Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Umenikumbusha kitabu cha "All is falling down" na "Things fall apart"

Umenikumbusha enzi za division mkuu dah!!

Makamba is someone decided to have naked himself!!
Kilichotokea ni rahisi sana! Ndani ya ccm kuna kikundi cha kimafia na kilipata nguvu mno wakati wa utawala uliopita... Hiki kina siri za watu wengi sana wamekaa nazo kama asset
Few days ago January akasimama kuusema vibaya utawala wa Kikwete! Utawala ambao yeye ni sehemu yake!!! Akaunanga sana bila kujali maumivu waliyo nayo wale wenzake walioachwa na Magu
Yeye kachukuliwa na Magu Kama asante ya kufanikisha wizi wa kura kwahiyo alipaswa kukaa kimya, lakini akajiona msafi sana, mafia wale wakaingia kazini wakafanya yao wakamtupia chizi mange naye akafanya yake
 
Dogo hujifanya smart sana....

Huyo dadake alikuwa wa kina Rostam na anaonekana anapenda mno wenye PESA!!!

Ila mtendwa hutendwa hawa waswahili wakiumizana mi sijali coz ni watu wasio kuwa na shukrani...

Sikutegemea ukaribu uliokuwepo kati ya Makamba Family na Lowassa hii family imdhalilishe kiasi kile na mwenzao asijibu kitu!!!

Waswahili sina huruma kwao and I really hate them!!!
We mavi waswahili ndo akina nani? Au unamzungumzua raisi wako maana ndo anayeweza kiswahili tu
 
We mavi waswahili ndo akina nani? Au unamzungumzua raisi wako maana ndo anayeweza kiswahili tu
Unayauliza mavi? Eh yamekuwa hayo rais wangu anajua kiswahili tu? What has been gone wrong? Maana nakumbuka huyo raisi wangu anayefahamu kiswahili tu ulikesha hapa kumpigania aende ikulu!!!
 
Kilichotokea ni rahisi sana! Ndani ya ccm kuna kikundi cha kimafia na kilipata nguvu mno wakati wa utawala uliopita... Hiki kina siri za watu wengi sana wamekaa nazo kama asset
Few days ago January akasimama kuusema vibaya utawala wa Kikwete! Utawala ambao yeye ni sehemu yake!!! Akaunanga sana bila kujali maumivu waliyo nayo wale wenzake walioachwa na Magu
Yeye kachukuliwa na Magu Kama asante ya kufanikisha wizi wa kura kwahiyo alipaswa kukaa kimya, lakini akajiona msafi sana, mafia wale wakaingia kazini wakafanya yao wakamtupia chizi mange naye akafanya yake
Niliingia chimbo kupata connection ya Mange na huyo mwitaliano na kinachoendelea.... Nimesikia na kubaini mengi....

January ktk hili bora angenyamaza coz wenzie wamekusanya furushi la taarifa na wapo tayari kwa pambano kuu!!!!
 
Yani ulivyosema ni yakuvuana nguo tena za ndani alaf chafu sana"
Dah uandishi wako kiboko sasa sijui unaelezea chupi hapo au nn?
 
Nipo na popcorn hapa na drinks nasubiri movie.
 
Is Next what? Presidaa au
Hapana kwenye scandal km hizi!!!,there was a point huku mtaani kwamba hakuna namna ya kuwa bana hao jamaa!!!, untouchables


Ila kinachofanyika ni kuwagombanisha na media maana ndo walitumia kupanda!!!,

Sasa mastermind kapata mjanja mwenye master plan!!!....

What would magufuli do???

Very challenging

Sent from my LG-D320 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom