Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,016
9,885
Akielezea suala linaloendelea kuhusu mkataba wa DP-World na Tanzania ametoa sababu kuwa ni utendaji kazi mdogo wa TICTS ambao umesababisha meli nyingi ziwe zinashushia mizigo Lamu, Mombasa au Afrika kusini hali ambayo imepunguza wateja wa Bandari ya Dar es salaam.

Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa amesema utendaji mbovu wa bandari unasababisha meli zitumie muda mwingi bandarini ambapo gharama ya meli kubaki bandarini huingia mfanya biashara hivyo bidhaa kuwa ghali mtaani. Amesema kwa sasa meli hutumia hadi siku saba kwa mzigo kupakuliwa.

Aidha, amesema awali TPA ilitambua utendaji mbovu na kumpa TICTS mkataba kwa miaka 20 lakini hakukuwa na utendaji mzuri ambapo mkataba huo uliisha 2017 na baadae aliomba kuongezewa miaka mitano ambayo imeisha 2022 na bado hakuweza kuleta vifaa vipya vya kuhudumia bandari.

Waziri Mkuu ameonesha suala la mkataba wa DP-World litarahisisha upakuaji wa mizigo.

Watanzania wametaka maelezo baada ya kuwa na utata katika baadhi ya vipengele vya mkataba huo ambao kwa kiasi kikubwa serikali na spika wa bunge wamekuwa wakivitolea maelezo.

Habari zaidi, soma:
  1. Sakata la DP WORLD: Rais Samia asema Serikali itatafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar, sasa kuchangia robo tatu ya bajeti ya nchi

 
PM asijivue nguo kujibebesha aibu za wengine, wacha kila mjinga aubebe ujinga wake.

Mkataba usio na ukomo unaompa mwarabu mamlaka ya kujitawala ndani ya ardhi yetu ni matusi, ni matusi mazito sio kwa kizazi chetu pekee, bali hata kizazi kijacho.
 
Akielezea suala linaloendelea kuhusu mkataba wa DP-World na Tanzania ametoa sababu kuwa ni utendaji kazi mdogo wa TICTS ambao umesababisha meli nyingi ziwe zinashushia mizigo Lamu, Mombasa au Afrika kusini hali ambayo imepunguza wateja wa Bandari ya Dar es salaam.

Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa amesema utendaji mbovu wa bandari unasababisha meli zitumie muda mwingi bandarini ambapo gharama ya meli kubaki bandarini huingia mfanya biashara hivyo bidhaa kuwa ghali mtaani. Amesema kwa sasa meli hutumia hadi siku saba kwa mzigo kupakuliwa.

Aidha, amesema awali TPA ilitambua utendaji mbovu na kumpa TICTS mkataba kwa miaka 20 lakini hakukuwa na utendaji mzuri ambapo mkataba huo uliisha 2017 na baadae aliomba kuongezewa miaka mitano ambayo imeisha 2022 na bado hakuweza kuleta vifaa vipya vya kuhudumia bandari.

Waziri Mkuu ameonesha suala la mkataba wa DP-World litarahisisha upakuaji wa mizigo.

Watanzania wametaka maelezo baada ya kuwa na utata katika baadhi ya vipengele vya mkataba huo ambao kwa kiasi kikubwa serikali na spika wa bunge wamekuwa wakivitolea maelezo.

