Kinana, Nape, January, Membe na msemo niguse ninuke

May 3, 2019
53
144
KINANA,NAPE,JANUARY,MEMBE NA MSEMO NIGUSE NINUKE.

Leo 13:00pm,21/07/2019.

Mwalimu Nyerere alisema hakuna hatimiliki ya Tanzania,kila Mtanzania ni Mwana-Nchi,iweje Kinana,Nape,Makamba na Membe wajione ni wenye hati miliki ya Tanzania!?

Mwalimu Nyerere hakuwaingiza watoto wake kwenye siasa,maana wapo Watanzania wengi wanaofanya mengi,iwe kwenye siasa kuzuia ukoloni,kupambana na ukoloni,kupigania Uhuru au kuijenga Tanzania,iweje Makamba alazimishe jengo au barabara liitwe Nnauye!?

Wapo wengi kwa utaalam mkubwa wamelisaidia Taifa la Tanzania kwa namna moja ama nyingine na wengine wamekufa,tuliwashukuru na wamepumzika kwa amani,Hata sasa wapo wanaofanya makubwa zaidi ya Makamba,Kinana na Nnauye.

-Mchezea tope lazima achafuke.

Mkono wa Mwanaume umewagusa,nyuso zenu zilidhani mngemchezea akili kwa manufaa yetu ya uovu,mkimtazama moyoni mnamuita "mshamba" akisema nitaipeleka Tanzania kwenye uchumi wa kati mioyoni mwenu mnamuangalia mnasema "kachanganyikiwa" nadhani ninyi ni wasaliti wa Taifa la Watanzania kwa maana mmetudharau kwa pesa zenu mlizotuibia,sasa mnatuona washamba,mmetufanya masikini na mnajua mawazo,niwaambie tu Mungu yupo,narudia tena Mungu yupo na kamwe msichezee kidole cha Mungu hapa duniani.

-January uliapa kuitumikia Jamhuri na Rais wake na si kumpotosha.

January umetenda na umetamka yenye kuashiria hujuma kwa Rais wa Jamhuri,naamini ulivaa ngozi ya kondoo lakini ulikuwa chui ndani ya baraza la Mawaziri.

January ukishaapa kuitumikia Jamhuri ni kuapa pia kumtumikia Rais wa Jamhuri,na kutenda yenye kumsaidia kutimiza wajibu wake kwa Taifa na sio kumkwamisha.

-Nape na kiburi cha usoni,January na kiburi cha rohoni.

Sauti ya simu inamtambulisha January akiwa na Nape,January anampa simu Nape aongee na Makamba.Walishiriki kuhujumu na kuandaa Waraka,walipanga kuwapa hela waandishi ili waraka usambae,Walifanya mikakati mingi ya pembeni ikiwa na ya kuhujumu na kukwamisha Serikali.

-Nape na January mmeukosa Uwaziri kwa ujinga wenu.

Nyote mlikalia kutekeleza hujuma badala ya kutekeleza majukumu yenu mkiwa Mawaziri.

Nape rudi jimboni Mtama ukasubiri kukatwa kama Lowassa na January rudi Bumbuli ukasubiri kukatwa kama Mamvi.

-Awamu ya tano inaijenga CCM itakayodumu miaka mia ijayo.

Tulianza kukosea mwishoni mwa miaka ya themanini pale athari ya kuvunja misingi ya azimio la Arusha zilipoanza kujionyesha,tulipowaruhusu wafanyabiashara kuingia kwenye Chombo cha kutunga sheria pale Bungeni kama kina Gulamali kipindi kile wakaja na propaganda kwamba kiongozi lazima awe tajiri,ikachukuliwa na ikaendelezwa ndani ya Chama cha Wakulima na Wafanyakazi yaani Chama Cha Mapinduzi.

Ungeweza kuona propaganda hiyo ilivyokuja na kuharibu Chama,wakati wa kura za maoni wagombea wa nafasi mbalimbali ndio waliohusika kuwalipa posho wajumbe ambao ndio wanaochagua mgombea,hii ilifanya Chama kuwa cha matajiri wachache na watwana kuongezeka,mwenye nacho ndio alipata kura nyingi za kuweza kugombea nafasi mbalimbali.

Tulipoteza mwelekeo wetu baada ya kutupilia mbali azimio la Arusha na kuja na Azimio la Zanzibar. Tukirejesha Azimio la Arusha hata kama sio mambo yote yake ya 1967 tutarudi kwenye mstari sahihi.

-Andiko la Wazee wawili na clip iliyovuja.

Andiko la wazee wawili Kinana na Makamba na clip yao ya kuhujumu iliyovuja vinaonyesha hivi sasa wanapata shida na dhamira zao baada ya kupewa dhamana kubwa kuongoza Chama ila wakatupotosha na kutunyanyasa.

Binafsi namwelewa sana anachokifanya rais wetu.Juzi nimeshuhudia chaguzi ndani ya chama,hakuna tena ulafi na wizi wala vita kama miaka ya nyuma enzi za hao wazee wawili.

Awamu hii ya tano inawaweka wazi wahuni wote waliotudhalilisha na kutuonea,Awamu hii ya tano inajenga misingi bora ya utu,haki,umoja na usawa. Mimi nasimama na Rais na Mwenyekiti wetu sasa na siku zote,juhudi zake zinanipa faraja Mimi mnyonge niliyekuwa nimesahaulikana enzi za hao wazee wawili.

Nina imani Mungu uliyemweka atamtetea sasa na siku zote.

Nina empirical evidence ya vitu vilivyofanyika awamu hii ya tano ambavyo havikufanyika miaka 30 iliyopita.

Najua watu hawawezi sema wanasubiri kuona upepo wa wahuni wahujumu umekaaje ndio waseme ila kwa ufupi nawashauri ndugu zangu Watanzani mteteeni Rais na Mwenyekiti wenu iwe mvua ama jua maana hamtapata tena mjenga nchi kama huyu na zaidi hakuna Rais mwingine zaidi yake mpaka 2025.

Hatutetei awamu hii au wala hatumtetei Mh Rais wa sababu ni Rais na kwamba hakuna mwingine hadi 2025 bali tunamtetea kwa sababu nyingi tu.

Niweke wazi wengi ya wanao lalama hivi sasa kama hao kwenye clip iliyovuja ndio walio ikwanisha nchi na kwa kweli natamani nione wakiendelea kuiona Tanzania ikiingia kwenye uchumi wa kati na hujuma zao wakiziona zikishindwa siku hadi siku na kuendelea kuanikwa kama nyani juu ya mti.

Pili kwa Mambo anayoyafanya Mh Rais katika awamu hii ya tano na riski anazochukua kila siku kwa maslahi ya taifa tunapaswa kupiga kelele haswa ili kila mhujumu ajue tunasimama na Rais iwe jua iwe mvua.

Tatu tunamtetea kwa sababu tunampenda sana maana ndiye Rais wa ndoto za Watanzania ambao kwa miaka hamsini wamekuwa wakijiuliza kwa nini Tanzania ni masikini ili hali tumejaaliwa kila rasilimali ya utajiri.

-Anachokisema Musiba kipo mtaani miaka mingi.

Watu wanavurugwa kumuelewa musiba lakini ukweli anavyovisema viko mitaani muda mrefu na watanzania wengi wanajua.Watu wanashtuka kutuhumiwa wazee wawili wanasahau makomtedi hao walikuwepo wakati wa chama cha makundi yaliyojaa rushwa hata majina yao kuwemo kwenye orodha iliyohujumu Mali za chama na madudu mengi ya hovyohovyo.Nashangaa tu wazee hao wawili kujimilikisha chama,hili lilifanya kila aliyepata uongozi alikuwa anapanga safu mpaka za wenyeviti vya vijiji na mitaa.

Kwa watu wanaoamini kama mimi wataelewa kuwa Musiba yupo sahihi achilia mbali nani yupo nyuma yake sawa sawa na wakati tunajiuliza hawa watu wenye uwezo wa kusema mtu flani ndie atakuwa Rais mwaka flani na flani atakuwa mbunge wa jimbo flani hii nguvu wanaitoa wapi?

Nguvu imendolewa kwao sasa wanamtafuta mchawi nani hahaaha.!

-Wanauliza nani anamtuma Musiba,mbona hawaulizi nani anamtuma Mange,Maria na Fatma!?

Wakimpata kwanza aliyekuwa akimtuma Mange kimambi, ndipo waje na hoja ya kujua nani yupo nyuma ya Musiba. Hao wanaolalamika kuwa hakuna kiongozi aliyemuonya Musiba hao,hao walikuwa viongozi wakati Mange kimambi akimtukana na kumdhalilisha Mwenyekiti wetu na lakini hawajasema lolote, wala hawakuandika waraka au tuamini kuwa walikuwa Nyuma ya Mange,au ndio wako nyuma ya Maria au Fatma!?

Nilitegemea wangekuja na waraka mbili ya kwanza ya Mange,Maria na Fatma hapo tungeweza kuwaelewa kuwa huenda wanachembe ya uzalendo.

Swali rahisi lakuwauliza Kinana,Makamba,Nape,January na Membe hasa kwa sauti tulizosikia toka kwenye clip iliyovuja,Je ccm ilijiunga na wewe au wewe ulijiunga na ccm? Unapotaka uogopewe uabudiwe usujudiwe wewe nani? Nani ni nguzo ya ccm kwamba ikitikiswa ccm inaanguka?

-Nitakuwa mwanachama muaminifu wa Chama Cha Mapinduzi na Raia mwema wa Tanzania na Afrika.

Leo nimesononeka sana,sikuwaza kirahisi kama ipo siku tutamsikia mtu kwenye clip iliyovuja ikitaka kumhujumu Mh Rais,nilivyoona waraka wa wazee wawili nilitegemea sasa mngetumia muda wenu katika kusahihisha pale tulipokosea na kushauri chama na serikali twende wapi,lakin kwa maslahi mapana ya taifa langu,nimesononeka mno,sitanyamaza kwa ajili ya Tanzania yangu na Rais wangu,nitaipaza sauti yangu kumtetea maana ndiye mjenga nchi na mtetezi wa Wanyonge.

Wewe Mzee Kinana na Mzee Makamba wa kwenye clip iliyovuja si wewe ambaye mpaka unaondoka hatufahamu mitambo yetu ya redio,tv na magazeti ya chama imeenda wapi,tulikuwa hatufahamu kama Channel ten ni ya kwetu!?,hatufahamu tuliamua kukaa kimya pia,Wewe mzee si ni wewe ambaye tulitegemea sasa ungetumia muda huu kufurahi kwamba Rais Magufuli anafanya mageuzi makubwa ndani ya Chama na Serikali,looh kumbe ulikuwa mnafiki ulipohubiri mabadiliko,kumbe ulihubiri mabadiliko ya kukufichia wewe ufisadi wako wa Mali za Chama na tuhuma zako.

Ile ripoti ya ukaguzi wa Mali ya chama imewaumiza mnoo,kiuhalisia ule ndio ukweli halisi,Mali za chama mlijilimbikizia,tuachane na kutaka kuwatumia vijana hawa kuwapigia nyimbo za praise and worship kiuhalisia mpaka mnakabidhi chama,chama kulikuwa kimeoza,nazungumza haya kutoka kwenye sakafu ya moyo wangu,kama Chadema wangembakisha Dr Slaa 2015 na CCM ikambeba Membe chama lilikuwa kinamfia kweli mwenyekiti mikono,Tunamshukuru Mungu kwa kumleta Magufuli Kama Leo mnaumizwa na maneno ya Musiba basi kwanini msingeumizwa na namna mlipokifikisha chama 2015???

Haya sasa hata utaratibu wa kutoa malalamiko yenu hamjui,mnaishia kupanga kununua magazeti manne yarushe waraka wetu,hii imenisononesha sana.Tusiache nyufa zikaipasua nyumba,tuzizibe.

-Kinana,Makamba na Uzalendo feki.

Kukipambania chama ni jambo moja TUNATHAMINI michango yao.

KUIBIA NCHI wakati wanapambania chama ilo ni JAMBO LINGINE.

Sasa tuulizane Mzalendo ni mtu gani?

Je Mzalendo ni yule aliyepambania chama na nchi yake, akaiba wakati wa mapambano, akastaafu akiwa na historia ya wizi lakini akaomba umfichie kashfa zake kwa kuwa ni mzee aliyewahi kuwa na cheo kikubwa.?

-Zipi ni Sifa za kuwa Mzalendo.

Ili mtu aitwe mzalendo ni lazima awe na sifa hizi.

-Kuzaliwa nchini na angalau mzazi mmoja au wote wawili wawe ni wazawa.

Kuona fahari yeye kuzaliwa nchini bila kuona aibu wala haya.

Ni lazima awe mwaminifu wa kulipa kodi, kutoibia nchi kwa njia yeyote.

Kutokuwa mharibifu au mvujaji wa mali na rasilimali za nchi.

Kuwapenda watu wote, hata viongozi wanaoijenga nchi bila kujali uchama, udini, ukabila wala rangi yake.

Kuwapiga vita na kuwapinga kwa nguvu zote raia wote wanaobomoa na kuharibu nchi hata kama ni wa chama chake, dini yake, kabila lake, rangi yake au ndugu na jamaa zake.

Kusaidiana na viongozi wake kuijenga nchi bila kujali uchama, udini, ukabila wala rangi yake.

Kuweka juhudi kubwa katika kuisema na kuitangaza nchi yake vizuri ndani na nje ya mipaka yake.

Kupenda vitu vinavyoihusu au kutoka au kutengenezwa nchini mwake kama lugha, utamaduni, vyakula, bidhaa za viwanda, timu za michezo, wana michezo wake, na kila kitu kizuri kinachotokana na nchi yake.

Kuwafundisha na kuwahamasisha watu wake wa karibu kama familia, ndugu, majirani na marafiki kuwa wazalendo kwa kuipenda na kujitoa kwa ajili ya nchi yao.

-Mifano ya Wazalendo wa kweli.

Rais wa kwanza wa Tanzania Mwalimu Julius Kambarage Nyerere anaweza kuwa mfano mzuri wa Mtanzania Mzalendo kwani anaingia katika sifa zote 10 hapo juu.

