Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Pombe hana ubavu wa kukugia hilo ni uakika nikacho kisema labda angekuwa mwanaukawa tungeskia magazetini
 
Hilo ndio kosa kubwa la January, otherwise hakuna mtu mwenye akili timamu angeona kosa la January hapa, kwa heshima za kiafrika ni dharau kubwa kumdai kaka pesa ulizomuhonga dada yake ukiwa kwenye mapenzi nae.
Unaowaambia yote haya wanajitoa akili tu, wameshawahi wao katika maisha yao kukutana na hali za aina hii, sio wageni wa mazingira ya mtu kutumia fedha ya shemeji.
 
habari ya mjini! jibu hoja hapoo juu kuna member anauliza wakina makamba wana majumba ya kupanga pesa wametoa wapi?(sio mimi fatilia mjadara!)

pili katika ili waziri makamba ajitokeze aseme kama anazaririshwa? we habari ya mjini ni nan wake?
Sasahv Makamba anatafuta watu wa kuwaset wamtetee na labda hata anawaahidi donge nono. Hii nchi mara nyingine ina mambo ya ajabu,kwanini asichukuliwe hatua mara moja kama wengine?

Katika hili hata kupewa muda wa kujitetea hakutakiwi.
 
Hawa wapumbavu wanaowadhalilisha waswahili hapa wanakaa kwenye miji ya waswahili . Kama kweli mnawachukia na kuwatusi waswahili rudini makwenu.
 
Afukuzwe kazi kwa kosa gani hasa?


Hiyo vita waachieni wenyewe ni mambo ya siasa na maslahi binafsi ya wanasiasa kama mjuavyo siasa za ki afrika nyingi viongozi wanakuwepo kwa maslahi yao na familia zao wala sio kwa ajili ya wananchi wao na maendeleo ya nchi.
 
Ana kosa la kutumia madaraka kujipatia pesa isivyo halali, ni sawa na mfanyakazi wa tra anapomtumia fundi viatu kumpokelea rushwa. Marope ana kosa la kupokea rushwa hata kama aliyempa mkononi ni dada yake.
 
Hiyo vita waachieni wenyewe ni mambo ya siasa na maslahi binafsi ya wanasiasa kama mjuavyo siasa za ki afrika nyingi viongozi wanakuwepo kwa maslahi yao na familia zao wala sio kwa ajili ya wananchi wao na maendeleo ya nchi.

Naanza kuhisi uwepo wa majungu na visasi kwenye hii so called kashfa.

Lakini ngoja nisubiri zaidi nione kama kutakuwepo na developments zozote zilizo na mashiko kabla sijatoa mkataa wangu.
 
Naanza kuhisi uwepo wa majungu na visasi kwenye hii so called kashfa.

Lakini ngoja nisubiri zaidi nione kama kutakuwepo na developments zozote zilizo na mashiko kabla sijatoa mkataa wangu.


Ni kuwapa muda tu kama tujuavyo Tanzania ni nchi iendeshwayo kwa matukio..na hili ni mojawapo!!
 
January kakubali alipokea pesa na dada yake kakubali sauti ni yake na anadaiwa na huyo mzungu. Wapo wapi wale Condom waliokuwa wanatetea jana hapa nakumtukana Mange ??? Kama mnampenda Kipara mshaurini aache madili machafu.

Duc in Altum
 
Makamba amekubali alipokea pesa na Dada yake kakubali audio ni yake na Mzungu anamdai. Katika hali hii watu wanaozidi kumtetea Makamba au Mwamvita hawana tofauti na Condom na wana njaa na 10000 za kula ugali kwa mama ntilie. Wanakataa jambo ambalo mhusika amekubali.

Duc in Altum
 
Jimboni Bumbuli uchaguzi wa 2015 mgombea wa CHADEMA ndiye aliyekuwa nyota yao, mpiga madili akacheza na kura alizopata zilizidi hata idadi ya wapiga kura. Chezea mixture ya Msambaa na Mhaya wewe.
Mkuu najua Baba ke mgosi, je bald man mamake ake mhaya?
 
KAMA JIBU LAKO NI NDIYO WEKA "N" NA KAMA JIBU LAKO NI HAPANA WEKA "H".
Kwa mtindo huu hatuwezi kuendelea, tutabaki makondoo tuu, je ukiwa mleta tuhuma anakisasi na makamba!
Mtu haiwezi kufukuzwa kwa tuhuma na kwa ushahidi wa mitandao hautoshi, ajitokeze hadharani anayemtuhum athibitishe tuhuma na ushahidi uwepo.
Mleta mada uko too low mkuu
 
Acha the bald head asemwe na avuliwe nguo. Yani malipo ni hapa hapa duniani. Alivyokuwa mstari wa mbele kumuaibisha mzee wetu ngoyai kipenzi cha wote yeye na kampani yake alizan yuko salama. Wametumia mabilioni ya walipa kodi kumtukana EL.
Nani kipenzi cha wote? Acha kupotosha.
 
January kakubali alipokea pesa na dada yake kakubali sauti ni yake na anadaiwa na huyo mzungu. Wapo wapi wale Condom waliokuwa wanatetea jana hapa nakumtukana Mange ??? Kama mnampenda Kipara mshaurini aache madili machafu.

Duc in Altum
Still january ana kiburi cha atafanywa nini maana ndie alikua mastermind wa michongo mibovu ya kummaliza lowassa na ni kama vile Magu azungushi kwake, ni sawa na hausigel kakufumania na mchepuko aaf kapika msosi mbichi utamfukuza au utamwacha
 
Back
Top Bottom