Wataobaki watafika.

Hiyo ni kwa dunia nzima, siyo Tanzania tu.

So far no solution. Na chanjo ndiyo itaua wengi zaidi.
Wenzetu wanapambana kuendelea kuzuia maambukizi ya kasi kwa kudhibiti mikusanyiko nk. Na kwa wakati huo wanafanya kazi usiku na mchana kupata vaccine.

Hiyo nayo siyo lazima wananchi wote wapatiwe. Immune through vaccines ikipatikana kwa wananchi at least asilimia 70, wanaweza kuendelea na maisha kama kawaida. Ila data ni muhimu.
 
Shirika la afya duniani WHO linasema kuwa virusi vya corona sio rahisi kuisha kwa ivi karibuni na itategemea na kila nchi imejipangaje kupamabana nayo.

Kwa wale waliofunga mipaka na kuanza kuzuia toka ndani watafanikiwa zaidi na wanaweza kuviondoa katika nchi zao, ila wale ambao hawakujipanga watarajie majanga zaidi.

Kwa sasakuna chanjo zaidi ya 100 zinafanyiwa uchunguzi.

Kuna nchi waniandae kuishi nao kama magonjwa mengine kama Ukimwi na ebola na kama wana huduma mbovu za afya itakuwa ni maafa zaidi.

From BBC swahili
 
Aisee Sasa hapa Tanzania corona itaweza kuuwa watu wengi sana kwanza Huduma za Afya ni mbovu sana.

#Free_Mdude
 
Binafsi namuona Rais Magufuli kama mtu aliejua nini kitatokea, naleo tunathibitisha hilo, alianza kuhamasisha barakoa za vitambaa watu wakamcheka sana na kuongea maneno ya kejeli lakini CDC na WHO nao wakaja kutoa uo ushauri, akaja kusema huu Ugonjwa hupo na utakuwepo tu kama magonjwa mengine watu tuchukue tahadhali lakini swala la lockdown hapana! Na leo tumesikia kwa mkurugenzi wa WHO kuwa lockdown si njia bora yakujikinga na Covid-19.

Nasubiri report ya zile kit za JACK tajiri la kichina alizotoa kama msaada na ndo hzo zinazotumika maabara kuu ya taifa.
 
Shirika la afya duniani WHO linasema kuwa virusi vya corona sio rahisi kuisha kwa ivi karibuni na itategemea na kila nchi imejipangaje kupamabana nayo.

Kwa wale waliofunga mipaka na kuanza kuzuia toka ndani watafanikiwa zaidi na wanaweza kuviondoa katika nchi zao, ila wale ambao hawakujipanga watarajie majanga zaidi.

Kwa sasakuna chanjo zaidi ya 100 zinafanyiwa uchunguzi.

Kuna nchi waniandae kuishi nao kama magonjwa mengine kama Ukimwi na ebola na kama wana huduma mbovu za afya itakuwa ni maafa zaidi.

From BBC swahili
Corona itaendelea kuwepo, yasema WHO
 
Mh. Rais wetu kalisema hili mapema, kuwa Corona virus haitaisha leo wala kesho, tuchukue tahadhari huku tukifanya kazi, na hakuna lockdown, watu sasa wanaanza kumuelewa, Mh. Rais wetu ni genius tukubali kwa kweli, anaona mbali kabisa
Hatunywi sumu,hatujinyongi CCM MBELE KWA MBELE.

CCM OYEE!MISIMAMO DAIMA
 
Heee kwa hiyo maisha yatakua haya mpaka mwisho wa dunia maski mwanzo.mwisho,hakuna shule wala nini,,yani maisha kama ya 2019 BC(Before Corona) hayatakuwepo tena?
 
Shirika la afya Duniani WHO linasema corona inaweza isiondoke kabisa Duniani kama vile Ukimwi.

Hivyo watu tujifunze kuishi na Corona kama vile tunaishi na Ukimwi.



Nadhani hatuna sababu ya kuendelea kufunga shule na vyuo. Tuchukue tu tahadhari maisha yaendelee.
 
Back
Top Bottom