Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Inawezekana lakini ninavyomjua JK na Yusuph Makamba
sidhani JK anaweza kutoa order kijana 'amalizwe'
nna uhakika JK angeongea na Yusuph Makamba kijana akaomba msamaha..

wasiwasi wangu ni kuwa kuna 'watu walikuwa wanamtafutia timing'
kwa hiyo wameona nafasi sasa....

Kijana anasifika kwa 'kujiona wa maana sana'
wanaita 'entitlement feelings'...

Hawa maadui wake walijikusanya siku nyingi
only now ndo wanamu attack...

kuna kitu still hatukijui
Hapo kwenye JK and the Makamba's ni kweli, maana mahusiano yao yanarudi nyuma kipindi JK akiwa bado ni mwanafunzi. So kama usemavyo Makamba angeitwa tu tena siyo na JK bali baba yake. Inawezekana kuna watu wameamua kujipenyeza katikati ya kauli na ukilaza wa makamba na JK na hivyo kutengeza nyufa haribifu
 
Naamini Lowassa anajuta sana kupoteza muda na waswahili....

Waswahili ni kina nani?

Waswahili ni watu wanaotumia Kiswahili inaeleweka hivyo; wewe mwenyewe ni Mswahili hata huyo unayemshabikia pia ni Mswahili, yani hakuna namna na huwezi kujitoa katika Uswahili.
 
Kilichotokea ni rahisi sana! Ndani ya ccm kuna kikundi cha kimafia na kilipata nguvu mno wakati wa utawala uliopita... Hiki kina siri za watu wengi sana wamekaa nazo kama asset
Few days ago January akasimama kuusema vibaya utawala wa Kikwete! Utawala ambao yeye ni sehemu yake!!! Akaunanga sana bila kujali maumivu waliyo nayo wale wenzake walioachwa na Magu
Yeye kachukuliwa na Magu Kama asante ya kufanikisha wizi wa kura kwahiyo alipaswa kukaa kimya, lakini akajiona msafi sana, mafia wale wakaingia kazini wakafanya yao wakamtupia chizi mange naye akafanya yake

Shua naunga mkono oja yako 95%
 
Sasa January yupo na Ruge wamejichimbia sehemu na Utitiri wa waganga wa kienyeji wanapanga jinsi ya kupangua mawe na kumkomoa mange na umoja wa Vijana unasukiwa Zengwe pia , Makamba baba Yao na yeye yupo busy na Ndumba hii ni Hatari wameamua kukomaa na nguvu za giza wakidhani watakwepa hilo JIPU .

Mkuu umenichekesha Ruge kweli rafiki yke February liko wazi siwezi kukubishi ata ile radio jipu
 
Niliingia chimbo kupata connection ya Mange na huyo mwitaliano na kinachoendelea.... Nimesikia na kubaini mengi....

January ktk hili bora angenyamaza coz wenzie wamekusanya furushi la taarifa na wapo tayari kwa pambano kuu!!!!
Waune tuuuu.maana hakuna namnaaaa
 
Binafsi huwa simpendi huyo binti ila kwa January nimemkubali coz huyo kijana anajifanya mjuaji mno ilhali ni mweupe kichwani!!!!

Mkuu kijana nimweupe kichwani tena sana sijui wanamkubali kwa lipi sijui ndo ndumba hizo
 
Kwa hiyo hicho kibinti kinatumiwa tu, sio?

Jambo ambalo nimekuwa nikilihisi kwa muda mrefu.

And who is to say na chenyewe hakilipwi....
Ni aibu sanaa kwa January kusema eti alimuombaa dadake helaa[emoji15]
 
Magufuli ni lazima atawashangazeni watanzania kwa either kukaa kimya au kujitokeza na kuwatikaneni kuwa 'kuna mijitu mmekaa kimbea mbea tu, tenavwengi wenu wanaume, mnaacha juleta mawazo ya jujenga nchi ninyi mnatafuta jukwamidhana tu. Hivi mnadhani tukianza kunyoosheana vidole kuna nani wa jubaki' ( in Magufuli tone)
Come again la frère
 
Sikuwahi mpenda lowassa ila matusi ya hao waswahili yalinifanya nianze kuwa na sympathy kwake....

Nikikumbuka Makamba alivyobebwa na kuwa karibu na Lowassa kiasi cha kuwahi tamka hadharani huko nyuma kuwa yeye mgombea wake Lowassa sikuamini alivyomdhalilisha kiasi kile....

Hata kama ni tofauti za siasa mbona Magufuli... Mkapa etc hawakutoa mashambulizi personal kiasi kile zaidi ya hao waswahili JK...na Makambas?

Nimejifunza sitofanya urafiki tena na mswahili for the rest of my life....

Ni wanyama!!!
Mkuu tutake radhi au labda huwafahamu waswahili au hujui nini maana ya mswahili na kama kweli hilo ndio dai lako la msingi basi anza kwa kujitenga nao kijiografia usiishi katika maeneo yao ya asili
 
Kweli la kuvuana nguo mpaka kaka kukubali dada alikuwa analiwa na Italian na wengi wanafahamu michezo ya hao jamaa.
 
Mungu hulipa hapa hapa Malamba Na baba yake ndio waliopewa jukumu la kumtukana Kipenzi cha Watu Lowassa Mungu onyesha mapigo Kwa wote waliomtukana Lowassa
Sema EL kipenzi changu sio kuwasemea na wenzako mbona mm sio kipenzi changu
 
Pamoja na kuiba mtihani bado akapata division two tena combination ya arts....

Wanaomuona smart ni wale ambao yeye ana afadhali kwao
Hahahaha Mkuu ebu nipe historia yake ya elimu kidogo aliiba mtihani wapi aisee
 
Back
Top Bottom