mange ni mgonjwa wa akili anajulikana..hatua anayotakiwa kuchukuliwa ni kupelekwa mirembe akatibiweAchukuliwe hatua kwa lipi. Uwe unasoma wanayoandika wenzako.
mange ni mgonjwa wa akili anajulikana..hatua anayotakiwa kuchukuliwa ni kupelekwa mirembe akatibiweAchukuliwe hatua kwa lipi. Uwe unasoma wanayoandika wenzako.
January hana kosa lolote hakupokea pesa kutoka kwa huyo mzungu koko pesa alipewa dada yake
mange ni mgonjwa wa akili anajulikana..hatua anayotakiwa kuchukuliwa ni kupelekwa mirembe akatibiwe
povu linakutoka kwa taarifa yako january hajiuzulu we utabaki na umasikini wako fanya kazi acha wivu wa kipuuziUna roho ngumu sana. Hata kupenda hakuwi hivyo.
mnajaribu kumuhusisha january na upuuzi wenu lakini mmegonga mwamba...Hata kichaa anaweza kukushtua kwamba tairi ya gari yako imepasuka.
Mzee we ndo uko shift sasa hivi nini?? Komaamnajaribu kumuhusisha january na upuuzi wenu lakini mmegonga mwamba...
mnajaribu kumuhusisha january na upuuzi wenu lakini mmegonga mwamba...
Sihitaji kumtetea mtu ili niwe tajiri. By the way hunifahamu hadi uniite masikini. Nani anatokwa povu hapa? Au hujui unachoandika.povu linakutoka kwa taarifa yako january hajiuzulu we utabaki na umasikini wako fanya kazi acha wivu wa kipuuzi
Hata hajui wapi aanze na herufi kubwa na wapi aweke kituo.Hatakama hujui kusoma na picha pia huoni?
picha ya nini nyie wehu january kashasema amepewa ela na dada yake kuna ubaya gani..nendeni mkamdai dada yake hizo pesa kama mns uchungu san na hizo ela za huyo mzungu kokoHatakama hujui kusoma na picha pia huoni?
unatokwa kwa mambo yasiyokuhusuSihitaji kumtetea mtu ili niwe tajiri. By the way hunifahamu hadi uniite masikini. Nani anatokwa povu hapa? Au hujui unachoandika.
Ndiyo upo right kabisa,ni yeyeWanajamvi naomba kuuliza hivi huyu mange baba yake ndio yule Kimambi aliyejiua kwa kunywa sumu chumbani kwenye hoteli yake sijui nyumbani kwake pale afrikana mkabala na Rafia? Je ndio yeye?
na wewe unafanya nini hapa kushadadia mambo yasiyokuhusu angalia familia yako achana na familia ya makamba haikuhusuMzee we ndo uko shift sasa hivi nini?? Komaa
picha ya nini nyie wehu january kashasema amepewa ela na dada yake kuna ubaya gani..nendeni mkamdai dada yake hizo pesa kama mns uchungu san na hizo ela za huyo mzungu koko
ana ubavu wa kwenda mahakamani hana ushahidi wowoteJanuary Makamba hana kosa na wala hakuna kesi.
Huyo mzungu kama ana madai aende Mahakamani.
Duh! Kupenda huku. "Seems like a good guy" And who's a bad guy?January seems like a good guy...sema ndo hivyo you can resist everything but not temptation..let me see how he recovers..maana najua ameshinda JF kufuatilia thread zinazo muhusu...good luck