyonge kumbe unyonge sio pigo zake sasa watu ndo wameshamwelewa...
Me kila siku nawaambia unatakiwa kuishi kama vile serikali haipo yaani...
Ok, what is really special mfano hadi ichezewe afya ya akili kama mtoto mdogo.
Je ni makebo yake makubwa?, namna anavyokwea mnazi? Rangi yake utafikiri anaoga na maziwa?
what is really special hadi unajua unachezewa akili lakini bado umo?
Unalilia kwa demu ambae kila jioni a anajifanya kulia...
Kuna hatua za kiakili ambazo mtu hupitia kabla hajapiga kelele ile ya kitaa ya “HEBU SHUSHA HAPO!” ndani ya daladala, na honestly zinastahili kufanyiwa utafiti wa kisayansi.
Kwanza kabisa kuna negotiation ndani ya ubongo, “niseme sasa au nisubiri kidogo?” Halafu ubongo unaanza kujenga tension...
Serikali imeanza mpango wa kupanga upya walimu kulingana na viwango vyao vya elimu, ambapo walimu wenye stashahada watapangiwa kufundisha katika shule za msingi huku wale wenye shahada wakielekezwa kufundisha ngazi ya sekondari.
Hatua hiyo inalenga kuongeza ufanisi katika ufundishaji kwa...
Hello bosses and roses...
Ni muda sana sijaandika kuhusu spirituality na psychology lakini leo nmekutana na uzi wa jamaa mmoja analalamika kwamba hakuzini kwa miezi 6 ila baada ya kuzini tu anajisikia vibaya siku ya nne sasa.
Iko hivi, kwanza kabisa kabla ya kuzini mara nyingi kuna moments za...
Kutumia mbinu za kijima yaani mkono wa chuma Kwa kizazi kipya ni ku expose uzembe wa idara ya taifa husika katika kusoma alama za nyakati plus mahitaji ya kizazi husika!
Tambiko hubadilika kutokana na mahitaji ya nyakati na kizazi ili kuepuka madhara makubwa Kwa taifa!
Kama ccm ndio Tambiko...
Nguvu na umaarufu wa uzushi, uchochezi na porojo zao za kujaribu kuwafarakanisha wananchi na serikali yao vimekosa nguvu kabisa sasa, hasa baada ya waTanzania wengi kubaini kwamba wanarubuniwa, wanatumika na kutapeliwa kisaikolojia kwa kwa kuuziwa hadidhi, picha na video za uongo zenye maudhui...
TUME ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imesema itawapatia waathirika wa vurugu hizo huduma ya kisaikolojia kutokana na madhila za vurugu hizo kwa kuwakutanisha na wataalamu wa saikolojia.
Baadhi ya waathiriwa waliofika na kutoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.