Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Makamba ndio sababu Lowasa sio Raisi leo
Yeye ndio aliweka watu wa mitandao hadi JF ikazimwa
 
Hiyo ndiyo battle iliyotarajiwa baada ya JK na EL.....
8db4dab0be534da3551c12dbf351c734.jpg
 
Kilichotokea ni rahisi sana! Ndani ya ccm kuna kikundi cha kimafia na kilipata nguvu mno wakati wa utawala uliopita... Hiki kina siri za watu wengi sana wamekaa nazo kama asset
Few days ago January akasimama kuusema vibaya utawala wa Kikwete! Utawala ambao yeye ni sehemu yake!!! Akaunanga sana bila kujali maumivu waliyo nayo wale wenzake walioachwa na Magu
Yeye kachukuliwa na Magu Kama asante ya kufanikisha wizi wa kura kwahiyo alipaswa kukaa kimya, lakini akajiona msafi sana, mafia wale wakaingia kazini wakafanya yao wakamtupia chizi mange naye akafanya yake
Sasa January yupo na Ruge wamejichimbia sehemu na Utitiri wa waganga wa kienyeji wanapanga jinsi ya kupangua mawe na kumkomoa mange na umoja wa Vijana unasukiwa Zengwe pia , Makamba baba Yao na yeye yupo busy na Ndumba hii ni Hatari wameamua kukomaa na nguvu za giza wakidhani watakwepa hilo JIPU .
 
Sasa January yupo na Ruge wamejichimbia sehemu na Utitiri wa waganga wa kienyeji wanapanga jinsi ya kupangua mawe na kumkomoa mange na umoja wa Vijana unasukiwa Zengwe pia , Makamba baba Yao na yeye yupo busy na Ndumba hii ni Hatari wameamua kukomaa na nguvu za giza wakidhani watakwepa hilo JIPU .
Nimeshaisoma hii kwenye radar
 
Niliingia chimbo kupata connection ya Mange na huyo mwitaliano na kinachoendelea.... Nimesikia na kubaini mengi....

January ktk hili bora angenyamaza coz wenzie wamekusanya furushi la taarifa na wapo tayari kwa pambano kuu!!!!
Safari hii January kupatikana licha ya kukwepa Kipindi chote cha JK ambapo alitunga sheria za Mitandao ili kujilinda na maovu yake , mwaka huu atairoga mpaka JF akumbuke kifo cha nyani miti yoote huteleza.
 
Acha the bald head asemwe na avuliwe nguo. Yani malipo ni hapa hapa duniani. Alivyokuwa mstari wa mbele kumuaibisha mzee wetu ngoyai kipenzi cha wote yeye na kampani yake alizan yuko salama. Wametumia mabilioni ya walipa kodi kumtukana EL.
Ndio yeye mkuu.. Kama una bifu na mtu yoyote hata Rais Mstaafu we mpigie tu simu amalizane nae kimtandao. Nimempa jina la " weather reporter "
 
Safari hii January kupatikana licha ya kukwepa Kipindi chote cha JK ambapo alitunga sheria za Mitandao ili kujilinda na maovu yake , mwaka huu atairoga mpaka JF akumbuke kifo cha nyani miti yoote huteleza.
Mtenda hutendwa...!!!
 
Mtenda hutendwa...!!!
January wizi kaanza kitambo tokea ule mladi wa Sugu alimpora kisha akaanzisha kampuni ya kuleta wawekezaji huko wengi wakapigwa Kwa kisingizio cha kupelekwa kuonana na Rais huku pesa za kampeni bilion 1.7 nazo akapiga kimya kimya hadi Magufuli alipagawa , kilichookoa jahazi ni Serikali ya China kumwaga pesa Kwa wingi , magu tumbua JIPU Hilo hiki kitakuwa kipimo bora
 
System ime jam ndio maana yametokea yote haya
Ni kweli mkuu mwisho wake umewadia, kifo cha nyani miti yote huteleza , lakini ikumbukwe pesa za Zanzibar na za meya wa Dsm keshavuka kaanza mipango yake mibaya hivyo huenda Magufuli akamvumilia mpaka amalize hizo kazi mbili za kuwavurunga upinzani
 
January seems like a good guy...sema ndo hivyo you can resist everything but not temptation..let me see how he recovers..maana najua ameshinda JF kufuatilia thread zinazo muhusu...good luck
 
Kwa kweli nafurahi sana kuona hata January anayejiona ana akili sana mpaka kufikia hatua ya kumkashifu Mkuu wetu mapicha ya ajabuajabu naye ni sawa na Nguruwe tu aliyetoka kweli gari Kali,kupita kwenye zulia jekundu na kula uchafu

Now its your turn,fisadi mkubwa
 
Back
Top Bottom