Edward Moringe Sokoine pia anawekwa kwenye orodha ya watanzania wazalendo ambao kwa kweli waliipigania hii nchi na watu wake na rasilimali zake hata na kupoteza maisha yake.

Rais John Magufuli nae anaingia katika nafasi ya tatu kama Mzalendo wa kweli katika Taifa la Tanzania kwani anaingia katika sifa zote kumi nikizozitaja hapo juu.

Kwa namna ya pekee pia Rais Magufuli anaingia katika mioyo ya Watanzania kama Mzalendo namba moja kwa sasa baada ya kuvunja rekodi ya miaka 30 katika awamu tatu zilizopita.

Miaka 10 ya Mwinyi,Mkapa na Kikwete walishindwa kuhamia Dodoma,kwa kuwa walikuwa hawana hela,Awamu hii ya Magufuli amehamia Dodoma,hilo moja.

Mashirika ya Umma yalibinafsishwa kwa kuwa Serikali ilishindwa kuyaendesha,Hivi sasa Mh Rais Magufuli anayafufua mashirika ya Umma yakiwemo TTCL,ATCL na kununua ndege 10.hilo la pili.

Mh Rais Magufuli anajenga reli ya Standard gauge,Bwawa la Umeme la Stigglers Gorge ambalo awamu ya Mwinyi alishindwa,Awamu ya Mkapa alishindwa ,Awamu ya Kikwete alishindwa,Sasa bado useme Kinana na Makamba ni Mashujaa!? Kwa nini tusiseme Dr Bashiru ni shujaa!?

Uwepo wa Mungu umlinde Rais John Magufuli,Baraka za Mungu ziende nae,Serikali yake na Taifa letu la Tanzania,Mapenzi ya Mungu yakatimizwe katika Taifa la Tanzania.

Nikiishia hapa,Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
 
Wewe ni Gifted fool
Certified idiot of 2019

Tumia kichwa kufikiri usikibebe kama mzigo wa kuni juu ya mabega
Nape au January wanamsaidia kitu gani Bibi na Babu yako huko Nanjilinji

Work hard lady, Life is not easy
 
Mbona hiki ni kitabu, ndugu katafute publishing house.

Ninasikitishwa na maamuzi ya kukurupuka, kama chama CCM tunajiongezea upinzani bungeni, tena upinzani wenye akili za kujenga hoja.
 
KINANA,NAPE,JANUARY,MEMBE NA MSEMO NIGUSE NINUKE.

Leo 13:00pm,21/07/2019.

Mwalimu Nyerere alisema hakuna hatimiliki ya Tanzania,kila Mtanzania ni Mwana-Nchi,iweje Kinana,Nape,Makamba na Membe wajione ni wenye hati miliki ya Tanzania!?

Mwalimu Nyerere hakuwaingiza watoto wake kwenye siasa,maana wapo Watanzania wengi wanaofanya mengi,iwe kwenye siasa kuzuia ukoloni,kupambana na ukoloni,kupigania Uhuru au kuijenga Tanzania,iweje Makamba alazimishe jengo au barabara liitwe Nnauye!?

Wapo wengi kwa utaalam mkubwa wamelisaidia Taifa la Tanzania kwa namna moja ama nyingine na wengine wamekufa,tuliwashukuru na wamepumzika kwa amani,Hata sasa wapo wanaofanya makubwa zaidi ya Makamba,Kinana na Nnauye.

-Mchezea tope lazima achafuke.

Mkono wa Mwanaume umewagusa,nyuso zenu zilidhani mngemchezea akili kwa manufaa yetu ya uovu,mkimtazama moyoni mnamuita "mshamba" akisema nitaipeleka Tanzania kwenye uchumi wa kati mioyoni mwenu mnamuangalia mnasema "kachanganyikiwa" nadhani ninyi ni wasaliti wa Taifa la Watanzania kwa maana mmetudharau kwa pesa zenu mlizotuibia,sasa mnatuona washamba,mmetufanya masikini na mnajua mawazo,niwaambie tu Mungu yupo,narudia tena Mungu yupo na kamwe msichezee kidole cha Mungu hapa duniani.

-January uliapa kuitumikia Jamhuri na Rais wake na si kumpotosha.

January umetenda na umetamka yenye kuashiria hujuma kwa Rais wa Jamhuri,naamini ulivaa ngozi ya kondoo lakini ulikuwa chui ndani ya baraza la Mawaziri.

January ukishaapa kuitumikia Jamhuri ni kuapa pia kumtumikia Rais wa Jamhuri,na kutenda yenye kumsaidia kutimiza wajibu wake kwa Taifa na sio kumkwamisha.

-Nape na kiburi cha usoni,January na kiburi cha rohoni.

Sauti ya simu inamtambulisha January akiwa na Nape,January anampa simu Nape aongee na Makamba.Walishiriki kuhujumu na kuandaa Waraka,walipanga kuwapa hela waandishi ili waraka usambae,Walifanya mikakati mingi ya pembeni ikiwa na ya kuhujumu na kukwamisha Serikali.

-Nape na January mmeukosa Uwaziri kwa ujinga wenu.

Nyote mlikalia kutekeleza hujuma badala ya kutekeleza majukumu yenu mkiwa Mawaziri.

Nape rudi jimboni Mtama ukasubiri kukatwa kama Lowassa na January rudi Bumbuli ukasubiri kukatwa kama Mamvi.

-Awamu ya tano inaijenga CCM itakayodumu miaka mia ijayo.

Tulianza kukosea mwishoni mwa miaka ya themanini pale athari ya kuvunja misingi ya azimio la Arusha zilipoanza kujionyesha,tulipowaruhusu wafanyabiashara kuingia kwenye Chombo cha kutunga sheria pale Bungeni kama kina Gulamali kipindi kile wakaja na propaganda kwamba kiongozi lazima awe tajiri,ikachukuliwa na ikaendelezwa ndani ya Chama cha Wakulima na Wafanyakazi yaani Chama Cha Mapinduzi.

Ungeweza kuona propaganda hiyo ilivyokuja na kuharibu Chama,wakati wa kura za maoni wagombea wa nafasi mbalimbali ndio waliohusika kuwalipa posho wajumbe ambao ndio wanaochagua mgombea,hii ilifanya Chama kuwa cha matajiri wachache na watwana kuongezeka,mwenye nacho ndio alipata kura nyingi za kuweza kugombea nafasi mbalimbali.

Tulipoteza mwelekeo wetu baada ya kutupilia mbali azimio la Arusha na kuja na Azimio la Zanzibar. Tukirejesha Azimio la Arusha hata kama sio mambo yote yake ya 1967 tutarudi kwenye mstari sahihi.

-Andiko la Wazee wawili na clip iliyovuja.

Andiko la wazee wawili Kinana na Makamba na clip yao ya kuhujumu iliyovuja vinaonyesha hivi sasa wanapata shida na dhamira zao baada ya kupewa dhamana kubwa kuongoza Chama ila wakatupotosha na kutunyanyasa.

Binafsi namwelewa sana anachokifanya rais wetu.Juzi nimeshuhudia chaguzi ndani ya chama,hakuna tena ulafi na wizi wala vita kama miaka ya nyuma enzi za hao wazee wawili.

Awamu hii ya tano inawaweka wazi wahuni wote waliotudhalilisha na kutuonea,Awamu hii ya tano inajenga misingi bora ya utu,haki,umoja na usawa. Mimi nasimama na Rais na Mwenyekiti wetu sasa na siku zote,juhudi zake zinanipa faraja Mimi mnyonge niliyekuwa nimesahaulikana enzi za hao wazee wawili.

Nina imani Mungu uliyemweka atamtetea sasa na siku zote.

Nina empirical evidence ya vitu vilivyofanyika awamu hii ya tano ambavyo havikufanyika miaka 30 iliyopita.

Najua watu hawawezi sema wanasubiri kuona upepo wa wahuni wahujumu umekaaje ndio waseme ila kwa ufupi nawashauri ndugu zangu Watanzani mteteeni Rais na Mwenyekiti wenu iwe mvua ama jua maana hamtapata tena mjenga nchi kama huyu na zaidi hakuna Rais mwingine zaidi yake mpaka 2025.

Hatutetei awamu hii au wala hatumtetei Mh Rais wa sababu ni Rais na kwamba hakuna mwingine hadi 2025 bali tunamtetea kwa sababu nyingi tu.

Niweke wazi wengi ya wanao lalama hivi sasa kama hao kwenye clip iliyovuja ndio walio ikwanisha nchi na kwa kweli natamani nione wakiendelea kuiona Tanzania ikiingia kwenye uchumi wa kati na hujuma zao wakiziona zikishindwa siku hadi siku na kuendelea kuanikwa kama nyani juu ya mti.

Pili kwa Mambo anayoyafanya Mh Rais katika awamu hii ya tano na riski anazochukua kila siku kwa maslahi ya taifa tunapaswa kupiga kelele haswa ili kila mhujumu ajue tunasimama na Rais iwe jua iwe mvua.

Tatu tunamtetea kwa sababu tunampenda sana maana ndiye Rais wa ndoto za Watanzania ambao kwa miaka hamsini wamekuwa wakijiuliza kwa nini Tanzania ni masikini ili hali tumejaaliwa kila rasilimali ya utajiri.

-Anachokisema Musiba kipo mtaani miaka mingi.

Watu wanavurugwa kumuelewa musiba lakini ukweli anavyovisema viko mitaani muda mrefu na watanzania wengi wanajua.Watu wanashtuka kutuhumiwa wazee wawili wanasahau makomtedi hao walikuwepo wakati wa chama cha makundi yaliyojaa rushwa hata majina yao kuwemo kwenye orodha iliyohujumu Mali za chama na madudu mengi ya hovyohovyo.Nashangaa tu wazee hao wawili kujimilikisha chama,hili lilifanya kila aliyepata uongozi alikuwa anapanga safu mpaka za wenyeviti vya vijiji na mitaa.

Kwa watu wanaoamini kama mimi wataelewa kuwa Musiba yupo sahihi achilia mbali nani yupo nyuma yake sawa sawa na wakati tunajiuliza hawa watu wenye uwezo wa kusema mtu flani ndie atakuwa Rais mwaka flani na flani atakuwa mbunge wa jimbo flani hii nguvu wanaitoa wapi?

Nguvu imendolewa kwao sasa wanamtafuta mchawi nani hahaaha.!

-Wanauliza nani anamtuma Musiba,mbona hawaulizi nani anamtuma Mange,Maria na Fatma!?

Wakimpata kwanza aliyekuwa akimtuma Mange kimambi, ndipo waje na hoja ya kujua nani yupo nyuma ya Musiba. Hao wanaolalamika kuwa hakuna kiongozi aliyemuonya Musiba hao,hao walikuwa viongozi wakati Mange kimambi akimtukana na kumdhalilisha Mwenyekiti wetu na lakini hawajasema lolote, wala hawakuandika waraka au tuamini kuwa walikuwa Nyuma ya Mange,au ndio wako nyuma ya Maria au Fatma!?

Nilitegemea wangekuja na waraka mbili ya kwanza ya Mange,Maria na Fatma hapo tungeweza kuwaelewa kuwa huenda wanachembe ya uzalendo.

Swali rahisi lakuwauliza Kinana,Makamba,Nape,January na Membe hasa kwa sauti tulizosikia toka kwenye clip iliyovuja,Je ccm ilijiunga na wewe au wewe ulijiunga na ccm? Unapotaka uogopewe uabudiwe usujudiwe wewe nani? Nani ni nguzo ya ccm kwamba ikitikiswa ccm inaanguka?

-Nitakuwa mwanachama muaminifu wa Chama Cha Mapinduzi na Raia mwema wa Tanzania na Afrika.

Leo nimesononeka sana,sikuwaza kirahisi kama ipo siku tutamsikia mtu kwenye clip iliyovuja ikitaka kumhujumu Mh Rais,nilivyoona waraka wa wazee wawili nilitegemea sasa mngetumia muda wenu katika kusahihisha pale tulipokosea na kushauri chama na serikali twende wapi,lakin kwa maslahi mapana ya taifa langu,nimesononeka mno,sitanyamaza kwa ajili ya Tanzania yangu na Rais wangu,nitaipaza sauti yangu kumtetea maana ndiye mjenga nchi na mtetezi wa Wanyonge.

Wewe Mzee Kinana na Mzee Makamba wa kwenye clip iliyovuja si wewe ambaye mpaka unaondoka hatufahamu mitambo yetu ya redio,tv na magazeti ya chama imeenda wapi,tulikuwa hatufahamu kama Channel ten ni ya kwetu!?,hatufahamu tuliamua kukaa kimya pia,Wewe mzee si ni wewe ambaye tulitegemea sasa ungetumia muda huu kufurahi kwamba Rais Magufuli anafanya mageuzi makubwa ndani ya Chama na Serikali,looh kumbe ulikuwa mnafiki ulipohubiri mabadiliko,kumbe ulihubiri mabadiliko ya kukufichia wewe ufisadi wako wa Mali za Chama na tuhuma zako.

Ile ripoti ya ukaguzi wa Mali ya chama imewaumiza mnoo,kiuhalisia ule ndio ukweli halisi,Mali za chama mlijilimbikizia,tuachane na kutaka kuwatumia vijana hawa kuwapigia nyimbo za praise and worship kiuhalisia mpaka mnakabidhi chama,chama kulikuwa kimeoza,nazungumza haya kutoka kwenye sakafu ya moyo wangu,kama Chadema wangembakisha Dr Slaa 2015 na CCM ikambeba Membe chama lilikuwa kinamfia kweli mwenyekiti mikono,Tunamshukuru Mungu kwa kumleta Magufuli Kama Leo mnaumizwa na maneno ya Musiba basi kwanini msingeumizwa na namna mlipokifikisha chama 2015???

Haya sasa hata utaratibu wa kutoa malalamiko yenu hamjui,mnaishia kupanga kununua magazeti manne yarushe waraka wetu,hii imenisononesha sana.Tusiache nyufa zikaipasua nyumba,tuzizibe.

-Kinana,Makamba na Uzalendo feki.

Kukipambania chama ni jambo moja TUNATHAMINI michango yao.

KUIBIA NCHI wakati wanapambania chama ilo ni JAMBO LINGINE.

Sasa tuulizane Mzalendo ni mtu gani?

Je Mzalendo ni yule aliyepambania chama na nchi yake, akaiba wakati wa mapambano, akastaafu akiwa na historia ya wizi lakini akaomba umfichie kashfa zake kwa kuwa ni mzee aliyewahi kuwa na cheo kikubwa.?

-Zipi ni Sifa za kuwa Mzalendo.

Ili mtu aitwe mzalendo ni lazima awe na sifa hizi.

-Kuzaliwa nchini na angalau mzazi mmoja au wote wawili wawe ni wazawa.

Kuona fahari yeye kuzaliwa nchini bila kuona aibu wala haya.

Ni lazima awe mwaminifu wa kulipa kodi, kutoibia nchi kwa njia yeyote.

Kutokuwa mharibifu au mvujaji wa mali na rasilimali za nchi.

Kuwapenda watu wote, hata viongozi wanaoijenga nchi bila kujali uchama, udini, ukabila wala rangi yake.

Kuwapiga vita na kuwapinga kwa nguvu zote raia wote wanaobomoa na kuharibu nchi hata kama ni wa chama chake, dini yake, kabila lake, rangi yake au ndugu na jamaa zake.

Kusaidiana na viongozi wake kuijenga nchi bila kujali uchama, udini, ukabila wala rangi yake.

Kuweka juhudi kubwa katika kuisema na kuitangaza nchi yake vizuri ndani na nje ya mipaka yake.

Kupenda vitu vinavyoihusu au kutoka au kutengenezwa nchini mwake kama lugha, utamaduni, vyakula, bidhaa za viwanda, timu za michezo, wana michezo wake, na kila kitu kizuri kinachotokana na nchi yake.

Kuwafundisha na kuwahamasisha watu wake wa karibu kama familia, ndugu, majirani na marafiki kuwa wazalendo kwa kuipenda na kujitoa kwa ajili ya nchi yao.

-Mifano ya Wazalendo wa kweli.

Rais wa kwanza wa Tanzania Mwalimu Julius Kambarage Nyerere anaweza kuwa mfano mzuri wa Mtanzania Mzalendo kwani anaingia katika sifa zote 10 hapo juu.

Edward Moringe Sokoine pia anawekwa kwenye orodha ya watanzania wazalendo ambao kwa kweli waliipigania hii nchi na watu wake na rasilimali zake hata na kupoteza maisha yake.

Rais John Magufuli nae anaingia katika nafasi ya tatu kama Mzalendo wa kweli katika Taifa la Tanzania kwani anaingia katika sifa zote kumi nikizozitaja hapo juu.

Kwa namna ya pekee pia Rais Magufuli anaingia katika mioyo ya Watanzania kama Mzalendo namba moja kwa sasa baada ya kuvunja rekodi ya miaka 30 katika awamu tatu zilizopita.

Miaka 10 ya Mwinyi,Mkapa na Kikwete walishindwa kuhamia Dodoma,kwa kuwa walikuwa hawana hela,Awamu hii ya Magufuli amehamia Dodoma,hilo moja.

Mashirika ya Umma yalibinafsishwa kwa kuwa Serikali ilishindwa kuyaendesha,Hivi sasa Mh Rais Magufuli anayafufua mashirika ya Umma yakiwemo TTCL,ATCL na kununua ndege 10.hilo la pili.

Mh Rais Magufuli anajenga reli ya Standard gauge,Bwawa la Umeme la Stigglers Gorge ambalo awamu ya Mwinyi alishindwa,Awamu ya Mkapa alishindwa ,Awamu ya Kikwete alishindwa,Sasa bado useme Kinana na Makamba ni Mashujaa!? Kwa nini tusiseme Dr Bashiru ni shujaa!?

Uwepo wa Mungu umlinde Rais John Magufuli,Baraka za Mungu ziende nae,Serikali yake na Taifa letu la Tanzania,Mapenzi ya Mungu yakatimizwe katika Taifa la Tanzania.

Nikiishia hapa,Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
Hizi ID mpya ni za kuchunguza vizuri hizi!!
 
Simbachawene Aliboronga Ofisi Ya Rais Akaondoka Na Ripoti Ya Tume Ya Uchunguzi Ya Tanzanite. Rais Akasema Akikuteua Ukaharibu Hawezi Kukuteua Tena Ili Usiharibu Sehemu Nyingine Sasa Simbachawene Karudishwa Upya! JE Inamana Rais Kasahau Kauli Yake Au CCM Imehishiwa Watu Wa Kuteua?

Lawama zote kwa John
 
Duuh sisi wavivu wa kusoma ngoja tupite kimya hapa mana ni kitabu kabisa hiki
 
KINANA,NAPE,JANUARY,MEMBE NA MSEMO NIGUSE NINUKE.

Leo 13:00pm,21/07/2019.

Mwalimu Nyerere alisema hakuna hatimiliki ya Tanzania,kila Mtanzania ni Mwana-Nchi,iweje Kinana,Nape,Makamba na Membe wajione ni wenye hati miliki ya Tanzania!?

Mwalimu Nyerere hakuwaingiza watoto wake kwenye siasa,maana wapo Watanzania wengi wanaofanya mengi,iwe kwenye siasa kuzuia ukoloni,kupambana na ukoloni,kupigania Uhuru au kuijenga Tanzania,iweje Makamba alazimishe jengo au barabara liitwe Nnauye!?

Wapo wengi kwa utaalam mkubwa wamelisaidia Taifa la Tanzania kwa namna moja ama nyingine na wengine wamekufa,tuliwashukuru na wamepumzika kwa amani,Hata sasa wapo wanaofanya makubwa zaidi ya Makamba,Kinana na Nnauye.

-Mchezea tope lazima achafuke.

Mkono wa Mwanaume umewagusa,nyuso zenu zilidhani mngemchezea akili kwa manufaa yetu ya uovu,mkimtazama moyoni mnamuita "mshamba" akisema nitaipeleka Tanzania kwenye uchumi wa kati mioyoni mwenu mnamuangalia mnasema "kachanganyikiwa" nadhani ninyi ni wasaliti wa Taifa la Watanzania kwa maana mmetudharau kwa pesa zenu mlizotuibia,sasa mnatuona washamba,mmetufanya masikini na mnajua mawazo,niwaambie tu Mungu yupo,narudia tena Mungu yupo na kamwe msichezee kidole cha Mungu hapa duniani.

-January uliapa kuitumikia Jamhuri na Rais wake na si kumpotosha.

January umetenda na umetamka yenye kuashiria hujuma kwa Rais wa Jamhuri,naamini ulivaa ngozi ya kondoo lakini ulikuwa chui ndani ya baraza la Mawaziri.

January ukishaapa kuitumikia Jamhuri ni kuapa pia kumtumikia Rais wa Jamhuri,na kutenda yenye kumsaidia kutimiza wajibu wake kwa Taifa na sio kumkwamisha.

-Nape na kiburi cha usoni,January na kiburi cha rohoni.

Sauti ya simu inamtambulisha January akiwa na Nape,January anampa simu Nape aongee na Makamba.Walishiriki kuhujumu na kuandaa Waraka,walipanga kuwapa hela waandishi ili waraka usambae,Walifanya mikakati mingi ya pembeni ikiwa na ya kuhujumu na kukwamisha Serikali.

-Nape na January mmeukosa Uwaziri kwa ujinga wenu.

Nyote mlikalia kutekeleza hujuma badala ya kutekeleza majukumu yenu mkiwa Mawaziri.

Nape rudi jimboni Mtama ukasubiri kukatwa kama Lowassa na January rudi Bumbuli ukasubiri kukatwa kama Mamvi.

-Awamu ya tano inaijenga CCM itakayodumu miaka mia ijayo.

Tulianza kukosea mwishoni mwa miaka ya themanini pale athari ya kuvunja misingi ya azimio la Arusha zilipoanza kujionyesha,tulipowaruhusu wafanyabiashara kuingia kwenye Chombo cha kutunga sheria pale Bungeni kama kina Gulamali kipindi kile wakaja na propaganda kwamba kiongozi lazima awe tajiri,ikachukuliwa na ikaendelezwa ndani ya Chama cha Wakulima na Wafanyakazi yaani Chama Cha Mapinduzi.

Ungeweza kuona propaganda hiyo ilivyokuja na kuharibu Chama,wakati wa kura za maoni wagombea wa nafasi mbalimbali ndio waliohusika kuwalipa posho wajumbe ambao ndio wanaochagua mgombea,hii ilifanya Chama kuwa cha matajiri wachache na watwana kuongezeka,mwenye nacho ndio alipata kura nyingi za kuweza kugombea nafasi mbalimbali.

Tulipoteza mwelekeo wetu baada ya kutupilia mbali azimio la Arusha na kuja na Azimio la Zanzibar. Tukirejesha Azimio la Arusha hata kama sio mambo yote yake ya 1967 tutarudi kwenye mstari sahihi.

-Andiko la Wazee wawili na clip iliyovuja.

Andiko la wazee wawili Kinana na Makamba na clip yao ya kuhujumu iliyovuja vinaonyesha hivi sasa wanapata shida na dhamira zao baada ya kupewa dhamana kubwa kuongoza Chama ila wakatupotosha na kutunyanyasa.

Binafsi namwelewa sana anachokifanya rais wetu.Juzi nimeshuhudia chaguzi ndani ya chama,hakuna tena ulafi na wizi wala vita kama miaka ya nyuma enzi za hao wazee wawili.

Awamu hii ya tano inawaweka wazi wahuni wote waliotudhalilisha na kutuonea,Awamu hii ya tano inajenga misingi bora ya utu,haki,umoja na usawa. Mimi nasimama na Rais na Mwenyekiti wetu sasa na siku zote,juhudi zake zinanipa faraja Mimi mnyonge niliyekuwa nimesahaulikana enzi za hao wazee wawili.

Nina imani Mungu uliyemweka atamtetea sasa na siku zote.

Nina empirical evidence ya vitu vilivyofanyika awamu hii ya tano ambavyo havikufanyika miaka 30 iliyopita.

Najua watu hawawezi sema wanasubiri kuona upepo wa wahuni wahujumu umekaaje ndio waseme ila kwa ufupi nawashauri ndugu zangu Watanzani mteteeni Rais na Mwenyekiti wenu iwe mvua ama jua maana hamtapata tena mjenga nchi kama huyu na zaidi hakuna Rais mwingine zaidi yake mpaka 2025.

Hatutetei awamu hii au wala hatumtetei Mh Rais wa sababu ni Rais na kwamba hakuna mwingine hadi 2025 bali tunamtetea kwa sababu nyingi tu.

Niweke wazi wengi ya wanao lalama hivi sasa kama hao kwenye clip iliyovuja ndio walio ikwanisha nchi na kwa kweli natamani nione wakiendelea kuiona Tanzania ikiingia kwenye uchumi wa kati na hujuma zao wakiziona zikishindwa siku hadi siku na kuendelea kuanikwa kama nyani juu ya mti.

Pili kwa Mambo anayoyafanya Mh Rais katika awamu hii ya tano na riski anazochukua kila siku kwa maslahi ya taifa tunapaswa kupiga kelele haswa ili kila mhujumu ajue tunasimama na Rais iwe jua iwe mvua.

Tatu tunamtetea kwa sababu tunampenda sana maana ndiye Rais wa ndoto za Watanzania ambao kwa miaka hamsini wamekuwa wakijiuliza kwa nini Tanzania ni masikini ili hali tumejaaliwa kila rasilimali ya utajiri.

-Anachokisema Musiba kipo mtaani miaka mingi.

Watu wanavurugwa kumuelewa musiba lakini ukweli anavyovisema viko mitaani muda mrefu na watanzania wengi wanajua.Watu wanashtuka kutuhumiwa wazee wawili wanasahau makomtedi hao walikuwepo wakati wa chama cha makundi yaliyojaa rushwa hata majina yao kuwemo kwenye orodha iliyohujumu Mali za chama na madudu mengi ya hovyohovyo.Nashangaa tu wazee hao wawili kujimilikisha chama,hili lilifanya kila aliyepata uongozi alikuwa anapanga safu mpaka za wenyeviti vya vijiji na mitaa.

Kwa watu wanaoamini kama mimi wataelewa kuwa Musiba yupo sahihi achilia mbali nani yupo nyuma yake sawa sawa na wakati tunajiuliza hawa watu wenye uwezo wa kusema mtu flani ndie atakuwa Rais mwaka flani na flani atakuwa mbunge wa jimbo flani hii nguvu wanaitoa wapi?

Nguvu imendolewa kwao sasa wanamtafuta mchawi nani hahaaha.!

-Wanauliza nani anamtuma Musiba,mbona hawaulizi nani anamtuma Mange,Maria na Fatma!?

Wakimpata kwanza aliyekuwa akimtuma Mange kimambi, ndipo waje na hoja ya kujua nani yupo nyuma ya Musiba. Hao wanaolalamika kuwa hakuna kiongozi aliyemuonya Musiba hao,hao walikuwa viongozi wakati Mange kimambi akimtukana na kumdhalilisha Mwenyekiti wetu na lakini hawajasema lolote, wala hawakuandika waraka au tuamini kuwa walikuwa Nyuma ya Mange,au ndio wako nyuma ya Maria au Fatma!?

Nilitegemea wangekuja na waraka mbili ya kwanza ya Mange,Maria na Fatma hapo tungeweza kuwaelewa kuwa huenda wanachembe ya uzalendo.

Swali rahisi lakuwauliza Kinana,Makamba,Nape,January na Membe hasa kwa sauti tulizosikia toka kwenye clip iliyovuja,Je ccm ilijiunga na wewe au wewe ulijiunga na ccm? Unapotaka uogopewe uabudiwe usujudiwe wewe nani? Nani ni nguzo ya ccm kwamba ikitikiswa ccm inaanguka?

-Nitakuwa mwanachama muaminifu wa Chama Cha Mapinduzi na Raia mwema wa Tanzania na Afrika.

Leo nimesononeka sana,sikuwaza kirahisi kama ipo siku tutamsikia mtu kwenye clip iliyovuja ikitaka kumhujumu Mh Rais,nilivyoona waraka wa wazee wawili nilitegemea sasa mngetumia muda wenu katika kusahihisha pale tulipokosea na kushauri chama na serikali twende wapi,lakin kwa maslahi mapana ya taifa langu,nimesononeka mno,sitanyamaza kwa ajili ya Tanzania yangu na Rais wangu,nitaipaza sauti yangu kumtetea maana ndiye mjenga nchi na mtetezi wa Wanyonge.

