markp
Senior Member
- Sep 26, 2013
- 181
- 299
Moja ya mpango wa tozo ni kujenga madarasa. Na sasa wamekopa tena 1.3 tr kujenga madarasa haina maana hata kidogo.
Bro fanya utafiti kwanza kabla hujatoa upupu,tozo zina mpango wake na huo mkopo una mpango wake na vyote vilipita bungeni
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app