1. Je, kuwapa hao DPW ndio suluhisho la kudumu la tatizo hilo??
2.Katika miaka yote hii ya Uhuru, Je, Serikali yenyewe imefanya juhudi gani za makusudi katika kuwawezesha Watanzania wazawa ili waweze kuendesha Bandari hiyo?? Kwa nini haikuunda Kampuni yake yenyewe ambayo ni strong and competent katika kufanya shughuli za Bandari??
3. Je, kuuza au kubinafsisha kwa wageni kila taasisi ya Serikali iliyoshindwa kujiendesha vizuri ndio suluhisho sahihi l a matatizo yetu??
4. Je, kampuni ya kitanzania yenye uwezo wa kufanya kazi za bandari ni TICTS tu peke yake??Zingine mbadala hakuna hadi wapewe DPW??
5. Kama utendaji usioridhisha wa Kampuni ya TICTS ndio kigezo kilichosababisha bandari kuuzwa kwa wageni, mbona kuna taasisi nyingi hapa nchini ( taasisi binafsi na taasisi za Serikali) ikiwamo na Ofisi yake ya Waziri Mkuu na Ikulu ya Rais pia, taasisi ambazo nazo utendaji wake si wa kuridhisha.Je, taasisi hizo (Ikulu na OWM nazo sasa tunatakiwa tuzibinafsishe kwa raia wa kigeni eti kisa zina utendaji usioridhisha???? Ndio anataka kutuambia hivi Watanzania??
6.Je, TPA itakuwa na Jukumu gani basi baada ya bandari zote kubinafsishwa hapa Tz???
7.Ni kwa nini Serikali isifikirie kuivunja Mamlaka ya Bandari (TPA), kuivunja TASAC pamoja na taasisi zingine zote zinazohusika na masuala ya Bandari hapa nchini ili kuunda kampuni moja kubwa itakayoshirikiana au kuingia ubia na taasisi binafsi za ndani ya nchi kama vile TICTS ili kufanya kazi za bandari kwa ufanisi zaidi badala ya kufikiria kubinafsisha bandari zote kwa kampuni ya kigeni ya DPW kwa Mkataba wa maisha/milele????????????
 
S
Akielezea suala linaloendelea kuhusu mkataba wa DP-World na Tanzania ametoa sababu kuwa ni utendaji kazi mdogo wa TICTS ambao umesababisha meli nyingi ziwe zinashushia mizigo Lamu, Mombasa au Afrika kusini hali ambayo imepunguza wateja wa Bandari ya Dar es salaam.

Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa amesema utendaji mbovu wa bandari unasababisha meli zitumie muda mwingi bandarini ambapo gharama ya meli kubaki bandarini huingia mfanya biashara hivyo bidhaa kuwa ghali mtaani. Amesema kwa sasa meli hutumia hadi siku saba kwa mzigo kupakuliwa.

Aidha, amesema awali TPA ilitambua utendaji mbovu na kumpa TICTS mkataba kwa miaka 20 lakini hakukuwa na utendaji mzuri ambapo mkataba huo uliisha 2017 na baadae aliomba kuongezewa miaka mitano ambayo imeisha 2022 na bado hakuweza kuleta vifaa vipya vya kuhudumia bandari.

Waziri Mkuu ameonesha suala la mkataba wa DP-World litarahisisha upakuaji wa mizigo.

Watanzania wametaka maelezo baada ya kuwa na utata katika baadhi ya vipengele vya mkataba huo ambao kwa kiasi kikubwa serikali na spika wa bunge wamekuwa wakivitolea maelezo.

Sipingi DPW, ila huyu Waziri Mkuu anasema bidhaa zimekuwa ghari mtaani kwa sababu ya Customs na TRA au ushushaji mizigo polepole yaani procedure za TICS, huyu DPW atatatua hayo matatizo kwa technologia gani? Yaani meli zisushe mizigo haraka, zipunguze muda wa kungoja?
 
S

Sipingi DPW, ila huyu Waziri Mkuu anasema bidhaa zimekuwa ghari mtaani kwa sababu ya Customs na TRA au ushushaji mizigo polepole yaani procedure za TICS, huyu DPW atatatua hayo matatizo kwa technologia gani? Yaani meli zisushe mizigo haraka, zipunguze muda wa kungoja?
Mambo ya ushuru na forodha si sheria wanazotunga wao.huu mkataba hata ukiutetea vp wenyewe hauteteheki
 
Back
Top Bottom