Mungu wangu, kwa hiyo hashindwi kumshawishi dadake aliwe mtungo kama jamaa wanatoa DAU la kueleweka?!January kala sana pesa za mabuzi wa dada yake mfano kala sana pesa toka Kwa Rostam Aziz , Rais wa Kenya , Zambia na huyo mzungu
Hahaaaaahaa , baada ya kubinua mdomo kusoma wanaotumbuliwa sasa katumbuliwa yeye, haya aje atusomee kuteuliwa kwa Kijazi kushika nafasi yake , aseme na mimi nitapangiwa kazi nyingine asanteni kwa kunisikiliza.
Sikuwahi mpenda lowassa ila matusi ya hao waswahili yalinifanya nianze kuwa na sympathy kwake....
Nikikumbuka Makamba alivyobebwa na kuwa karibu na Lowassa kiasi cha kuwahi tamka hadharani huko nyuma kuwa yeye mgombea wake Lowassa sikuamini alivyomdhalilisha kiasi kile....
Hata kama ni tofauti za siasa mbona Magufuli... Mkapa etc hawakutoa mashambulizi personal kiasi kile zaidi ya hao waswahili JK...na Makambas?
Nimejifunza sitofanya urafiki tena na mswahili for the rest of my life....
Ni wanyama!!!
duuuuJanuary kala sana pesa za mabuzi wa dada yake mfano kala sana pesa toka Kwa Rostam Aziz , Rais wa Kenya , Zambia na huyo mzungu
walivyokuwa kwe kampeni moro mzee makamba alichonga sana kuhusu lowasa kumbe wote ni walewale daah siasa mchezo mbaya sanaDogo hujifanya smart sana....
Huyo dadake alikuwa wa kina Rostam na anaonekana anapenda mno wenye PESA!!!
Ila mtendwa hutendwa hawa waswahili wakiumizana mi sijali coz ni watu wasio kuwa na shukrani...
Sikutegemea ukaribu uliokuwepo kati ya Makamba Family na Lowassa hii family imdhalilishe kiasi kile na mwenzao asijibu kitu!!!
Waswahili sina huruma kwao and I really hate them!!!
walivyokuwa kwe kampeni moro mzee makamba alichonga sana kuhusu lowasa kumbe wote ni walewale daah siasa mchezo mbaya sanaDogo hujifanya smart sana....
Huyo dadake alikuwa wa kina Rostam na anaonekana anapenda mno wenye PESA!!!
Ila mtendwa hutendwa hawa waswahili wakiumizana mi sijali coz ni watu wasio kuwa na shukrani...
Sikutegemea ukaribu uliokuwepo kati ya Makamba Family na Lowassa hii family imdhalilishe kiasi kile na mwenzao asijibu kitu!!!
Waswahili sina huruma kwao and I really hate them!!!
Ha haaaa hata mimiLete kidogo usingizi umekata
Ni mda wa kujiuzulu makamba...January ni jipu
Hahahaaaa!!! Mbavu zangu zinauma...Hapana tumepisha Kwaresma ndio maana hata jukwaani huoni chochote....sana Sana ni kumonitor safari za wengine na kupokea ripoti mbalimbali
Niliingia chimbo kupata connection ya Mange na huyo mwitaliano na kinachoendelea.... Nimesikia na kubaini mengi....
January ktk hili bora angenyamaza coz wenzie wamekusanya furushi la taarifa na wapo tayari kwa pambano kuu!!!!
Ha haaaaaa haaaWASWAHILI=WAISLAMU AU???
Hapo ni sawa na mpokea rushwa kuingiziwa pesa benki kwenye akaunti yake. Hivyo huyo dada yake katumika kama akaunti na hivyo fedha kumfikia kaka yakeJanuary hana kosa lolote hakupokea pesa kutoka kwa huyo mzungu koko pesa alipewa dada yake
Ata baba pia tafadhaliRafiki wa kweli ni mama yako tu
Madingi miyeyusho nao sometmzAta baba pia tafadhali
Ni kweliKama si kweli basi huyo dada aliyeandika hiyo kashifa wamchukulie hatua kali kwa mjibu wa sheria ya makosa ya mtandao ili iwe fundisho kwa watu wa aina hii!