ticts

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BARD AI

    Bilionea kutoka India, 𝗔dani ainunua TICTS kutoka kwa Karamagi na Manek

    KAMPUNI inayomilikiwa na kampuni ya Gautam Adani, ambaye ni miongoni mwa matajiri wakubwa duniani, imenunua Kituo cha Kimataifa cha Huduma za Makontena Tanzania (TICTS), ambacho wakurugenzi wake waanzilishi ni pamoja na wafanyabiashara wazawa Nazir Karamagi na Yogesh Manek. Thamani ya mkataba...
  2. Kingsmann

    Kampuni inayomilikiwa na kampuni ya Gautam Adani,imenunua Kituo cha Kimataifa cha Huduma za Makontena Tanzania (TICTS)

    Tume ya Ushindani wa Haki Tanzania (FCC) imefichua kuwa Adani tayari ameshapewa dili la kuendesha kontena la bandari ya Dar es Salaam, ingawa hakuna tangazo lililotolewa na TPA. Ununuzi huo unamaanisha kuwa TICTS inaweza kufanya COMEBACK YA KUHUSIKA katika bandari ya Dar es Salaam, lakini chini...
  3. Dam55

    Bandarini Dar: Madereva wa Malori wamegoma kutokana na utendaji mbovu na system ya TPA

    Kwa habari za kuaminika nikwamba kwasasa kuna mgomo unaendelea TPA Terminal II (TICTS) Madereva wamegoma kutokana na utendaji mbovu na system ya TPA kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi kutoka TPA I na TPA II. Mamlaka ziseme ukweli na zitafute ufumbuzi haraka wa hili tatizo. Kuzuia waandishi wa...
  4. Suley2019

    Nazir Karamagi: Itakuwa ni jambo la ajabu kwa Tanzania kutochangamkia fursa ya kumpata mwekezaji mwingine katika bandari

    Aliyewahi kuwa Mbunge wa Bukoba Vijijini na Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, amesema itakuwa ni jambo la ajabu kwa Tanzania kutochangamkia fursa ya kumpata mwekezaji mwingine katika bandari ili kuleta ufanisi wa utendaji na mapato. Karamagi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha...
  5. Pascal Ndege

    Tetesi: Waliowapa DP World Bandari ndiyo haohao waliwapa TICTS mkataba ndio hao hao wezi bandarini

    Kuna mtu kanifata inbox akilalama Mimi nimepewa hela kukataa DP world. Sijapewa chochote na mtu yoyote. Mimi ni mmoja ya watu ambao ulikuwepo wakati AirTanzania inasambaratika Kuna muda kwenda Mwanza kwa ndege ilikuwa hadi laki 9 one way. Tulikuwepo wakati TRC linabinafshishwa likabakia chumba...
  6. A

    Mkataba wa TICTS haukuhitaji IGA, kwanini wa DPW uhitaji IGA?

    Kume kuwa na utetezi WA Wanaotetea nkataba WA DPW kuwa ukodishaji WA Bandari sio WA mara ya Kwanza , Kwa kutolea mfano WA Mkataba WA TICTS ambayo ilikuwa na muungano na Hutchinson ya Singapore , bula kuweka utofauti WA mikataba hii. Mosi nkataba WA TICTS haukuwa na IGA lakini huu Una WA DPw Una...
  7. comte

    Ushahidi CHADEMA inatumiwa na TICTS kukwamisha uboreshaji wa bandari

    TICTS walipewa kazi ya kuendeleza, kuboresha, na kuendesha shughuli za upakuwaji na upakiaji wa makasha ya mizigo kwenye bandari ya Dar as salaam kuanzia mwaka 2000. Walipewa magati 08,09,10 na 11 na bandari kavu za kurasini na Ubungo amabo ni 75% ya ukubwa wa biashara ya bandariya Dar es...
  8. C

    TICTS walipewa Mkataba wa miaka 20. Je, DP World Mkataba wao ni muda gani?

    Swali la msingi liko hapo. TICTS walipewa miaka 20, waliposhindwa na mkataba kuisha wamenyimwa nyongeza ya mkataba. Je, hao DP World mmewapa muda gani? Ili nao wakishindwa tutafute mwekezaji mwingine na kama watafanikiwa waongezewe mkataba kwa mujibu wa sheria za nchi. Hoja ya watanganyika...
  9. Analogia Malenga

    Waziri Mkuu: Bandari imepewa DP-World kwa kuwa utendaji wa TICTS ni mdogo

    Akielezea suala linaloendelea kuhusu mkataba wa DP-World na Tanzania ametoa sababu kuwa ni utendaji kazi mdogo wa TICTS ambao umesababisha meli nyingi ziwe zinashushia mizigo Lamu, Mombasa au Afrika kusini hali ambayo imepunguza wateja wa Bandari ya Dar es salaam. Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa...
  10. Ngungenge

