Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

mshana jr

Natumai kunaelekea kukucha Salama Mkuu bila Msiba.
So far hakuna taarifa yeyote Mbaya...
Ila.Bado kuna Dakika kadhaa kabla halijakuchwa Kabisa
 
Binafsi huwa simpendi huyo binti ila kwa January nimemkubali coz huyo kijana anajifanya mjuaji mno ilhali ni mweupe kichwani!!!!
Hata simjui binti namsikia sikia tu. Hata hivyo tuhuma hizi ambazo dada amekubali sauti zina harufu isiyo nzuri

Wasi wasi wangu ni pale January alipokuwa mmoja wa mwaziri waliochelewa kujaza fomu za maadili na mali.

Nikiunganisha na hadithi hadithi hizi, nadhani Jan ana la kutueleza

Tumpe muda wa kujitetea, ninaona ukungu kwa majibu mepesi anayotoa

Dada kasema sauti ni yake!
 
Hata simjui binti namsikia sikia tu. Hata hivyo tuhuma hizi ambazo dada amekubali sauti zina harufu isiyo nzuri

Wasi wasi wangu ni pale Jamuary alipokuwa mmoja wa mwaziri walichelewa kujaza fomu za maadili na mali. Nikiunganisha na hadithi hadithi hizi, nadhani Jan ana la kutueleza

Tumpe muda wa kujitetea, ninaona ukungu kwa majibu mepesi anayotoa

Dada kasema sauti ni yake!
January naye kakiri kupokea pesa lakini alimuomba dadaake...hii colabo tamu sana
Dada kakubali sauti ni yake
Kaka kakubali kupokea hela
Bado chorus tuu
 
January naye kakiri kupokea pesa lakini alimuomba dadaake...hii colabo tamu sana
Dada kakubali sauti ni yake
Kaka kakubali kupokea hela
Bado chorus tuu
Ana haki ya kujibu tuhuma au kukaa kimya
Tatizo si yeye, ni muunganiko wa mambo

1. Ni waziri ofisi ya Rais
2. Ni kampeni meneja wa Rais

Mpeni ujumbe,atoke kufafanua hata kama ni uzushi

Anaweza kushikilia nguzo akaremka nazo. Nina hofu
 
Just watching, naomba mwenye full story atuwekee hapa ili tuelewe vizuri Samhani lakini. Huyu dogo simpendi yaani sijui tu. Anajifanya anajua sana kusambaza
 
Kama si kweli basi huyo dada aliyeandika hiyo kashifa wamchukulie hatua kali kwa mjibu wa sheria ya makosa ya mtandao ili iwe fundisho kwa watu wa aina hii!

Mange Kimambi amewashika pabaya the Makambas kama Edward Snowden vile. Anainformation za kutosha kuwadestroy kabisa.
 
Kilichotokea ni rahisi sana! Ndani ya ccm kuna kikundi cha kimafia na kilipata nguvu mno wakati wa utawala uliopita... Hiki kina siri za watu wengi sana wamekaa nazo kama asset
Few days ago January akasimama kuusema vibaya utawala wa Kikwete! Utawala ambao yeye ni sehemu yake!!! Akaunanga sana bila kujali maumivu waliyo nayo wale wenzake walioachwa na Magu
Yeye kachukuliwa na Magu Kama asante ya kufanikisha wizi wa kura kwahiyo alipaswa kukaa kimya, lakini akajiona msafi sana, mafia wale wakaingia kazini wakafanya yao wakamtupia chizi mange naye akafanya yake

This now makes sense. Asante sana mkuu.
 
Ofcoz jamaa aliniudhi alipomsema JK siwezi mtete kamwe,,, ila naona UKAWA povu zinawatoka zaidi sijui kwanini?!
 
January wizi kaanza kitambo tokea ule mladi wa Sugu alimpora kisha akaanzisha kampuni ya kuleta wawekezaji huko wengi wakapigwa Kwa kisingizio cha kupelekwa kuonana na Rais huku pesa za kampeni bilion 1.7 nazo akapiga kimya kimya hadi Magufuli alipagawa , kilichookoa jahazi ni Serikali ya China kumwaga pesa Kwa wingi , magu tumbua JIPU Hilo hiki kitakuwa kipimo bora

Jimboni Bumbuli uchaguzi wa 2015 mgombea wa CHADEMA ndiye aliyekuwa nyota yao, mpiga madili akacheza na kura alizopata zilizidi hata idadi ya wapiga kura. Chezea mixture ya Msambaa na Mhaya wewe.
 
sifa moja kuu ya mswahili ni UNAFIKI

Sikuwahi mpenda lowassa ila matusi ya hao waswahili yalinifanya nianze kuwa na sympathy kwake....

Nikikumbuka Makamba alivyobebwa na kuwa karibu na Lowassa kiasi cha kuwahi tamka hadharani huko nyuma kuwa yeye mgombea wake Lowassa sikuamini alivyomdhalilisha kiasi kile....

Hata kama ni tofauti za siasa mbona Magufuli... Mkapa etc hawakutoa mashambulizi personal kiasi kile zaidi ya hao waswahili JK...na Makambas?

Nimejifunza sitofanya urafiki tena na mswahili for the rest of my life....

Ni wanyama!!!

Naamini Lowassa anajuta sana kupoteza muda na waswahili....
Hivi waswahili ni akina nani au ni watu wa aina gani?
Hii kitu kidogo inanipa shida aiseeee
 
Kama si kweli basi huyo dada aliyeandika hiyo kashifa wamchukulie hatua kali kwa mjibu wa sheria ya makosa ya mtandao ili iwe fundisho kwa watu wa aina hii!
Achukuliwe hatua kwa lipi. Uwe unasoma wanayoandika wenzako.
 
January hana kosa lolote hakupokea pesa kutoka kwa huyo mzungu koko pesa alipewa dada yake
 
Niliingia chimbo kupata connection ya Mange na huyo mwitaliano na kinachoendelea.... Nimesikia na kubaini mengi....

January ktk hili bora angenyamaza coz wenzie wamekusanya furushi la taarifa na wapo tayari kwa pambano kuu!!!!

Madada zetu wanapenda wadhungu
 
Back
Top Bottom