Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

January alifisadi ela za kampeni na mwenzake mwigulu. Hivyo kudhulumiana kwao kuna pelekea hayo
 
January alifisadi ela za kampeni na mwenzake mwigulu. Hivyo kudhulumiana kwao kuna pelekea hayo
Niliwahi kusema humu mwaka jana CCM ukimwondoa Mwigulu wengine wote wameoza, licha ya kufahamu Mwigulu yuko na potential yet nlienda kwa Lowassa, sikuwahi kumwamini kabisa kipara.
 
Mh.Lowassa alisema kama una ushahidi nenda mahakamani,kama huna SHUT UP.na mpaka leo Ziiiiii.nampenda saana Lowassa.Hapo nakubaliana tulihamishwa kuanzia wakati ule ili Lowassa asigombee kupitia ccm muhula wa pili wa awamu ya nne na jamaa aliyekomalia hilo kasepa.
 
nendeni mpeleke ushahidi mahakamani mlivyo wapumbavu mnakuja huku kwenye mitandao haiwasaidii chochote mtabaki tu na chuki zenu za kipumbavu...
Sasa hapa upo wapi pumba weweee.... Hujui leo ni jumapili?
 
Na mmeshama na hivi karibuni uchaguzi wa meya unaitishwa,utaona kitalachotokea ccm wapo smart sana kwenye mind game za kibogo.
Hawako smart kihivyo zaidi ya usanii. Ila kwa hili la umeya ni kama wana poteza muda tu. Hakuna miujiza CDM ni haki yao na haitapotea
 
January hapambani na Mange
Mange ametumika tu

January anapambana na watu very powerful...

Swali hapa hao watu ni kina nani?
na hao watu January amewakosea nini?
January majuzi kasema serikali ya JK ilikuwa ya kuleana ....ni dhahiri January anajaribu kujiweka karibu na JPM akijua akina JK hawana lao tena ....lakini anasahau JK alikuwa amri jeshi na pengine hata huyo January kalelewa sana tu na rekodi zipo ....pengine amri jeshi mkuu mstaafu anawakumbusha hawa vijana kuwa alikuwa amri jeshi na taarifa zao alikuwa anazipata ila akawalea ....wasimtusi sasa ....[emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
January hapambani na Mange
Mange ametumika tu

January anapambana na watu very powerful...

Swali hapa hao watu ni kina nani?
na hao watu January amewakosea nini?
"Serikali ya awamu ya nne ilijaa kubebana" .
Ungekua wewe ndiye aliyeongoza hiyo serikali unge react vipi na ukijua dhahiri anayekubeza ndiye alikua mnufaika mkubwa na alishaiingiza serikali yako kwenye matatizo kadhaa huku wananchi wakimkataa lakini ulikaza misuli na kmlkumbatia huku ukimiweka mfukoni na kumuingiza Tano bora uki risk kwa kumkata aliyekufikisha hapo pia kwa kuwakata katika hatua za maadili watu kama akina Mwandosya, waziri mkuu , na makamu wako Wa rais.

Na hapo ni trella tu, lazima wamchemshe na kumnywa supu huyu.
Kana siasa za kimalaya sana haka.
 
Vile viapo vinafanya kazi

Yaelekea hawa mawaziri wanadhani yale walioapa kwayo ni maneno la hasha...hawajui kuwa kila nyuma ya kiapo kuna ambao wanayafanyia kazi maandishi yale..

Pole yake ila imekuwa mapema mno...
 
"Serikali ya awamu ya nne ilijaa kubebana" .
Ungekua wewe ndiye aliyeongoza hiyo serikali unge react vipi na ukijua dhahiri anayekubeza ndiye alikua mnufaika mkubwa na alishaiingiza serikali yako kwenye matatizo kadhaa huku wananchi wakimkataa lakini ulikaza misuli na kmlkumbatia huku ukimiweka mfukoni na kumuingiza Tano bora uki risk kwa kumkata aliyekufikisha hapo pia kwa kuwakata katika hatua za maadili watu kama akina Mwandosya, waziri mkuu , na makamu wako Wa rais.

Na hapo ni trella tu, lazima wamchemshe na kumnywa supu huyu.
Kana siasa za kimalaya sana haka.


Inawezekana lakini ninavyomjua JK na Yusuph Makamba
sidhani JK anaweza kutoa order kijana 'amalizwe'
nna uhakika JK angeongea na Yusuph Makamba kijana akaomba msamaha..

wasiwasi wangu ni kuwa kuna 'watu walikuwa wanamtafutia timing'
kwa hiyo wameona nafasi sasa....

Kijana anasifika kwa 'kujiona wa maana sana'
wanaita 'entitlement feelings'...

Hawa maadui wake walijikusanya siku nyingi
only now ndo wanamu attack...

kuna kitu still hatukijui
 
Kinachonifurshisha ni namna wachangiaji wengi wanavonasibisha sakata hili na Lowasa.
 
January hapambani na Mange
Mange ametumika tu

January anapambana na watu very powerful...

Swali hapa hao watu ni kina nani?
na hao watu January amewakosea nini?
January katakana wackiness wake majuzi, unafikiri walifurahia ilhali wao ndo walimfikisha aliko?
 
January hapambani na Mange
Mange ametumika tu

January anapambana na watu very powerful...

Swali hapa hao watu ni kina nani?
na hao watu January amewakosea nini?
January alitukana wakubwa walomfikisha aliko unafikiri walifurahi
 
Inawezekana lakini ninavyomjua JK na Yusuph Makamba
sidhani JK anaweza kutoa order kijana 'amalizwe'
nna uhakika JK angeongea na Yusuph Makamba kijana akaomba msamaha..

wasiwasi wangu ni kuwa kuna 'watu walikuwa wanamtafutia timing'
kwa hiyo wameona nafasi sasa....

Kijana anasifika kwa 'kujiona wa maana sana'
wanaita 'entitlement feelings'...

Hawa maadui wake walijikusanya siku nyingi
only now ndo wanamu attack...

kuna kitu still hatukijui
Swali muhimu ni wanaofanya hivyo ni kwa faida ya nani???...Mlengwa ni Makamba au entire gov??
 
Niliingia chimbo kupata connection ya Mange na huyo mwitaliano na kinachoendelea.... Nimesikia na kubaini mengi....

January ktk hili bora angenyamaza coz wenzie wamekusanya furushi la taarifa na wapo tayari kwa pambano kuu!!!!
Hata mimi nakubaliana na wewe makamba
kunyamaza kama mzee wa macho ya makengeza lakini makamba anajifanya ana akili sana kuzidi watz wote.... huwa sielewi huo ujasiri wa kujiona ni bora sana kaupata wapi wakati ni wa kawa tu.....
 
Back
Top Bottom