Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

nani wa kumvisha paka kengele? panya walisikika wakinong'ona..
kwa kifupi hii movie ni ndefu ...yaaani mtego wa panya umekaa vibaya....

soon tutajua siri ya ushindi wa JPM
 
Nikiangalia hili suala ya January Makamba na Mtaliano.
  1. Takukuru na police walitakiwa wawe wameshaanza uchunguzi wao.
  2. Takururu na police lazima walitakiwa watowe tamko na sio kukaha kimya. Wananchi wantaka kujua kama January ni untouchable au wanangojewa amri jeshi mkuu hatowe amri ya kuanza uchunguzi.
  3. Rais alitakiwa asimamishe kazi January ili uchunguzi ufanyika.
  4. Police walitakiwa watowe motisha kwa watu wengine walio na infomation kama za mtaliano wajitokeze kwani kwa uzoefu wangu kama ni kweli huyu mtaliano ni moja kati ya mamia waliolizwa na January. January hajaanza huu mchezo na mtaliano tu kuna wengi zaidi.

Hivi vyombo vya usalama vinatakiwa viwe

Aliyekuambia mwanaccm tena waziri anakamatwa ni nani? Hiyo biashara ya kukamatwa ni ya kina Mdee & co. Wa ccm wao ni wa kusifiwa tu kwani chama chao kitaleta mapinduzi ya viwanda hata kama umeme ni wa mgao.
 
Ukiwauliza watasema hawafanyi kazi na mitandao. Ila kuna kijana alisema cdf kauwawa hapaha mitandaoni nadhani unajua kilichomkuta. Kichekesho zaidi polisi wanataka taarifa za watonyaji hapa jf!!?
Nakumbuka vizuri sakata la yule kijana ,ila kwa hili sidhani kama ni polisi peke yao watahusika nalo hata kama hawapokei taarifa za mitandaoni ,huenda saa hizi anahojiwa na vijana wa mzee wakimaliza utaratibu mwingine utafuata ,labda tusibiri mamlaka husika zitasema nini juu ya hili
 
Nikiangalia hili suala ya January Makamba na Mtaliano.
  1. Takukuru na police walitakiwa wawe wameshaanza uchunguzi wao.
  2. Takururu na police lazima walitakiwa watowe tamko na sio kukaha kimya. Wananchi wantaka kujua kama January ni untouchable au wanangojewa amri jeshi mkuu hatowe amri ya kuanza uchunguzi.
  3. Rais alitakiwa asimamishe kazi January ili uchunguzi ufanyika.
  4. Police walitakiwa watowe motisha kwa watu wengine walio na infomation kama za mtaliano wajitokeze kwani kwa uzoefu wangu kama ni kweli huyu mtaliano ni moja kati ya mamia waliolizwa na January. January hajaanza huu mchezo na mtaliano tu kuna wengi zaidi.

Hivi vyombo vya usalama vinatakiwa viwe
 
naona ni mwendo wa nyuzi za January tu humu wikiend hii
 
Nashangaa mpaka saiz ajakamatwa, na ukute yupo kwa waganga wake
 
Kujiuzulu kwakweli nadhani hapo tutasubiri sana.........huyu dawa yake ni kumuandamia, tushike mabango ya uhakika mpaka akili imkae sawa atoke pale kitini.
 
Na mbowe ajiuzulu kwa kumkaribisha fisadi lowasa chadema...mtahangaika sana
 
nani wa kumvisha paka kengele? panya walisikika wakinong'ona..
kwa kifupi hii movie ni ndefu ...yaaani mtego wa panya umekaa vibaya....

soon tutajua siri ya ushindi wa JPM
Na ndio maana january ana kibri coz anajua mfalme kapata wapi joho kwan umesaau vile vikatuni vyake vya nguruwe. Mkuu hii ndo shida ya kufumwa na hausigel unachepuka sasa kapika msosi mbichi utamfanyaje
 
hii taarifa ni ya kipuuzi inayojadiliwa na wapuuzi kama nyie pesa apewe dada lawama ziende kwa kaka nyie punguani kweli
Wewe ndiyo mpuuzi Kwa kushabikia utapeli na wizi bila kujadi kuwa January ni Waziri anapaswa kuwa Msafi .
 
Taarifa yoyote ifanyiwe kazi kwanza,hata wahalifu eakiona taarifa zinapuuzwa,watakuwa,majasiri wa kutoa taarifa za matukio kabla hawajafanya halafu wakiyatekeleza ndiyo watu wataanza kulaumiana na kutumbuana.
Taarifa ni taarifa,hakuna ubaya wa kzifanyia kazi,kama hazitakuwa za kweli,wahusika watatoa tamko.
Matishio na uvumi ni vitu vya kuvifanyia kazi,kwani kuna ubaya gani?
Upo sahihi kabisa mia kwa mia. Tuziweke fikra zetu ziwe nyumbufu kwa kuzingatia uzito wa hoja. Tuacha ushabiki kwa kuingiza siasa. Tukiamua kuwa makini social media zitakuwa na heshima yake.
 
Nilikuwa najua makaka wanao UZA dada zao ni wale wa kipato cha chini angalau wapate hela ya sukari na kitumbua siku ianze, kumbe hata wale wa matawi ya juu hufanya haya? Kweli mswahili hata ukimtoa TANDALE umpeleke MASAKI wanahama na tabia zao. Aibu aibu yao hata MMakambas?!
January kala sana pesa za mabuzi wa dada yake mfano kala sana pesa toka Kwa Rostam Aziz , Rais wa Kenya , Zambia na huyo mzungu
 
Mtoto mwanvita Yusufu makamba huyo.....ushamwaribia brooh sasa
1457269618375.jpg
 
Back
Top Bottom