Wewe Mzee Kinana na Mzee Makamba wa kwenye clip iliyovuja si wewe ambaye mpaka unaondoka hatufahamu mitambo yetu ya redio,tv na magazeti ya chama imeenda wapi,tulikuwa hatufahamu kama Channel ten ni ya kwetu!?,hatufahamu tuliamua kukaa kimya pia,Wewe mzee si ni wewe ambaye tulitegemea sasa ungetumia muda huu kufurahi kwamba Rais Magufuli anafanya mageuzi makubwa ndani ya Chama na Serikali,looh kumbe ulikuwa mnafiki ulipohubiri mabadiliko,kumbe ulihubiri mabadiliko ya kukufichia wewe ufisadi wako wa Mali za Chama na tuhuma zako.

Ile ripoti ya ukaguzi wa Mali ya chama imewaumiza mnoo,kiuhalisia ule ndio ukweli halisi,Mali za chama mlijilimbikizia,tuachane na kutaka kuwatumia vijana hawa kuwapigia nyimbo za praise and worship kiuhalisia mpaka mnakabidhi chama,chama kulikuwa kimeoza,nazungumza haya kutoka kwenye sakafu ya moyo wangu,kama Chadema wangembakisha Dr Slaa 2015 na CCM ikambeba Membe chama lilikuwa kinamfia kweli mwenyekiti mikono,Tunamshukuru Mungu kwa kumleta Magufuli Kama Leo mnaumizwa na maneno ya Musiba basi kwanini msingeumizwa na namna mlipokifikisha chama 2015???

Haya sasa hata utaratibu wa kutoa malalamiko yenu hamjui,mnaishia kupanga kununua magazeti manne yarushe waraka wetu,hii imenisononesha sana.Tusiache nyufa zikaipasua nyumba,tuzizibe.

-Kinana,Makamba na Uzalendo feki.

Kukipambania chama ni jambo moja TUNATHAMINI michango yao.

KUIBIA NCHI wakati wanapambania chama ilo ni JAMBO LINGINE.

Sasa tuulizane Mzalendo ni mtu gani?

Je Mzalendo ni yule aliyepambania chama na nchi yake, akaiba wakati wa mapambano, akastaafu akiwa na historia ya wizi lakini akaomba umfichie kashfa zake kwa kuwa ni mzee aliyewahi kuwa na cheo kikubwa.?

-Zipi ni Sifa za kuwa Mzalendo.

Ili mtu aitwe mzalendo ni lazima awe na sifa hizi.

-Kuzaliwa nchini na angalau mzazi mmoja au wote wawili wawe ni wazawa.

Kuona fahari yeye kuzaliwa nchini bila kuona aibu wala haya.

Ni lazima awe mwaminifu wa kulipa kodi, kutoibia nchi kwa njia yeyote.

Kutokuwa mharibifu au mvujaji wa mali na rasilimali za nchi.

Kuwapenda watu wote, hata viongozi wanaoijenga nchi bila kujali uchama, udini, ukabila wala rangi yake.

Kuwapiga vita na kuwapinga kwa nguvu zote raia wote wanaobomoa na kuharibu nchi hata kama ni wa chama chake, dini yake, kabila lake, rangi yake au ndugu na jamaa zake.

Kusaidiana na viongozi wake kuijenga nchi bila kujali uchama, udini, ukabila wala rangi yake.

Kuweka juhudi kubwa katika kuisema na kuitangaza nchi yake vizuri ndani na nje ya mipaka yake.

Kupenda vitu vinavyoihusu au kutoka au kutengenezwa nchini mwake kama lugha, utamaduni, vyakula, bidhaa za viwanda, timu za michezo, wana michezo wake, na kila kitu kizuri kinachotokana na nchi yake.

Kuwafundisha na kuwahamasisha watu wake wa karibu kama familia, ndugu, majirani na marafiki kuwa wazalendo kwa kuipenda na kujitoa kwa ajili ya nchi yao.

-Mifano ya Wazalendo wa kweli.

Rais wa kwanza wa Tanzania Mwalimu Julius Kambarage Nyerere anaweza kuwa mfano mzuri wa Mtanzania Mzalendo kwani anaingia katika sifa zote 10 hapo juu.

Edward Moringe Sokoine pia anawekwa kwenye orodha ya watanzania wazalendo ambao kwa kweli waliipigania hii nchi na watu wake na rasilimali zake hata na kupoteza maisha yake.

Rais John Magufuli nae anaingia katika nafasi ya tatu kama Mzalendo wa kweli katika Taifa la Tanzania kwani anaingia katika sifa zote kumi nikizozitaja hapo juu.

Kwa namna ya pekee pia Rais Magufuli anaingia katika mioyo ya Watanzania kama Mzalendo namba moja kwa sasa baada ya kuvunja rekodi ya miaka 30 katika awamu tatu zilizopita.

Miaka 10 ya Mwinyi,Mkapa na Kikwete walishindwa kuhamia Dodoma,kwa kuwa walikuwa hawana hela,Awamu hii ya Magufuli amehamia Dodoma,hilo moja.

Mashirika ya Umma yalibinafsishwa kwa kuwa Serikali ilishindwa kuyaendesha,Hivi sasa Mh Rais Magufuli anayafufua mashirika ya Umma yakiwemo TTCL,ATCL na kununua ndege 10.hilo la pili.

Mh Rais Magufuli anajenga reli ya Standard gauge,Bwawa la Umeme la Stigglers Gorge ambalo awamu ya Mwinyi alishindwa,Awamu ya Mkapa alishindwa ,Awamu ya Kikwete alishindwa,Sasa bado useme Kinana na Makamba ni Mashujaa!? Kwa nini tusiseme Dr Bashiru ni shujaa!?

Uwepo wa Mungu umlinde Rais John Magufuli,Baraka za Mungu ziende nae,Serikali yake na Taifa letu la Tanzania,Mapenzi ya Mungu yakatimizwe katika Taifa la Tanzania.

Nikiishia hapa,Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.

Kama clip yenyewe (inayodaiwa kuwa ni ya Membe) imetoka dakika chache zilizopita umepata wapi muda wa kuandika post ndefu hivi? Naamini wewe ni sehemu ya waliotengeneza hizo clip.

Mngeishia kwa Nape na Kinana mngewapata watu wa kuwaamini, ila kwa hili mh! Kadanganyeni wengine. Jiwe nchi umeshinda, period.
 
KINANA,NAPE,JANUARY,MEMBE NA MSEMO NIGUSE NINUKE.

Leo 13:00pm,21/07/2019.

Mwalimu Nyerere alisema hakuna hatimiliki ya Tanzania,kila Mtanzania ni Mwana-Nchi,iweje Kinana,Nape,Makamba na Membe wajione ni wenye hati miliki ya Tanzania!?

Mwalimu Nyerere hakuwaingiza watoto wake kwenye siasa,maana wapo Watanzania wengi wanaofanya mengi,iwe kwenye siasa kuzuia ukoloni,kupambana na ukoloni,kupigania Uhuru au kuijenga Tanzania,iweje Makamba alazimishe jengo au barabara liitwe Nnauye!?

Wapo wengi kwa utaalam mkubwa wamelisaidia Taifa la Tanzania kwa namna moja ama nyingine na wengine wamekufa,tuliwashukuru na wamepumzika kwa amani,Hata sasa wapo wanaofanya makubwa zaidi ya Makamba,Kinana na Nnauye.

-Mchezea tope lazima achafuke.

Mkono wa Mwanaume umewagusa,nyuso zenu zilidhani mngemchezea akili kwa manufaa yetu ya uovu,mkimtazama moyoni mnamuita "mshamba" akisema nitaipeleka Tanzania kwenye uchumi wa kati mioyoni mwenu mnamuangalia mnasema "kachanganyikiwa" nadhani ninyi ni wasaliti wa Taifa la Watanzania kwa maana mmetudharau kwa pesa zenu mlizotuibia,sasa mnatuona washamba,mmetufanya masikini na mnajua mawazo,niwaambie tu Mungu yupo,narudia tena Mungu yupo na kamwe msichezee kidole cha Mungu hapa duniani.

-January uliapa kuitumikia Jamhuri na Rais wake na si kumpotosha.

January umetenda na umetamka yenye kuashiria hujuma kwa Rais wa Jamhuri,naamini ulivaa ngozi ya kondoo lakini ulikuwa chui ndani ya baraza la Mawaziri.

January ukishaapa kuitumikia Jamhuri ni kuapa pia kumtumikia Rais wa Jamhuri,na kutenda yenye kumsaidia kutimiza wajibu wake kwa Taifa na sio kumkwamisha.

-Nape na kiburi cha usoni,January na kiburi cha rohoni.

Sauti ya simu inamtambulisha January akiwa na Nape,January anampa simu Nape aongee na Makamba.Walishiriki kuhujumu na kuandaa Waraka,walipanga kuwapa hela waandishi ili waraka usambae,Walifanya mikakati mingi ya pembeni ikiwa na ya kuhujumu na kukwamisha Serikali.

-Nape na January mmeukosa Uwaziri kwa ujinga wenu.

Nyote mlikalia kutekeleza hujuma badala ya kutekeleza majukumu yenu mkiwa Mawaziri.

Nape rudi jimboni Mtama ukasubiri kukatwa kama Lowassa na January rudi Bumbuli ukasubiri kukatwa kama Mamvi.

-Awamu ya tano inaijenga CCM itakayodumu miaka mia ijayo.

Tulianza kukosea mwishoni mwa miaka ya themanini pale athari ya kuvunja misingi ya azimio la Arusha zilipoanza kujionyesha,tulipowaruhusu wafanyabiashara kuingia kwenye Chombo cha kutunga sheria pale Bungeni kama kina Gulamali kipindi kile wakaja na propaganda kwamba kiongozi lazima awe tajiri,ikachukuliwa na ikaendelezwa ndani ya Chama cha Wakulima na Wafanyakazi yaani Chama Cha Mapinduzi.

Ungeweza kuona propaganda hiyo ilivyokuja na kuharibu Chama,wakati wa kura za maoni wagombea wa nafasi mbalimbali ndio waliohusika kuwalipa posho wajumbe ambao ndio wanaochagua mgombea,hii ilifanya Chama kuwa cha matajiri wachache na watwana kuongezeka,mwenye nacho ndio alipata kura nyingi za kuweza kugombea nafasi mbalimbali.

Tulipoteza mwelekeo wetu baada ya kutupilia mbali azimio la Arusha na kuja na Azimio la Zanzibar. Tukirejesha Azimio la Arusha hata kama sio mambo yote yake ya 1967 tutarudi kwenye mstari sahihi.

-Andiko la Wazee wawili na clip iliyovuja.

Andiko la wazee wawili Kinana na Makamba na clip yao ya kuhujumu iliyovuja vinaonyesha hivi sasa wanapata shida na dhamira zao baada ya kupewa dhamana kubwa kuongoza Chama ila wakatupotosha na kutunyanyasa.

Binafsi namwelewa sana anachokifanya rais wetu.Juzi nimeshuhudia chaguzi ndani ya chama,hakuna tena ulafi na wizi wala vita kama miaka ya nyuma enzi za hao wazee wawili.

Awamu hii ya tano inawaweka wazi wahuni wote waliotudhalilisha na kutuonea,Awamu hii ya tano inajenga misingi bora ya utu,haki,umoja na usawa. Mimi nasimama na Rais na Mwenyekiti wetu sasa na siku zote,juhudi zake zinanipa faraja Mimi mnyonge niliyekuwa nimesahaulikana enzi za hao wazee wawili.

Nina imani Mungu uliyemweka atamtetea sasa na siku zote.

Nina empirical evidence ya vitu vilivyofanyika awamu hii ya tano ambavyo havikufanyika miaka 30 iliyopita.

Najua watu hawawezi sema wanasubiri kuona upepo wa wahuni wahujumu umekaaje ndio waseme ila kwa ufupi nawashauri ndugu zangu Watanzani mteteeni Rais na Mwenyekiti wenu iwe mvua ama jua maana hamtapata tena mjenga nchi kama huyu na zaidi hakuna Rais mwingine zaidi yake mpaka 2025.

Hatutetei awamu hii au wala hatumtetei Mh Rais wa sababu ni Rais na kwamba hakuna mwingine hadi 2025 bali tunamtetea kwa sababu nyingi tu.

Niweke wazi wengi ya wanao lalama hivi sasa kama hao kwenye clip iliyovuja ndio walio ikwanisha nchi na kwa kweli natamani nione wakiendelea kuiona Tanzania ikiingia kwenye uchumi wa kati na hujuma zao wakiziona zikishindwa siku hadi siku na kuendelea kuanikwa kama nyani juu ya mti.

Pili kwa Mambo anayoyafanya Mh Rais katika awamu hii ya tano na riski anazochukua kila siku kwa maslahi ya taifa tunapaswa kupiga kelele haswa ili kila mhujumu ajue tunasimama na Rais iwe jua iwe mvua.

Tatu tunamtetea kwa sababu tunampenda sana maana ndiye Rais wa ndoto za Watanzania ambao kwa miaka hamsini wamekuwa wakijiuliza kwa nini Tanzania ni masikini ili hali tumejaaliwa kila rasilimali ya utajiri.

-Anachokisema Musiba kipo mtaani miaka mingi.

Watu wanavurugwa kumuelewa musiba lakini ukweli anavyovisema viko mitaani muda mrefu na watanzania wengi wanajua.Watu wanashtuka kutuhumiwa wazee wawili wanasahau makomtedi hao walikuwepo wakati wa chama cha makundi yaliyojaa rushwa hata majina yao kuwemo kwenye orodha iliyohujumu Mali za chama na madudu mengi ya hovyohovyo.Nashangaa tu wazee hao wawili kujimilikisha chama,hili lilifanya kila aliyepata uongozi alikuwa anapanga safu mpaka za wenyeviti vya vijiji na mitaa.

Kwa watu wanaoamini kama mimi wataelewa kuwa Musiba yupo sahihi achilia mbali nani yupo nyuma yake sawa sawa na wakati tunajiuliza hawa watu wenye uwezo wa kusema mtu flani ndie atakuwa Rais mwaka flani na flani atakuwa mbunge wa jimbo flani hii nguvu wanaitoa wapi?

Nguvu imendolewa kwao sasa wanamtafuta mchawi nani hahaaha.!

-Wanauliza nani anamtuma Musiba,mbona hawaulizi nani anamtuma Mange,Maria na Fatma!?

Wakimpata kwanza aliyekuwa akimtuma Mange kimambi, ndipo waje na hoja ya kujua nani yupo nyuma ya Musiba. Hao wanaolalamika kuwa hakuna kiongozi aliyemuonya Musiba hao,hao walikuwa viongozi wakati Mange kimambi akimtukana na kumdhalilisha Mwenyekiti wetu na lakini hawajasema lolote, wala hawakuandika waraka au tuamini kuwa walikuwa Nyuma ya Mange,au ndio wako nyuma ya Maria au Fatma!?

Nilitegemea wangekuja na waraka mbili ya kwanza ya Mange,Maria na Fatma hapo tungeweza kuwaelewa kuwa huenda wanachembe ya uzalendo.

Swali rahisi lakuwauliza Kinana,Makamba,Nape,January na Membe hasa kwa sauti tulizosikia toka kwenye clip iliyovuja,Je ccm ilijiunga na wewe au wewe ulijiunga na ccm? Unapotaka uogopewe uabudiwe usujudiwe wewe nani? Nani ni nguzo ya ccm kwamba ikitikiswa ccm inaanguka?

-Nitakuwa mwanachama muaminifu wa Chama Cha Mapinduzi na Raia mwema wa Tanzania na Afrika.

Leo nimesononeka sana,sikuwaza kirahisi kama ipo siku tutamsikia mtu kwenye clip iliyovuja ikitaka kumhujumu Mh Rais,nilivyoona waraka wa wazee wawili nilitegemea sasa mngetumia muda wenu katika kusahihisha pale tulipokosea na kushauri chama na serikali twende wapi,lakin kwa maslahi mapana ya taifa langu,nimesononeka mno,sitanyamaza kwa ajili ya Tanzania yangu na Rais wangu,nitaipaza sauti yangu kumtetea maana ndiye mjenga nchi na mtetezi wa Wanyonge.

Wewe Mzee Kinana na Mzee Makamba wa kwenye clip iliyovuja si wewe ambaye mpaka unaondoka hatufahamu mitambo yetu ya redio,tv na magazeti ya chama imeenda wapi,tulikuwa hatufahamu kama Channel ten ni ya kwetu!?,hatufahamu tuliamua kukaa kimya pia,Wewe mzee si ni wewe ambaye tulitegemea sasa ungetumia muda huu kufurahi kwamba Rais Magufuli anafanya mageuzi makubwa ndani ya Chama na Serikali,looh kumbe ulikuwa mnafiki ulipohubiri mabadiliko,kumbe ulihubiri mabadiliko ya kukufichia wewe ufisadi wako wa Mali za Chama na tuhuma zako.

Ile ripoti ya ukaguzi wa Mali ya chama imewaumiza mnoo,kiuhalisia ule ndio ukweli halisi,Mali za chama mlijilimbikizia,tuachane na kutaka kuwatumia vijana hawa kuwapigia nyimbo za praise and worship kiuhalisia mpaka mnakabidhi chama,chama kulikuwa kimeoza,nazungumza haya kutoka kwenye sakafu ya moyo wangu,kama Chadema wangembakisha Dr Slaa 2015 na CCM ikambeba Membe chama lilikuwa kinamfia kweli mwenyekiti mikono,Tunamshukuru Mungu kwa kumleta Magufuli Kama Leo mnaumizwa na maneno ya Musiba basi kwanini msingeumizwa na namna mlipokifikisha chama 2015???

Haya sasa hata utaratibu wa kutoa malalamiko yenu hamjui,mnaishia kupanga kununua magazeti manne yarushe waraka wetu,hii imenisononesha sana.Tusiache nyufa zikaipasua nyumba,tuzizibe.

-Kinana,Makamba na Uzalendo feki.

Kukipambania chama ni jambo moja TUNATHAMINI michango yao.

KUIBIA NCHI wakati wanapambania chama ilo ni JAMBO LINGINE.

Sasa tuulizane Mzalendo ni mtu gani?

Je Mzalendo ni yule aliyepambania chama na nchi yake, akaiba wakati wa mapambano, akastaafu akiwa na historia ya wizi lakini akaomba umfichie kashfa zake kwa kuwa ni mzee aliyewahi kuwa na cheo kikubwa.?

-Zipi ni Sifa za kuwa Mzalendo.

Ili mtu aitwe mzalendo ni lazima awe na sifa hizi.

-Kuzaliwa nchini na angalau mzazi mmoja au wote wawili wawe ni wazawa.

Kuona fahari yeye kuzaliwa nchini bila kuona aibu wala haya.

Ni lazima awe mwaminifu wa kulipa kodi, kutoibia nchi kwa njia yeyote.

Kutokuwa mharibifu au mvujaji wa mali na rasilimali za nchi.

Kuwapenda watu wote, hata viongozi wanaoijenga nchi bila kujali uchama, udini, ukabila wala rangi yake.

Kuwapiga vita na kuwapinga kwa nguvu zote raia wote wanaobomoa na kuharibu nchi hata kama ni wa chama chake, dini yake, kabila lake, rangi yake au ndugu na jamaa zake.

Kusaidiana na viongozi wake kuijenga nchi bila kujali uchama, udini, ukabila wala rangi yake.

Kuweka juhudi kubwa katika kuisema na kuitangaza nchi yake vizuri ndani na nje ya mipaka yake.

Kupenda vitu vinavyoihusu au kutoka au kutengenezwa nchini mwake kama lugha, utamaduni, vyakula, bidhaa za viwanda, timu za michezo, wana michezo wake, na kila kitu kizuri kinachotokana na nchi yake.

Kuwafundisha na kuwahamasisha watu wake wa karibu kama familia, ndugu, majirani na marafiki kuwa wazalendo kwa kuipenda na kujitoa kwa ajili ya nchi yao.

-Mifano ya Wazalendo wa kweli.

Rais wa kwanza wa Tanzania Mwalimu Julius Kambarage Nyerere anaweza kuwa mfano mzuri wa Mtanzania Mzalendo kwani anaingia katika sifa zote 10 hapo juu.

Edward Moringe Sokoine pia anawekwa kwenye orodha ya watanzania wazalendo ambao kwa kweli waliipigania hii nchi na watu wake na rasilimali zake hata na kupoteza maisha yake.

Rais John Magufuli nae anaingia katika nafasi ya tatu kama Mzalendo wa kweli katika Taifa la Tanzania kwani anaingia katika sifa zote kumi nikizozitaja hapo juu.

Kwa namna ya pekee pia Rais Magufuli anaingia katika mioyo ya Watanzania kama Mzalendo namba moja kwa sasa baada ya kuvunja rekodi ya miaka 30 katika awamu tatu zilizopita.

Miaka 10 ya Mwinyi,Mkapa na Kikwete walishindwa kuhamia Dodoma,kwa kuwa walikuwa hawana hela,Awamu hii ya Magufuli amehamia Dodoma,hilo moja.

Mashirika ya Umma yalibinafsishwa kwa kuwa Serikali ilishindwa kuyaendesha,Hivi sasa Mh Rais Magufuli anayafufua mashirika ya Umma yakiwemo TTCL,ATCL na kununua ndege 10.hilo la pili.

Mh Rais Magufuli anajenga reli ya Standard gauge,Bwawa la Umeme la Stigglers Gorge ambalo awamu ya Mwinyi alishindwa,Awamu ya Mkapa alishindwa ,Awamu ya Kikwete alishindwa,Sasa bado useme Kinana na Makamba ni Mashujaa!? Kwa nini tusiseme Dr Bashiru ni shujaa!?

Uwepo wa Mungu umlinde Rais John Magufuli,Baraka za Mungu ziende nae,Serikali yake na Taifa letu la Tanzania,Mapenzi ya Mungu yakatimizwe katika Taifa la Tanzania.

Nikiishia hapa,Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.


Sifa nyingine ya uzalendo:
Kuwa tayari kupigania maslahi ya nchi yako kwanza (siyo chama, maslahi binafsi, ukanda au kikundi kimoja) na ikibidi kujitoa mhanga
 
Wewe ni Gifted fool
Certified idiot of 2019

Tumia kichwa kufikiri usikibebe kama mzigo wa kuni juu ya mabega
Nape au January wanamsaidia kitu gani Bibi na Babu yako huko Nanjilinji

Work hard lady, Life is not easy
pole kwa kuguswa usipopapenda kuguswa
 
Simbachawene Aliboronga Ofisi Ya Rais Akaondoka Na Ripoti Ya Tume Ya Uchunguzi Ya Tanzanite. Rais Akasema Akikuteua Ukaharibu Hawezi Kukuteua Tena Ili Usiharibu Sehemu Nyingine Sasa Simbachawene Karudishwa Upya! JE Inamana Rais Kasahau Kauli Yake Au CCM Imehishiwa Watu Wa Kuteua?

Lawama zote kwa John
Imekuuma sana

Pole mkuu
 
KINANA,NAPE,JANUARY,MEMBE NA MSEMO NIGUSE NINUKE.

Leo 13:00pm,21/07/2019.

Mwalimu Nyerere alisema hakuna hatimiliki ya Tanzania,kila Mtanzania ni Mwana-Nchi,iweje Kinana,Nape,Makamba na Membe wajione ni wenye hati miliki ya Tanzania!?

Mwalimu Nyerere hakuwaingiza watoto wake kwenye siasa,maana wapo Watanzania wengi wanaofanya mengi,iwe kwenye siasa kuzuia ukoloni,kupambana na ukoloni,kupigania Uhuru au kuijenga Tanzania,iweje Makamba alazimishe jengo au barabara liitwe Nnauye!?

Wapo wengi kwa utaalam mkubwa wamelisaidia Taifa la Tanzania kwa namna moja ama nyingine na wengine wamekufa,tuliwashukuru na wamepumzika kwa amani,Hata sasa wapo wanaofanya makubwa zaidi ya Makamba,Kinana na Nnauye.

-Mchezea tope lazima achafuke.

Mkono wa Mwanaume umewagusa,nyuso zenu zilidhani mngemchezea akili kwa manufaa yetu ya uovu,mkimtazama moyoni mnamuita "mshamba" akisema nitaipeleka Tanzania kwenye uchumi wa kati mioyoni mwenu mnamuangalia mnasema "kachanganyikiwa" nadhani ninyi ni wasaliti wa Taifa la Watanzania kwa maana mmetudharau kwa pesa zenu mlizotuibia,sasa mnatuona washamba,mmetufanya masikini na mnajua mawazo,niwaambie tu Mungu yupo,narudia tena Mungu yupo na kamwe msichezee kidole cha Mungu hapa duniani.

-January uliapa kuitumikia Jamhuri na Rais wake na si kumpotosha.

January umetenda na umetamka yenye kuashiria hujuma kwa Rais wa Jamhuri,naamini ulivaa ngozi ya kondoo lakini ulikuwa chui ndani ya baraza la Mawaziri.

January ukishaapa kuitumikia Jamhuri ni kuapa pia kumtumikia Rais wa Jamhuri,na kutenda yenye kumsaidia kutimiza wajibu wake kwa Taifa na sio kumkwamisha.

-Nape na kiburi cha usoni,January na kiburi cha rohoni.

Sauti ya simu inamtambulisha January akiwa na Nape,January anampa simu Nape aongee na Makamba.Walishiriki kuhujumu na kuandaa Waraka,walipanga kuwapa hela waandishi ili waraka usambae,Walifanya mikakati mingi ya pembeni ikiwa na ya kuhujumu na kukwamisha Serikali.

-Nape na January mmeukosa Uwaziri kwa ujinga wenu.

Nyote mlikalia kutekeleza hujuma badala ya kutekeleza majukumu yenu mkiwa Mawaziri.

Nape rudi jimboni Mtama ukasubiri kukatwa kama Lowassa na January rudi Bumbuli ukasubiri kukatwa kama Mamvi.

-Awamu ya tano inaijenga CCM itakayodumu miaka mia ijayo.

Tulianza kukosea mwishoni mwa miaka ya themanini pale athari ya kuvunja misingi ya azimio la Arusha zilipoanza kujionyesha,tulipowaruhusu wafanyabiashara kuingia kwenye Chombo cha kutunga sheria pale Bungeni kama kina Gulamali kipindi kile wakaja na propaganda kwamba kiongozi lazima awe tajiri,ikachukuliwa na ikaendelezwa ndani ya Chama cha Wakulima na Wafanyakazi yaani Chama Cha Mapinduzi.

Ungeweza kuona propaganda hiyo ilivyokuja na kuharibu Chama,wakati wa kura za maoni wagombea wa nafasi mbalimbali ndio waliohusika kuwalipa posho wajumbe ambao ndio wanaochagua mgombea,hii ilifanya Chama kuwa cha matajiri wachache na watwana kuongezeka,mwenye nacho ndio alipata kura nyingi za kuweza kugombea nafasi mbalimbali.

Tulipoteza mwelekeo wetu baada ya kutupilia mbali azimio la Arusha na kuja na Azimio la Zanzibar. Tukirejesha Azimio la Arusha hata kama sio mambo yote yake ya 1967 tutarudi kwenye mstari sahihi.

-Andiko la Wazee wawili na clip iliyovuja.

Andiko la wazee wawili Kinana na Makamba na clip yao ya kuhujumu iliyovuja vinaonyesha hivi sasa wanapata shida na dhamira zao baada ya kupewa dhamana kubwa kuongoza Chama ila wakatupotosha na kutunyanyasa.

Binafsi namwelewa sana anachokifanya rais wetu.Juzi nimeshuhudia chaguzi ndani ya chama,hakuna tena ulafi na wizi wala vita kama miaka ya nyuma enzi za hao wazee wawili.

Awamu hii ya tano inawaweka wazi wahuni wote waliotudhalilisha na kutuonea,Awamu hii ya tano inajenga misingi bora ya utu,haki,umoja na usawa. Mimi nasimama na Rais na Mwenyekiti wetu sasa na siku zote,juhudi zake zinanipa faraja Mimi mnyonge niliyekuwa nimesahaulikana enzi za hao wazee wawili.

Nina imani Mungu uliyemweka atamtetea sasa na siku zote.

Nina empirical evidence ya vitu vilivyofanyika awamu hii ya tano ambavyo havikufanyika miaka 30 iliyopita.

Najua watu hawawezi sema wanasubiri kuona upepo wa wahuni wahujumu umekaaje ndio waseme ila kwa ufupi nawashauri ndugu zangu Watanzani mteteeni Rais na Mwenyekiti wenu iwe mvua ama jua maana hamtapata tena mjenga nchi kama huyu na zaidi hakuna Rais mwingine zaidi yake mpaka 2025.

Hatutetei awamu hii au wala hatumtetei Mh Rais wa sababu ni Rais na kwamba hakuna mwingine hadi 2025 bali tunamtetea kwa sababu nyingi tu.

Niweke wazi wengi ya wanao lalama hivi sasa kama hao kwenye clip iliyovuja ndio walio ikwanisha nchi na kwa kweli natamani nione wakiendelea kuiona Tanzania ikiingia kwenye uchumi wa kati na hujuma zao wakiziona zikishindwa siku hadi siku na kuendelea kuanikwa kama nyani juu ya mti.

Pili kwa Mambo anayoyafanya Mh Rais katika awamu hii ya tano na riski anazochukua kila siku kwa maslahi ya taifa tunapaswa kupiga kelele haswa ili kila mhujumu ajue tunasimama na Rais iwe jua iwe mvua.

Tatu tunamtetea kwa sababu tunampenda sana maana ndiye Rais wa ndoto za Watanzania ambao kwa miaka hamsini wamekuwa wakijiuliza kwa nini Tanzania ni masikini ili hali tumejaaliwa kila rasilimali ya utajiri.

-Anachokisema Musiba kipo mtaani miaka mingi.

Watu wanavurugwa kumuelewa musiba lakini ukweli anavyovisema viko mitaani muda mrefu na watanzania wengi wanajua.Watu wanashtuka kutuhumiwa wazee wawili wanasahau makomtedi hao walikuwepo wakati wa chama cha makundi yaliyojaa rushwa hata majina yao kuwemo kwenye orodha iliyohujumu Mali za chama na madudu mengi ya hovyohovyo.Nashangaa tu wazee hao wawili kujimilikisha chama,hili lilifanya kila aliyepata uongozi alikuwa anapanga safu mpaka za wenyeviti vya vijiji na mitaa.

Kwa watu wanaoamini kama mimi wataelewa kuwa Musiba yupo sahihi achilia mbali nani yupo nyuma yake sawa sawa na wakati tunajiuliza hawa watu wenye uwezo wa kusema mtu flani ndie atakuwa Rais mwaka flani na flani atakuwa mbunge wa jimbo flani hii nguvu wanaitoa wapi?

Nguvu imendolewa kwao sasa wanamtafuta mchawi nani hahaaha.!

-Wanauliza nani anamtuma Musiba,mbona hawaulizi nani anamtuma Mange,Maria na Fatma!?

Wakimpata kwanza aliyekuwa akimtuma Mange kimambi, ndipo waje na hoja ya kujua nani yupo nyuma ya Musiba. Hao wanaolalamika kuwa hakuna kiongozi aliyemuonya Musiba hao,hao walikuwa viongozi wakati Mange kimambi akimtukana na kumdhalilisha Mwenyekiti wetu na lakini hawajasema lolote, wala hawakuandika waraka au tuamini kuwa walikuwa Nyuma ya Mange,au ndio wako nyuma ya Maria au Fatma!?

Nilitegemea wangekuja na waraka mbili ya kwanza ya Mange,Maria na Fatma hapo tungeweza kuwaelewa kuwa huenda wanachembe ya uzalendo.

Swali rahisi lakuwauliza Kinana,Makamba,Nape,January na Membe hasa kwa sauti tulizosikia toka kwenye clip iliyovuja,Je ccm ilijiunga na wewe au wewe ulijiunga na ccm? Unapotaka uogopewe uabudiwe usujudiwe wewe nani? Nani ni nguzo ya ccm kwamba ikitikiswa ccm inaanguka?

-Nitakuwa mwanachama muaminifu wa Chama Cha Mapinduzi na Raia mwema wa Tanzania na Afrika.

Leo nimesononeka sana,sikuwaza kirahisi kama ipo siku tutamsikia mtu kwenye clip iliyovuja ikitaka kumhujumu Mh Rais,nilivyoona waraka wa wazee wawili nilitegemea sasa mngetumia muda wenu katika kusahihisha pale tulipokosea na kushauri chama na serikali twende wapi,lakin kwa maslahi mapana ya taifa langu,nimesononeka mno,sitanyamaza kwa ajili ya Tanzania yangu na Rais wangu,nitaipaza sauti yangu kumtetea maana ndiye mjenga nchi na mtetezi wa Wanyonge.

Wewe Mzee Kinana na Mzee Makamba wa kwenye clip iliyovuja si wewe ambaye mpaka unaondoka hatufahamu mitambo yetu ya redio,tv na magazeti ya chama imeenda wapi,tulikuwa hatufahamu kama Channel ten ni ya kwetu!?,hatufahamu tuliamua kukaa kimya pia,Wewe mzee si ni wewe ambaye tulitegemea sasa ungetumia muda huu kufurahi kwamba Rais Magufuli anafanya mageuzi makubwa ndani ya Chama na Serikali,looh kumbe ulikuwa mnafiki ulipohubiri mabadiliko,kumbe ulihubiri mabadiliko ya kukufichia wewe ufisadi wako wa Mali za Chama na tuhuma zako.

Ile ripoti ya ukaguzi wa Mali ya chama imewaumiza mnoo,kiuhalisia ule ndio ukweli halisi,Mali za chama mlijilimbikizia,tuachane na kutaka kuwatumia vijana hawa kuwapigia nyimbo za praise and worship kiuhalisia mpaka mnakabidhi chama,chama kulikuwa kimeoza,nazungumza haya kutoka kwenye sakafu ya moyo wangu,kama Chadema wangembakisha Dr Slaa 2015 na CCM ikambeba Membe chama lilikuwa kinamfia kweli mwenyekiti mikono,Tunamshukuru Mungu kwa kumleta Magufuli Kama Leo mnaumizwa na maneno ya Musiba basi kwanini msingeumizwa na namna mlipokifikisha chama 2015???

Haya sasa hata utaratibu wa kutoa malalamiko yenu hamjui,mnaishia kupanga kununua magazeti manne yarushe waraka wetu,hii imenisononesha sana.Tusiache nyufa zikaipasua nyumba,tuzizibe.

-Kinana,Makamba na Uzalendo feki.

Kukipambania chama ni jambo moja TUNATHAMINI michango yao.

KUIBIA NCHI wakati wanapambania chama ilo ni JAMBO LINGINE.

Sasa tuulizane Mzalendo ni mtu gani?

Je Mzalendo ni yule aliyepambania chama na nchi yake, akaiba wakati wa mapambano, akastaafu akiwa na historia ya wizi lakini akaomba umfichie kashfa zake kwa kuwa ni mzee aliyewahi kuwa na cheo kikubwa.?

-Zipi ni Sifa za kuwa Mzalendo.

Ili mtu aitwe mzalendo ni lazima awe na sifa hizi.

-Kuzaliwa nchini na angalau mzazi mmoja au wote wawili wawe ni wazawa.

Kuona fahari yeye kuzaliwa nchini bila kuona aibu wala haya.

Ni lazima awe mwaminifu wa kulipa kodi, kutoibia nchi kwa njia yeyote.

Kutokuwa mharibifu au mvujaji wa mali na rasilimali za nchi.

Kuwapenda watu wote, hata viongozi wanaoijenga nchi bila kujali uchama, udini, ukabila wala rangi yake.

Kuwapiga vita na kuwapinga kwa nguvu zote raia wote wanaobomoa na kuharibu nchi hata kama ni wa chama chake, dini yake, kabila lake, rangi yake au ndugu na jamaa zake.

Kusaidiana na viongozi wake kuijenga nchi bila kujali uchama, udini, ukabila wala rangi yake.

Kuweka juhudi kubwa katika kuisema na kuitangaza nchi yake vizuri ndani na nje ya mipaka yake.

Kupenda vitu vinavyoihusu au kutoka au kutengenezwa nchini mwake kama lugha, utamaduni, vyakula, bidhaa za viwanda, timu za michezo, wana michezo wake, na kila kitu kizuri kinachotokana na nchi yake.

Kuwafundisha na kuwahamasisha watu wake wa karibu kama familia, ndugu, majirani na marafiki kuwa wazalendo kwa kuipenda na kujitoa kwa ajili ya nchi yao.

-Mifano ya Wazalendo wa kweli.

Rais wa kwanza wa Tanzania Mwalimu Julius Kambarage Nyerere anaweza kuwa mfano mzuri wa Mtanzania Mzalendo kwani anaingia katika sifa zote 10 hapo juu.

Edward Moringe Sokoine pia anawekwa kwenye orodha ya watanzania wazalendo ambao kwa kweli waliipigania hii nchi na watu wake na rasilimali zake hata na kupoteza maisha yake.

Rais John Magufuli nae anaingia katika nafasi ya tatu kama Mzalendo wa kweli katika Taifa la Tanzania kwani anaingia katika sifa zote kumi nikizozitaja hapo juu.

Kwa namna ya pekee pia Rais Magufuli anaingia katika mioyo ya Watanzania kama Mzalendo namba moja kwa sasa baada ya kuvunja rekodi ya miaka 30 katika awamu tatu zilizopita.

Miaka 10 ya Mwinyi,Mkapa na Kikwete walishindwa kuhamia Dodoma,kwa kuwa walikuwa hawana hela,Awamu hii ya Magufuli amehamia Dodoma,hilo moja.

Mashirika ya Umma yalibinafsishwa kwa kuwa Serikali ilishindwa kuyaendesha,Hivi sasa Mh Rais Magufuli anayafufua mashirika ya Umma yakiwemo TTCL,ATCL na kununua ndege 10.hilo la pili.

Mh Rais Magufuli anajenga reli ya Standard gauge,Bwawa la Umeme la Stigglers Gorge ambalo awamu ya Mwinyi alishindwa,Awamu ya Mkapa alishindwa ,Awamu ya Kikwete alishindwa,Sasa bado useme Kinana na Makamba ni Mashujaa!? Kwa nini tusiseme Dr Bashiru ni shujaa!?

Uwepo wa Mungu umlinde Rais John Magufuli,Baraka za Mungu ziende nae,Serikali yake na Taifa letu la Tanzania,Mapenzi ya Mungu yakatimizwe katika Taifa la Tanzania.

Nikiishia hapa,Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
Yaani ujue wanaosoma humu wanajitambua.Unafurahia uhuru(faragha) wako kuingiliwa
 
KINANA,NAPE,JANUARY,MEMBE NA MSEMO NIGUSE NINUKE.

Leo 13:00pm,21/07/2019.

Mwalimu Nyerere alisema hakuna hatimiliki ya Tanzania,kila Mtanzania ni Mwana-Nchi,iweje Kinana,Nape,Makamba na Membe wajione ni wenye hati miliki ya Tanzania!?

Mwalimu Nyerere hakuwaingiza watoto wake kwenye siasa,maana wapo Watanzania wengi wanaofanya mengi,iwe kwenye siasa kuzuia ukoloni,kupambana na ukoloni,kupigania Uhuru au kuijenga Tanzania,iweje Makamba alazimishe jengo au barabara liitwe Nnauye!?

Wapo wengi kwa utaalam mkubwa wamelisaidia Taifa la Tanzania kwa namna moja ama nyingine na wengine wamekufa,tuliwashukuru na wamepumzika kwa amani,Hata sasa wapo wanaofanya makubwa zaidi ya Makamba,Kinana na Nnauye.

-Mchezea tope lazima achafuke.

Mkono wa Mwanaume umewagusa,nyuso zenu zilidhani mngemchezea akili kwa manufaa yetu ya uovu,mkimtazama moyoni mnamuita "mshamba" akisema nitaipeleka Tanzania kwenye uchumi wa kati mioyoni mwenu mnamuangalia mnasema "kachanganyikiwa" nadhani ninyi ni wasaliti wa Taifa la Watanzania kwa maana mmetudharau kwa pesa zenu mlizotuibia,sasa mnatuona washamba,mmetufanya masikini na mnajua mawazo,niwaambie tu Mungu yupo,narudia tena Mungu yupo na kamwe msichezee kidole cha Mungu hapa duniani.

-January uliapa kuitumikia Jamhuri na Rais wake na si kumpotosha.

January umetenda na umetamka yenye kuashiria hujuma kwa Rais wa Jamhuri,naamini ulivaa ngozi ya kondoo lakini ulikuwa chui ndani ya baraza la Mawaziri.

January ukishaapa kuitumikia Jamhuri ni kuapa pia kumtumikia Rais wa Jamhuri,na kutenda yenye kumsaidia kutimiza wajibu wake kwa Taifa na sio kumkwamisha.

-Nape na kiburi cha usoni,January na kiburi cha rohoni.

Sauti ya simu inamtambulisha January akiwa na Nape,January anampa simu Nape aongee na Makamba.Walishiriki kuhujumu na kuandaa Waraka,walipanga kuwapa hela waandishi ili waraka usambae,Walifanya mikakati mingi ya pembeni ikiwa na ya kuhujumu na kukwamisha Serikali.

-Nape na January mmeukosa Uwaziri kwa ujinga wenu.

Nyote mlikalia kutekeleza hujuma badala ya kutekeleza majukumu yenu mkiwa Mawaziri.

Nape rudi jimboni Mtama ukasubiri kukatwa kama Lowassa na January rudi Bumbuli ukasubiri kukatwa kama Mamvi.

-Awamu ya tano inaijenga CCM itakayodumu miaka mia ijayo.

Tulianza kukosea mwishoni mwa miaka ya themanini pale athari ya kuvunja misingi ya azimio la Arusha zilipoanza kujionyesha,tulipowaruhusu wafanyabiashara kuingia kwenye Chombo cha kutunga sheria pale Bungeni kama kina Gulamali kipindi kile wakaja na propaganda kwamba kiongozi lazima awe tajiri,ikachukuliwa na ikaendelezwa ndani ya Chama cha Wakulima na Wafanyakazi yaani Chama Cha Mapinduzi.

