Na india siku hizi hakuendeki ghafla, labda kwa ghalama za familia.Kunaweza kuche na taarifa za msiba wa ghafla [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sikuwahi mpenda lowassa ila matusi ya hao waswahili yalinifanya nianze kuwa na sympathy kwake....
Nikikumbuka Makamba alivyobebwa na kuwa karibu na Lowassa kiasi cha kuwahi tamka hadharani huko nyuma kuwa yeye mgombea wake Lowassa sikuamini alivyomdhalilisha kiasi kile....
Hata kama ni tofauti za siasa mbona Magufuli... Mkapa etc hawakutoa mashambulizi personal kiasi kile zaidi ya hao waswahili JK...na Makambas?
Nimejifunza sitofanya urafiki tena na mswahili for the rest of my life....
Ni wanyama!!!
Na india siju hizi hakuendeki ghafla, labda kwa ghalama za familia.
218,300,000,000/= Tshs or Two hundred point three billions (in words)Unazijua 100m$ ?
Ujinga mtupu....
Hicho kibint ni loud speaker tu!Kwa hiyo hicho kibinti kinatumiwa tu, sio?
Jambo ambalo nimekuwa nikilihisi kwa muda mrefu.
And who is to say na chenyewe hakilipwi....
January hana kosa lolote hakupokea pesa kutoka kwa huyo mzungu koko pesa alipewa dada yake
Si umuulize huyo Mwamvita au Mange kuliko kuwa mvivu wa kusearch na kuja kuuliza walioletewa taarifa?Sasa tutajie huyo mtaliano jina lake nani na ana toka kampuni gani kule italy ambayo ni kinara wa kujenga bandari
Hata mama Tibaijuka alipewa hela ya mboga na kaka yake Rugemalilandio nashangaa pesa apewe dada mtu lawama apewe january..watu wengine wa ajabu sana
!Kabisa Mkuu maana hii siri ni nyeti sana, CCM ni ile ile oooh ni ile ile
Hata tibaijuka alipokea pesa kutoka kwa lugemalila
Anastahiri = anastahili
Kwani kuna kesi gani mahakamani hata uwaambie wapeleke ushahidi?nendeni mpeleke ushahidi mahakamani mlivyo wapumbavu mnakuja huku kwenye mitandao haiwasaidii chochote mtabaki tu na chuki zenu za kipumbavu...