NITAKUWA! domo kaya nisipo sema jambo juu ya ili!
kwanza Makamba, najua kama ni kweli basi sasahivi unahaha pamoja na usalama wa taifa wasio jua umuhimu wa kazi yao, kumtafta hyu dada.
pili naomba usalama wa taifa mmtafte hyu dada awape ushaidi, na mmperekee Magufuli amtumbuie mapema, iwezekanayo ili ni jipu jipya haraka lintakiwa likamuliwe haraka.
Makamba najua umo humu ndani jitokeze haraka ujisafishe na kashifa nzito mwanaccm ovyo wewe kijana ushakuwa na tabia za mijizi ya ccm ile mikubwa? toka ewani uongeee.
tatu jkuzulu nafasi uliyonayo urudi shule na ukimaloiza shule usije tanzania, bakia nje usje mwizi mkubwa(lakini kama kweli rafiki yangu mpenzi)