Ungeweza kuona propaganda hiyo ilivyokuja na kuharibu Chama,wakati wa kura za maoni wagombea wa nafasi mbalimbali ndio waliohusika kuwalipa posho wajumbe ambao ndio wanaochagua mgombea,hii ilifanya Chama kuwa cha matajiri wachache na watwana kuongezeka,mwenye nacho ndio alipata kura nyingi za kuweza kugombea nafasi mbalimbali.

Tulipoteza mwelekeo wetu baada ya kutupilia mbali azimio la Arusha na kuja na Azimio la Zanzibar. Tukirejesha Azimio la Arusha hata kama sio mambo yote yake ya 1967 tutarudi kwenye mstari sahihi.

-Andiko la Wazee wawili na clip iliyovuja.

Andiko la wazee wawili Kinana na Makamba na clip yao ya kuhujumu iliyovuja vinaonyesha hivi sasa wanapata shida na dhamira zao baada ya kupewa dhamana kubwa kuongoza Chama ila wakatupotosha na kutunyanyasa.

Binafsi namwelewa sana anachokifanya rais wetu.Juzi nimeshuhudia chaguzi ndani ya chama,hakuna tena ulafi na wizi wala vita kama miaka ya nyuma enzi za hao wazee wawili.

Awamu hii ya tano inawaweka wazi wahuni wote waliotudhalilisha na kutuonea,Awamu hii ya tano inajenga misingi bora ya utu,haki,umoja na usawa. Mimi nasimama na Rais na Mwenyekiti wetu sasa na siku zote,juhudi zake zinanipa faraja Mimi mnyonge niliyekuwa nimesahaulikana enzi za hao wazee wawili.

Nina imani Mungu uliyemweka atamtetea sasa na siku zote.

Nina empirical evidence ya vitu vilivyofanyika awamu hii ya tano ambavyo havikufanyika miaka 30 iliyopita.

Najua watu hawawezi sema wanasubiri kuona upepo wa wahuni wahujumu umekaaje ndio waseme ila kwa ufupi nawashauri ndugu zangu Watanzani mteteeni Rais na Mwenyekiti wenu iwe mvua ama jua maana hamtapata tena mjenga nchi kama huyu na zaidi hakuna Rais mwingine zaidi yake mpaka 2025.

Hatutetei awamu hii au wala hatumtetei Mh Rais wa sababu ni Rais na kwamba hakuna mwingine hadi 2025 bali tunamtetea kwa sababu nyingi tu.

Niweke wazi wengi ya wanao lalama hivi sasa kama hao kwenye clip iliyovuja ndio walio ikwanisha nchi na kwa kweli natamani nione wakiendelea kuiona Tanzania ikiingia kwenye uchumi wa kati na hujuma zao wakiziona zikishindwa siku hadi siku na kuendelea kuanikwa kama nyani juu ya mti.

Pili kwa Mambo anayoyafanya Mh Rais katika awamu hii ya tano na riski anazochukua kila siku kwa maslahi ya taifa tunapaswa kupiga kelele haswa ili kila mhujumu ajue tunasimama na Rais iwe jua iwe mvua.

Tatu tunamtetea kwa sababu tunampenda sana maana ndiye Rais wa ndoto za Watanzania ambao kwa miaka hamsini wamekuwa wakijiuliza kwa nini Tanzania ni masikini ili hali tumejaaliwa kila rasilimali ya utajiri.

-Anachokisema Musiba kipo mtaani miaka mingi.

Watu wanavurugwa kumuelewa musiba lakini ukweli anavyovisema viko mitaani muda mrefu na watanzania wengi wanajua.Watu wanashtuka kutuhumiwa wazee wawili wanasahau makomtedi hao walikuwepo wakati wa chama cha makundi yaliyojaa rushwa hata majina yao kuwemo kwenye orodha iliyohujumu Mali za chama na madudu mengi ya hovyohovyo.Nashangaa tu wazee hao wawili kujimilikisha chama,hili lilifanya kila aliyepata uongozi alikuwa anapanga safu mpaka za wenyeviti vya vijiji na mitaa.

Kwa watu wanaoamini kama mimi wataelewa kuwa Musiba yupo sahihi achilia mbali nani yupo nyuma yake sawa sawa na wakati tunajiuliza hawa watu wenye uwezo wa kusema mtu flani ndie atakuwa Rais mwaka flani na flani atakuwa mbunge wa jimbo flani hii nguvu wanaitoa wapi?

Nguvu imendolewa kwao sasa wanamtafuta mchawi nani hahaaha.!

-Wanauliza nani anamtuma Musiba,mbona hawaulizi nani anamtuma Mange,Maria na Fatma!?

Wakimpata kwanza aliyekuwa akimtuma Mange kimambi, ndipo waje na hoja ya kujua nani yupo nyuma ya Musiba. Hao wanaolalamika kuwa hakuna kiongozi aliyemuonya Musiba hao,hao walikuwa viongozi wakati Mange kimambi akimtukana na kumdhalilisha Mwenyekiti wetu na lakini hawajasema lolote, wala hawakuandika waraka au tuamini kuwa walikuwa Nyuma ya Mange,au ndio wako nyuma ya Maria au Fatma!?

Nilitegemea wangekuja na waraka mbili ya kwanza ya Mange,Maria na Fatma hapo tungeweza kuwaelewa kuwa huenda wanachembe ya uzalendo.

Swali rahisi lakuwauliza Kinana,Makamba,Nape,January na Membe hasa kwa sauti tulizosikia toka kwenye clip iliyovuja,Je ccm ilijiunga na wewe au wewe ulijiunga na ccm? Unapotaka uogopewe uabudiwe usujudiwe wewe nani? Nani ni nguzo ya ccm kwamba ikitikiswa ccm inaanguka?

-Nitakuwa mwanachama muaminifu wa Chama Cha Mapinduzi na Raia mwema wa Tanzania na Afrika.

Leo nimesononeka sana,sikuwaza kirahisi kama ipo siku tutamsikia mtu kwenye clip iliyovuja ikitaka kumhujumu Mh Rais,nilivyoona waraka wa wazee wawili nilitegemea sasa mngetumia muda wenu katika kusahihisha pale tulipokosea na kushauri chama na serikali twende wapi,lakin kwa maslahi mapana ya taifa langu,nimesononeka mno,sitanyamaza kwa ajili ya Tanzania yangu na Rais wangu,nitaipaza sauti yangu kumtetea maana ndiye mjenga nchi na mtetezi wa Wanyonge.

Wewe Mzee Kinana na Mzee Makamba wa kwenye clip iliyovuja si wewe ambaye mpaka unaondoka hatufahamu mitambo yetu ya redio,tv na magazeti ya chama imeenda wapi,tulikuwa hatufahamu kama Channel ten ni ya kwetu!?,hatufahamu tuliamua kukaa kimya pia,Wewe mzee si ni wewe ambaye tulitegemea sasa ungetumia muda huu kufurahi kwamba Rais Magufuli anafanya mageuzi makubwa ndani ya Chama na Serikali,looh kumbe ulikuwa mnafiki ulipohubiri mabadiliko,kumbe ulihubiri mabadiliko ya kukufichia wewe ufisadi wako wa Mali za Chama na tuhuma zako.

Ile ripoti ya ukaguzi wa Mali ya chama imewaumiza mnoo,kiuhalisia ule ndio ukweli halisi,Mali za chama mlijilimbikizia,tuachane na kutaka kuwatumia vijana hawa kuwapigia nyimbo za praise and worship kiuhalisia mpaka mnakabidhi chama,chama kulikuwa kimeoza,nazungumza haya kutoka kwenye sakafu ya moyo wangu,kama Chadema wangembakisha Dr Slaa 2015 na CCM ikambeba Membe chama lilikuwa kinamfia kweli mwenyekiti mikono,Tunamshukuru Mungu kwa kumleta Magufuli Kama Leo mnaumizwa na maneno ya Musiba basi kwanini msingeumizwa na namna mlipokifikisha chama 2015???

Haya sasa hata utaratibu wa kutoa malalamiko yenu hamjui,mnaishia kupanga kununua magazeti manne yarushe waraka wetu,hii imenisononesha sana.Tusiache nyufa zikaipasua nyumba,tuzizibe.

-Kinana,Makamba na Uzalendo feki.

Kukipambania chama ni jambo moja TUNATHAMINI michango yao.

KUIBIA NCHI wakati wanapambania chama ilo ni JAMBO LINGINE.

Sasa tuulizane Mzalendo ni mtu gani?

Je Mzalendo ni yule aliyepambania chama na nchi yake, akaiba wakati wa mapambano, akastaafu akiwa na historia ya wizi lakini akaomba umfichie kashfa zake kwa kuwa ni mzee aliyewahi kuwa na cheo kikubwa.?

-Zipi ni Sifa za kuwa Mzalendo.

Ili mtu aitwe mzalendo ni lazima awe na sifa hizi.

-Kuzaliwa nchini na angalau mzazi mmoja au wote wawili wawe ni wazawa.

Kuona fahari yeye kuzaliwa nchini bila kuona aibu wala haya.

Ni lazima awe mwaminifu wa kulipa kodi, kutoibia nchi kwa njia yeyote.

Kutokuwa mharibifu au mvujaji wa mali na rasilimali za nchi.

Kuwapenda watu wote, hata viongozi wanaoijenga nchi bila kujali uchama, udini, ukabila wala rangi yake.

Kuwapiga vita na kuwapinga kwa nguvu zote raia wote wanaobomoa na kuharibu nchi hata kama ni wa chama chake, dini yake, kabila lake, rangi yake au ndugu na jamaa zake.

Kusaidiana na viongozi wake kuijenga nchi bila kujali uchama, udini, ukabila wala rangi yake.

Kuweka juhudi kubwa katika kuisema na kuitangaza nchi yake vizuri ndani na nje ya mipaka yake.

Kupenda vitu vinavyoihusu au kutoka au kutengenezwa nchini mwake kama lugha, utamaduni, vyakula, bidhaa za viwanda, timu za michezo, wana michezo wake, na kila kitu kizuri kinachotokana na nchi yake.

Kuwafundisha na kuwahamasisha watu wake wa karibu kama familia, ndugu, majirani na marafiki kuwa wazalendo kwa kuipenda na kujitoa kwa ajili ya nchi yao.

-Mifano ya Wazalendo wa kweli.

Rais wa kwanza wa Tanzania Mwalimu Julius Kambarage Nyerere anaweza kuwa mfano mzuri wa Mtanzania Mzalendo kwani anaingia katika sifa zote 10 hapo juu.

Edward Moringe Sokoine pia anawekwa kwenye orodha ya watanzania wazalendo ambao kwa kweli waliipigania hii nchi na watu wake na rasilimali zake hata na kupoteza maisha yake.

Rais John Magufuli nae anaingia katika nafasi ya tatu kama Mzalendo wa kweli katika Taifa la Tanzania kwani anaingia katika sifa zote kumi nikizozitaja hapo juu.

Kwa namna ya pekee pia Rais Magufuli anaingia katika mioyo ya Watanzania kama Mzalendo namba moja kwa sasa baada ya kuvunja rekodi ya miaka 30 katika awamu tatu zilizopita.

Miaka 10 ya Mwinyi,Mkapa na Kikwete walishindwa kuhamia Dodoma,kwa kuwa walikuwa hawana hela,Awamu hii ya Magufuli amehamia Dodoma,hilo moja.

Mashirika ya Umma yalibinafsishwa kwa kuwa Serikali ilishindwa kuyaendesha,Hivi sasa Mh Rais Magufuli anayafufua mashirika ya Umma yakiwemo TTCL,ATCL na kununua ndege 10.hilo la pili.

Mh Rais Magufuli anajenga reli ya Standard gauge,Bwawa la Umeme la Stigglers Gorge ambalo awamu ya Mwinyi alishindwa,Awamu ya Mkapa alishindwa ,Awamu ya Kikwete alishindwa,Sasa bado useme Kinana na Makamba ni Mashujaa!? Kwa nini tusiseme Dr Bashiru ni shujaa!?

Uwepo wa Mungu umlinde Rais John Magufuli,Baraka za Mungu ziende nae,Serikali yake na Taifa letu la Tanzania,Mapenzi ya Mungu yakatimizwe katika Taifa la Tanzania.

Nikiishia hapa,Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
Huku mitandaoni nako wazalendo wapo wachache sana hivyo subiri kushambuliwa mkuu.
 
KINANA,NAPE,JANUARY,MEMBE NA MSEMO NIGUSE NINUKE.

Leo 13:00pm,21/07/2019.

Mwalimu Nyerere alisema hakuna hatimiliki ya Tanzania,kila Mtanzania ni Mwana-Nchi,iweje Kinana,Nape,Makamba na Membe wajione ni wenye hati miliki ya Tanzania!?

Mwalimu Nyerere hakuwaingiza watoto wake kwenye siasa,maana wapo Watanzania wengi wanaofanya mengi,iwe kwenye siasa kuzuia ukoloni,kupambana na ukoloni,kupigania Uhuru au kuijenga Tanzania,iweje Makamba alazimishe jengo au barabara liitwe Nnauye!?

Wapo wengi kwa utaalam mkubwa wamelisaidia Taifa la Tanzania kwa namna moja ama nyingine na wengine wamekufa,tuliwashukuru na wamepumzika kwa amani,Hata sasa wapo wanaofanya makubwa zaidi ya Makamba,Kinana na Nnauye.

-Mchezea tope lazima achafuke.

Mkono wa Mwanaume umewagusa,nyuso zenu zilidhani mngemchezea akili kwa manufaa yetu ya uovu,mkimtazama moyoni mnamuita "mshamba" akisema nitaipeleka Tanzania kwenye uchumi wa kati mioyoni mwenu mnamuangalia mnasema "kachanganyikiwa" nadhani ninyi ni wasaliti wa Taifa la Watanzania kwa maana mmetudharau kwa pesa zenu mlizotuibia,sasa mnatuona washamba,mmetufanya masikini na mnajua mawazo,niwaambie tu Mungu yupo,narudia tena Mungu yupo na kamwe msichezee kidole cha Mungu hapa duniani.

-January uliapa kuitumikia Jamhuri na Rais wake na si kumpotosha.

January umetenda na umetamka yenye kuashiria hujuma kwa Rais wa Jamhuri,naamini ulivaa ngozi ya kondoo lakini ulikuwa chui ndani ya baraza la Mawaziri.

January ukishaapa kuitumikia Jamhuri ni kuapa pia kumtumikia Rais wa Jamhuri,na kutenda yenye kumsaidia kutimiza wajibu wake kwa Taifa na sio kumkwamisha.

-Nape na kiburi cha usoni,January na kiburi cha rohoni.

Sauti ya simu inamtambulisha January akiwa na Nape,January anampa simu Nape aongee na Makamba.Walishiriki kuhujumu na kuandaa Waraka,walipanga kuwapa hela waandishi ili waraka usambae,Walifanya mikakati mingi ya pembeni ikiwa na ya kuhujumu na kukwamisha Serikali.

-Nape na January mmeukosa Uwaziri kwa ujinga wenu.

Nyote mlikalia kutekeleza hujuma badala ya kutekeleza majukumu yenu mkiwa Mawaziri.

Nape rudi jimboni Mtama ukasubiri kukatwa kama Lowassa na January rudi Bumbuli ukasubiri kukatwa kama Mamvi.

-Awamu ya tano inaijenga CCM itakayodumu miaka mia ijayo.

Tulianza kukosea mwishoni mwa miaka ya themanini pale athari ya kuvunja misingi ya azimio la Arusha zilipoanza kujionyesha,tulipowaruhusu wafanyabiashara kuingia kwenye Chombo cha kutunga sheria pale Bungeni kama kina Gulamali kipindi kile wakaja na propaganda kwamba kiongozi lazima awe tajiri,ikachukuliwa na ikaendelezwa ndani ya Chama cha Wakulima na Wafanyakazi yaani Chama Cha Mapinduzi.

Ungeweza kuona propaganda hiyo ilivyokuja na kuharibu Chama,wakati wa kura za maoni wagombea wa nafasi mbalimbali ndio waliohusika kuwalipa posho wajumbe ambao ndio wanaochagua mgombea,hii ilifanya Chama kuwa cha matajiri wachache na watwana kuongezeka,mwenye nacho ndio alipata kura nyingi za kuweza kugombea nafasi mbalimbali.

Tulipoteza mwelekeo wetu baada ya kutupilia mbali azimio la Arusha na kuja na Azimio la Zanzibar. Tukirejesha Azimio la Arusha hata kama sio mambo yote yake ya 1967 tutarudi kwenye mstari sahihi.

-Andiko la Wazee wawili na clip iliyovuja.

Andiko la wazee wawili Kinana na Makamba na clip yao ya kuhujumu iliyovuja vinaonyesha hivi sasa wanapata shida na dhamira zao baada ya kupewa dhamana kubwa kuongoza Chama ila wakatupotosha na kutunyanyasa.

Binafsi namwelewa sana anachokifanya rais wetu.Juzi nimeshuhudia chaguzi ndani ya chama,hakuna tena ulafi na wizi wala vita kama miaka ya nyuma enzi za hao wazee wawili.

Awamu hii ya tano inawaweka wazi wahuni wote waliotudhalilisha na kutuonea,Awamu hii ya tano inajenga misingi bora ya utu,haki,umoja na usawa. Mimi nasimama na Rais na Mwenyekiti wetu sasa na siku zote,juhudi zake zinanipa faraja Mimi mnyonge niliyekuwa nimesahaulikana enzi za hao wazee wawili.

Nina imani Mungu uliyemweka atamtetea sasa na siku zote.

Nina empirical evidence ya vitu vilivyofanyika awamu hii ya tano ambavyo havikufanyika miaka 30 iliyopita.

Najua watu hawawezi sema wanasubiri kuona upepo wa wahuni wahujumu umekaaje ndio waseme ila kwa ufupi nawashauri ndugu zangu Watanzani mteteeni Rais na Mwenyekiti wenu iwe mvua ama jua maana hamtapata tena mjenga nchi kama huyu na zaidi hakuna Rais mwingine zaidi yake mpaka 2025.

Hatutetei awamu hii au wala hatumtetei Mh Rais wa sababu ni Rais na kwamba hakuna mwingine hadi 2025 bali tunamtetea kwa sababu nyingi tu.

Niweke wazi wengi ya wanao lalama hivi sasa kama hao kwenye clip iliyovuja ndio walio ikwanisha nchi na kwa kweli natamani nione wakiendelea kuiona Tanzania ikiingia kwenye uchumi wa kati na hujuma zao wakiziona zikishindwa siku hadi siku na kuendelea kuanikwa kama nyani juu ya mti.

Pili kwa Mambo anayoyafanya Mh Rais katika awamu hii ya tano na riski anazochukua kila siku kwa maslahi ya taifa tunapaswa kupiga kelele haswa ili kila mhujumu ajue tunasimama na Rais iwe jua iwe mvua.

Tatu tunamtetea kwa sababu tunampenda sana maana ndiye Rais wa ndoto za Watanzania ambao kwa miaka hamsini wamekuwa wakijiuliza kwa nini Tanzania ni masikini ili hali tumejaaliwa kila rasilimali ya utajiri.

-Anachokisema Musiba kipo mtaani miaka mingi.

Watu wanavurugwa kumuelewa musiba lakini ukweli anavyovisema viko mitaani muda mrefu na watanzania wengi wanajua.Watu wanashtuka kutuhumiwa wazee wawili wanasahau makomtedi hao walikuwepo wakati wa chama cha makundi yaliyojaa rushwa hata majina yao kuwemo kwenye orodha iliyohujumu Mali za chama na madudu mengi ya hovyohovyo.Nashangaa tu wazee hao wawili kujimilikisha chama,hili lilifanya kila aliyepata uongozi alikuwa anapanga safu mpaka za wenyeviti vya vijiji na mitaa.

Kwa watu wanaoamini kama mimi wataelewa kuwa Musiba yupo sahihi achilia mbali nani yupo nyuma yake sawa sawa na wakati tunajiuliza hawa watu wenye uwezo wa kusema mtu flani ndie atakuwa Rais mwaka flani na flani atakuwa mbunge wa jimbo flani hii nguvu wanaitoa wapi?

Nguvu imendolewa kwao sasa wanamtafuta mchawi nani hahaaha.!

-Wanauliza nani anamtuma Musiba,mbona hawaulizi nani anamtuma Mange,Maria na Fatma!?

Wakimpata kwanza aliyekuwa akimtuma Mange kimambi, ndipo waje na hoja ya kujua nani yupo nyuma ya Musiba. Hao wanaolalamika kuwa hakuna kiongozi aliyemuonya Musiba hao,hao walikuwa viongozi wakati Mange kimambi akimtukana na kumdhalilisha Mwenyekiti wetu na lakini hawajasema lolote, wala hawakuandika waraka au tuamini kuwa walikuwa Nyuma ya Mange,au ndio wako nyuma ya Maria au Fatma!?

Nilitegemea wangekuja na waraka mbili ya kwanza ya Mange,Maria na Fatma hapo tungeweza kuwaelewa kuwa huenda wanachembe ya uzalendo.

Swali rahisi lakuwauliza Kinana,Makamba,Nape,January na Membe hasa kwa sauti tulizosikia toka kwenye clip iliyovuja,Je ccm ilijiunga na wewe au wewe ulijiunga na ccm? Unapotaka uogopewe uabudiwe usujudiwe wewe nani? Nani ni nguzo ya ccm kwamba ikitikiswa ccm inaanguka?

-Nitakuwa mwanachama muaminifu wa Chama Cha Mapinduzi na Raia mwema wa Tanzania na Afrika.

Leo nimesononeka sana,sikuwaza kirahisi kama ipo siku tutamsikia mtu kwenye clip iliyovuja ikitaka kumhujumu Mh Rais,nilivyoona waraka wa wazee wawili nilitegemea sasa mngetumia muda wenu katika kusahihisha pale tulipokosea na kushauri chama na serikali twende wapi,lakin kwa maslahi mapana ya taifa langu,nimesononeka mno,sitanyamaza kwa ajili ya Tanzania yangu na Rais wangu,nitaipaza sauti yangu kumtetea maana ndiye mjenga nchi na mtetezi wa Wanyonge.

Wewe Mzee Kinana na Mzee Makamba wa kwenye clip iliyovuja si wewe ambaye mpaka unaondoka hatufahamu mitambo yetu ya redio,tv na magazeti ya chama imeenda wapi,tulikuwa hatufahamu kama Channel ten ni ya kwetu!?,hatufahamu tuliamua kukaa kimya pia,Wewe mzee si ni wewe ambaye tulitegemea sasa ungetumia muda huu kufurahi kwamba Rais Magufuli anafanya mageuzi makubwa ndani ya Chama na Serikali,looh kumbe ulikuwa mnafiki ulipohubiri mabadiliko,kumbe ulihubiri mabadiliko ya kukufichia wewe ufisadi wako wa Mali za Chama na tuhuma zako.

Ile ripoti ya ukaguzi wa Mali ya chama imewaumiza mnoo,kiuhalisia ule ndio ukweli halisi,Mali za chama mlijilimbikizia,tuachane na kutaka kuwatumia vijana hawa kuwapigia nyimbo za praise and worship kiuhalisia mpaka mnakabidhi chama,chama kulikuwa kimeoza,nazungumza haya kutoka kwenye sakafu ya moyo wangu,kama Chadema wangembakisha Dr Slaa 2015 na CCM ikambeba Membe chama lilikuwa kinamfia kweli mwenyekiti mikono,Tunamshukuru Mungu kwa kumleta Magufuli Kama Leo mnaumizwa na maneno ya Musiba basi kwanini msingeumizwa na namna mlipokifikisha chama 2015???

Haya sasa hata utaratibu wa kutoa malalamiko yenu hamjui,mnaishia kupanga kununua magazeti manne yarushe waraka wetu,hii imenisononesha sana.Tusiache nyufa zikaipasua nyumba,tuzizibe.

-Kinana,Makamba na Uzalendo feki.

Kukipambania chama ni jambo moja TUNATHAMINI michango yao.

KUIBIA NCHI wakati wanapambania chama ilo ni JAMBO LINGINE.

Sasa tuulizane Mzalendo ni mtu gani?

Je Mzalendo ni yule aliyepambania chama na nchi yake, akaiba wakati wa mapambano, akastaafu akiwa na historia ya wizi lakini akaomba umfichie kashfa zake kwa kuwa ni mzee aliyewahi kuwa na cheo kikubwa.?

-Zipi ni Sifa za kuwa Mzalendo.

Ili mtu aitwe mzalendo ni lazima awe na sifa hizi.

-Kuzaliwa nchini na angalau mzazi mmoja au wote wawili wawe ni wazawa.

Kuona fahari yeye kuzaliwa nchini bila kuona aibu wala haya.

Ni lazima awe mwaminifu wa kulipa kodi, kutoibia nchi kwa njia yeyote.

Kutokuwa mharibifu au mvujaji wa mali na rasilimali za nchi.

Kuwapenda watu wote, hata viongozi wanaoijenga nchi bila kujali uchama, udini, ukabila wala rangi yake.

Kuwapiga vita na kuwapinga kwa nguvu zote raia wote wanaobomoa na kuharibu nchi hata kama ni wa chama chake, dini yake, kabila lake, rangi yake au ndugu na jamaa zake.

Kusaidiana na viongozi wake kuijenga nchi bila kujali uchama, udini, ukabila wala rangi yake.

Kuweka juhudi kubwa katika kuisema na kuitangaza nchi yake vizuri ndani na nje ya mipaka yake.

Kupenda vitu vinavyoihusu au kutoka au kutengenezwa nchini mwake kama lugha, utamaduni, vyakula, bidhaa za viwanda, timu za michezo, wana michezo wake, na kila kitu kizuri kinachotokana na nchi yake.

Kuwafundisha na kuwahamasisha watu wake wa karibu kama familia, ndugu, majirani na marafiki kuwa wazalendo kwa kuipenda na kujitoa kwa ajili ya nchi yao.

-Mifano ya Wazalendo wa kweli.

Rais wa kwanza wa Tanzania Mwalimu Julius Kambarage Nyerere anaweza kuwa mfano mzuri wa Mtanzania Mzalendo kwani anaingia katika sifa zote 10 hapo juu.

Edward Moringe Sokoine pia anawekwa kwenye orodha ya watanzania wazalendo ambao kwa kweli waliipigania hii nchi na watu wake na rasilimali zake hata na kupoteza maisha yake.

Rais John Magufuli nae anaingia katika nafasi ya tatu kama Mzalendo wa kweli katika Taifa la Tanzania kwani anaingia katika sifa zote kumi nikizozitaja hapo juu.

Kwa namna ya pekee pia Rais Magufuli anaingia katika mioyo ya Watanzania kama Mzalendo namba moja kwa sasa baada ya kuvunja rekodi ya miaka 30 katika awamu tatu zilizopita.

Miaka 10 ya Mwinyi,Mkapa na Kikwete walishindwa kuhamia Dodoma,kwa kuwa walikuwa hawana hela,Awamu hii ya Magufuli amehamia Dodoma,hilo moja.

Mashirika ya Umma yalibinafsishwa kwa kuwa Serikali ilishindwa kuyaendesha,Hivi sasa Mh Rais Magufuli anayafufua mashirika ya Umma yakiwemo TTCL,ATCL na kununua ndege 10.hilo la pili.

Mh Rais Magufuli anajenga reli ya Standard gauge,Bwawa la Umeme la Stigglers Gorge ambalo awamu ya Mwinyi alishindwa,Awamu ya Mkapa alishindwa ,Awamu ya Kikwete alishindwa,Sasa bado useme Kinana na Makamba ni Mashujaa!? Kwa nini tusiseme Dr Bashiru ni shujaa!?

Uwepo wa Mungu umlinde Rais John Magufuli,Baraka za Mungu ziende nae,Serikali yake na Taifa letu la Tanzania,Mapenzi ya Mungu yakatimizwe katika Taifa la Tanzania.

Nikiishia hapa,Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
UPUUZI tupu.andiktupu.andiko
 
Back
Top Bottom