Nipo kibaruani navuna korosho.
Screenshot_20220107-142127.jpg
 
Kwa inavyoonekana...
Taarifa ya kujiuzulu kwa Job Ndugai ilishaandaliwa mapema na watawala na viongozi wake ndani ya ccm. Maoni yake juu ya mikopo na tozo yametumika tu kama ngazi kurahisisha mchakato!
Kama unabisha basi ikague tu ile barua utagundua kuwa haikutoka kwa Job Ndugai yule aliyekuwa Spika wa Bunge la JMT.
Kwa nyongeza zaidi; hata kauli yake wakati anaomba radhi kwa SSH ina viashiria kuwa alikuwa kwenye shinikizo kubwa!
Job Ndugai ametangulizwa tu mbele... Kuna wengi wanafuata nyuma yake!

Watajuzulu wenyewe au watajiuzulishwa kama ilivyotokea kwa Job Ndugai!

NB: Vijana mnaotumika leo kupandwa migongoni. Kuweni makini sana na wanaowapanda! Haijalishi ni rais ama ni nani!
Mkuu ,ukishaanzwa kupandwa mgngoni huwezi kuachq maisha yako yote!
 
Mimi nilishangazwa na mtiririko na Mpangailio wa Sentensi kwenye lile Tangazo la Ndugai!
Achilia mbali kuandikwa Kwa Herufi kubwa!
Bila shaka mwandishi yule Hana weledi kabisa wa lugha na Uandishi wa Serikali na kwa vyovyote vile hawawezi wakawa ni wasaidizi wa Spika!Labda ni Job mwenyewe🧐 ...kama n yeye,aliandika akiwa katika.mhemko!
 
Inaonekana kuna motive behind ya kujiuzulu kwake, hasa ikizingatiwa TISS na CCM hufanya kazi kwa pamoja, na ukimya wa Ndugai unazidi kuacha maswali mengi.
Mkumbuke Mr . Supika sio walimu wa darasa la uongozi, hivyo Hana kelele.
 
Kwa inavyoonekana...
Taarifa ya kujiuzulu kwa Job Ndugai ilishaandaliwa mapema na watawala na viongozi wake ndani ya ccm. Maoni yake juu ya mikopo na tozo yametumika tu kama ngazi kurahisisha mchakato!
Kama unabisha basi ikague tu ile barua utagundua kuwa haikutoka kwa Job Ndugai yule aliyekuwa Spika wa Bunge la JMT.
Kwa nyongeza zaidi; hata kauli yake wakati anaomba radhi kwa SSH ina viashiria kuwa alikuwa kwenye shinikizo kubwa!
Job Ndugai ametangulizwa tu mbele... Kuna wengi wanafuata nyuma yake!

Watajuzulu wenyewe au watajiuzulishwa kama ilivyotokea kwa Job Ndugai!

NB: Vijana mnaotumika leo kupandwa migongoni. Kuweni makini sana na wanaowapanda! Haijalishi ni rais ama ni nani!
Naona kama unateseka sana
 
Baada ya kusoma habari(heading (katika gazeti moja kuwa mkewe kasema mumewe aachwee apumzike, nimeanza kupata hisia huenda atakuwa amepelekwa nchi moja ya Ulaya au Marekani akatulie kuondoa streets, kukwepa waandishi na pia kujiweka sawa kisakkolojia.

Sijasoma ndani lakini kwa jibu hilo kwa mwandishi wa gazeti, ni wazi Job yuko mahali salama, ila probabilblly nje ya nchi kwa baraka za wakubwa na huenda alipoitwa Magogoni hii ilikuwa ni moja ya agenda (aende wapi au aishi vipi kwa kipindi hiki).

Kama alikataa kuuza utu wake, basi atakuwa tu nyumbani kwake hatoki nje ya geti na hata kusali haenda.

Kazi sana!
 
Baada ya kusoma habari(heading (katika gazeti moja kuwa mkewe kasema mumewe aachwee apumzike, nimeanza kupata hisia huenda atakuwa amepelekwa nchi moja ya Ulaya au Marekani akatulie kuondoa streets, kukwepa waandishi na pia kujiweka sawa kisakkolojia.

Sijasoma ndani lakini kwa jibu hilo kwa mwandishi wa gazeti, ni wazi Job yuko mahali salama ila probabilblly nje ya nchi kwa baraka za wakubwa na huenda alipoitwa Magogoni hii ilikuwa ni moja ya agenda (aende wapi au aishi vipi kwa kipindi hiki).

Kama alikataa kuuza utu wake, basi atakuwa tu nyumbani kwake hatoki nje ya geti na hata kusali haenda.

Kazi sana!
Ndio maana mnakuwa watu wa majungu majungu mitandaoni, na kuweka hisia kwenye vitu vya maana. Mtu yeyote asiyependa kusoma na kufuatilia taarifa kwenye vyanzo sahihi, huishia kuwa mtu wa majungu tu. Someni magazeti (ya maana) msishinde na kukesha mitandaoni, mtabaki kuwa wambea na wazushi!
 
Ndio maana mnakuwa watu wa majungu majungu mitandaoni, na kuweka hisia kwenye vitu vya maana. Mtu yeyote asiyependa kusoma na kufuatilia taarifa kwenye vyanzo sahihi, huishia kuwa mtu wa majungu tu. Someni magazeti (ya maana) msishinde na kukesha mitandaoni, mtabaki kuwa wambea na wazushi!
Mbona unaumia roho?!
 
Baada ya kusoma habari(heading (katika gazeti moja kuwa mkewe kasema mumewe aachwee apumzike, nimeanza kupata hisia huenda atakuwa amepelekwa nchi moja ya Ulaya au Marekani akatulie kuondoa streets, kukwepa waandishi na pia kujiweka sawa kisakkolojia.

Sijasoma ndani lakini kwa jibu hilo kwa mwandishi wa gazeti, ni wazi Job yuko mahali salama ila probabilblly nje ya nchi kwa baraka za wakubwa na huenda alipoitwa Magogoni hii ilikuwa ni moja ya agenda (aende wapi au aishi vipi kwa kipindi hiki).

Kama alikataa kuuza utu wake, basi atakuwa tu nyumbani kwake hatoki nje ya geti na hata kusali haenda.

Kazi sana!
jobstick
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom