JERUSALEMU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 3,156
- 3,627
You are a Great thinker of our times!! kimsingi utagundua kuwa kwa hulka ya yule binti Mange kimambi kamwe asinge jua kitu kama kile halafu akae kimya! akengekua amesha ropoka siku nyingi sana. hicho kitu kapenyezewa na watu wa karibu na ile familia iliyo maliza utawala wake.unajua hawajui tu hii kitu inako elekea kuwa ni zaidi kuvuana nguo.Yawezekana kuwa ni kweli ule mpango Makamba alikuwa anaufanya lakini alitumwa!! mwisho wake ni mbaya kwelikweli ila waswahili huwa hawana aibu.waacheni waumbuane tufaidike kujua mengi.Kilichotokea ni rahisi sana! Ndani ya ccm kuna kikundi cha kimafia na kilipata nguvu mno wakati wa utawala uliopita... Hiki kina siri za watu wengi sana wamekaa nazo kama asset
Few days ago January akasimama kuusema vibaya utawala wa Kikwete! Utawala ambao yeye ni sehemu yake!!! Akaunanga sana bila kujali maumivu waliyo nayo wale wenzake walioachwa na Magu
Yeye kachukuliwa na Magu Kama asante ya kufanikisha wizi wa kura kwahiyo alipaswa kukaa kimya, lakini akajiona msafi sana, mafia wale wakaingia kazini wakafanya yao wakamtupia chizi mange naye akafanya yake