    TICTS mlipewa miaka 22 lakini mmechemsha sasa kaeni kimya tunaenda na DP World

    TICTS mmebembelezwa sana juu ya kuongeza ufanisi wa kazi zenu. Mliongezwa mkataba wa miaka mitano ili mboreshe lakini mmeshindwa. Mlipewa proposal muongeze winch za kupakia na kupakua mzigo badala yake mkaendelea kufanya kazi kienyeji. Yaani mnapata pesa nyingi lakini hamtaki kuwekeza...
  11. Pfizer

    DP World anapewa kazi ya kupakua na kupakia Makontena tu, sio Bandari yote ya Dar wala si nje ya Dar

    Salaam Wakuu, Wote tunaijua Bandari ya Dar Es Salaam. Watu walidanganya eti kuanzia Geti namba moja hadi namba 8 anapewa DP World kumbe uongo. DP World anapewa kazi ya kupakia na kupakua Makasha kama ilivyokuwa kwa TICTS si kwamba anapewa bandari yote ya Dar, anapewa kijisehemu tu. Kwahiyo...
  12. BARD AI

    TPA kuanza kuendesha eneo la TICTS Januari 2023

    Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), imesema kuanzia Januari Mosi, 2023 mamlaka hiyo italiendesha eneo lililokuwa likitumiwa na Kampuni Binafsi ya Kimataifa ya Kuhudumia Makontena Tanzania (TICTS). Kauli hiyo, imetolewa leo Jumatano Desemba 21, 2022 na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Juma Kijavala...
  13. S

    Bandari inatosha kuendesha uchumi, tunahitaji maamuzi ya kimapinduzi tusirudie yale ya TICTS

    TANZANIA imekuwa kiungo muhimu kwanchi zisizokuwa na bandari katika ukanda wa Afrika mashariki na kati. Bandari zake za Dar es Salaam, Tanga naMtwara zimekuwa lango muhimu la bidhaa na biashara kwa nchi za Zambia, Zimbabwe, DRC, Malawi, Burundi, Rwanda na hata Uganda. Hivi Karibuni nikiwa...
  14. W

    Karamagi wa TICTS' ahaha kwa wahariri, wabunge

    Karamagi wa TICTS' ahaha kwa wahariri, wabunge * Ni baada ya mkataba wao kufutwa bandari ya Dar es Salaam * Kampuni ya PR ya Capital Plus yapewa kazi kuisafisha TICTS * Wapanga uhujumu wa huduma za makontena bandarini baada ya kuenguliwa WAZIRI mstaafu Nazir Karamagi na mfanyabiashara Yogesh...
  15. Etwege

    Miaka 22 ya TICTS nchini yafika mwisho, mamlaka ya bandari kutosaini mkataba mpya

    Bodi ya Mamlaka ya bandari nchini imekubaliana kutohuisha mkataba wa kampuni ya kupakua na kupakia makontena bandarini ya TICTS na badala yake itatafuta muwekezaji mwingine. Chanzo cha taarifa kinasema pande hizo mbili zilishindwa kufikia makubaliano baada ya mkataba wa miaka 5 kufikia tamati na...
  16. W

    TICTS yasababisha hasara kubwa kwa taifa, yadondosha makontena baharini

    TICTS yasababisha hasara kubwa kwa taifa * Yadondosha makontena matatu baharini * Meli zashindwa kushusha mafuta bandarini kwa siku kadhaa KAMPUNI ya kimataifa ya kuhudumia makontena Tanzania katika bandari ya Dar es Salaam (TICTS) imeisababishia taifa hasara kubwa baada ya kudondosha...
  17. Suzy Elias

    Tetesi: Waarabu wa Dubai Port kuwang'oa TICTS bandarini

    Ni wazi Ticts hana chake tena bandarini na hii ni baada ya kampuni ya waarabu wa Dubai Port kufanikiwa kuwashawishi watawala ili wawape Mkataba wa kushusha na kupakia makasha shughuli ambayo Ticts walikuwa wanaifanya hapo awali. NB: Ile picha ya mama pale Burj inaendelea kulipa.
  18. Getrude Mollel

    How TICTS became a barrier to Horticulture's Industry in Tanzania?

    The terrible performance of TICTS in handling containers at the Dar es Salaam Port over the past 20 years has spillover effects on the vast economic arrays of Tanzania’s economy. The underperformance of the Dar es Salaam port has cost the government trillions in loss of revenues as there has...
  19. Getrude Mollel

    How TICTS became a barrier to Tanzania’s horticulture industry

    The terrible performance of TICTS in handling containers at the Dar es Salaam Port over the past 20 years has spillover effects on the vast economic arrays of Tanzania’s economy. The underperformance of the Dar es Salaam port has cost the government trillions in loss of revenues as there has...
Back
Top Bottom