Wanne mbaroni kuhusiana na kesi ya James Temba

Wanne mbaroni kuhusiana na kesi ya James Temba

Ila siku moja...akili yangu inaniambia Kuna utekaji utakosa plan na itakuwa aibu ya mwaka kwa wenye mfumo wa kuteka...na Kila kitu kitakuwa wazi
Da... unasubiri tena ukose plan gani wakati kuna matukio mengi yameshatokea. Sativa alielezea kila kitu na wahusika. Hata Ali Kibao, Polepole, hawa serikali haiwezi kukwepa. Polepole alipokoswakoswa kwa mara ya kwanza na dada yake kuchukuliwa, mbona wahusika walijulikana?
 
Na kipigo wanachotoa kama una haujawa jambazi sugu, hutoboi hata dk 1 lazima uanze kuwatajaa
Mkuu kuna watu wanajua kupiga,,, unagongwa mpaka inafikia kipindi hata kama huhusiki na mauaji una wish bora tu ungehusika ili ukawaletee tu hicho kichwa.
 
Ila haya mambo ya kuua inabidi may be ukiua uwe peke yako,, maana mkigiana simu tu kwenye mipango ya kuua baadae wanakuja ku track.. pia ikitokea mwenzako amekamatwa wakiminya mbupu tu lazima akutaje, maana mtu hawezi akakubali mbupu zake zipasuliwe kwa ajili ya kulinda misimamo ya kutotajana.
 
Yule dada aliyepiga simu kwa wazazi wake ndo amewachoma wenzake

Wasubirie hukumu yao ya kunyongwa tu
 
Da... unasubiri tena ukose plan gani wakati kuna matukio mengi yameshatokea. Sativa alielezea kila kitu na wahusika. Hata Ali Kibao, Polepole, hawa serikali haiwezi kukwepa. Polepole alipokoswakoswa kwa mara ya kwanza na dada yake kuchukuliwa, mbona wahusika walijulikana?
Nakuelewa mkuu...
Lakini itakuja kutokea kwa uwazi ambao watashindwa kujificha...
Sio kwamba watu hawajui nani anahusika na hizi drama za kuteka

Watu wanajua sana...na baadhi ya watu waliopo huko jikoni hawapendi...na wananyamaza tuu ili familia zao zisilale njaa...
 
Inaumiza mno, Ila ulivyounganisha dots na mimi ni hivyo hivyo pia, yule dada aliepiga simu ambae ndie huyo Happiness, atakua ndie aliekua akimegwa na huyo dogo Temba ila nadhani alikua ni mke wa huyo jamaa wa maabara. Hao wengine watakua ndio "killing squad" waliotumwa kumfanyizia Temba huo ukatili wote. Siku hizi kukamata wahalifu si kazi sana maana tracking inaanzia kwenye simu kwa mtuhumiwa wa kwanza, halafu inahamia kwenye miamala, messages na movement za location. Na kuna simu zingine zina camera zinajirecord automatilly bila hata mwenye simu kujua only sisi vijana wa Mossad ndio tuna utaalam huo. Kifo cha huyu dogo kimeniuma sana sana. Innaihlayhi wainnaihyi rajioun. RIP.
Tumia akili, ina maana wewe ukiongea na mimi kesho watekaji wakapita na mimi waanze uchunguzi na wewe ilihali hujui lolote na hata kuua kunguni tu huwezi

Hii inafanyika nchi za kiza tu kama Tanzania, Europe haitumiki
 
Mkuu kuna watu wanajua kupiga,,, unagongwa mpaka inafikia kipindi hata kama huhusiki na mauaji una wish bora tu ungehusika ili ukawaletee tu hicho kichwa.
Polisi hasa majaaa ya ant robbery au yale ya ofisi za ma RCO ... mmh! hapana aiseeee unaweza kila makosa mambo yasiwe mengi, unapigwa hadi unakojoa damu tu
 
Mkuu miaka 23 tayari anajua baya na zuri
Wachache sana wa huo umri wanaweza kufanya ukatili wa namna hii
Yani hii sio kuhusu kukomaa akili, ni ujinga na ukatili
Yani kama uthibitisho ukionekana ni asilimia 100 wanahusika, then ni kuwanyonga tu bila huruma
Miaka 23 ni dume zima linaelewa linachofanya
Mtoto wa kiume wa miaka 23 hata hajielewi kimaisha anaweza kuwa hata kaajiriwa miaka minne iliyopita ila still ni zwazwa
 
Sana maana kwa kitendo walichofanya ni zaidi ya unyama,
Mtu anazikwa bila kichwa wazazi,ndugu jamaa marafiki lazima waumie sana

Ova
Hapo ss uchawi unageuka muhimu sana kulipiza kisasi
 
Detectives mnaojitutumua humu nawauliza kichwa Kiko wapi mpaka sasa? Au mpo humu ku spinn mambo na kupoteza LENGO?

Watuhumiwa ni manunda walio kubuhu wamegoma kutaja kichwa Kiko wapi?

Subirieni ripoti ya polisi na mstake kutupotosha humu kuunganisha unganisha dots za uongo na kweli.
 
Yule dada aliyepiga simu kwa wazazi wake ndo amewachoma wenzake

Wasubirie hukumu yao ya kunyongwa tu
Wenzake wamegoma kutaja kichwa kilipo? Mpaka Leo wanahojiwa tu? Pelekeni mawazo na fikra beyond that.

What if walio KAMATWA SIO wahusika? What if wamesukumiwa mzigo tu?

What if what if...!!!!!?

Na ikiwa ni wahusika lakini hawajataja kichwa kilipo basi tupigie msitari kuwa hao jamaa wa nne ni manunda zaidi ya magaidi waliokula darasa tangu utotoni mwao.
 
Wenzake wamegoma kutaja kichwa kilipo? Mpaka Leo wanahojiwa tu? Pelekeni mawazo na fikra beyond that.

What if walio KAMATWA SIO wahusika? What if wamesukumiwa mzigo tu?

What if what if...!!!!!?

Na ikiwa ni wahusika lakini hawajataja kichwa kilipo basi tupigie msitari kuwa hao jamaa wa nne ni manunda zaidi ya magaidi waliokula darasa tangu utotoni mwao.
Tuwaachie jeshi la polisi
 
Ila haya mambo ya kuua inabidi may be ukiua uwe peke yako,, maana mkigiana simu tu kwenye mipango ya kuua baadae wanakuja ku track.. pia ikitokea mwenzako amekamatwa wakiminya mbupu tu lazima akutaje, maana mtu hawezi akakubali mbupu zake zipasuliwe kwa ajili ya kulinda misimamo ya kutotajana.
Hizi kazi zinawenyewe
Wakifanya hawaachi traces zozote!

Ova
 
Wenzake wamegoma kutaja kichwa kilipo? Mpaka Leo wanahojiwa tu? Pelekeni mawazo na fikra beyond that.

What if walio KAMATWA SIO wahusika? What if wamesukumiwa mzigo tu?

What if what if...!!!!!?

Na ikiwa ni wahusika lakini hawajataja kichwa kilipo basi tupigie msitari kuwa hao jamaa wa nne ni manunda zaidi ya magaidi waliokula darasa tangu utotoni mwao.
Huko kuna sehemu wakipelekwa hakuna cha ununda mkuu
Nakumbukaga zamani pale
Staki shari kulikuwa na muhembe unaitwa msema kweli????

Ova
 
Huko kuna sehemu wakipelekwa hakuna cha ununda mkuu
Nakumbukaga zamani pale
Staki shari kulikuwa na muhembe unaitwa msema kweli????

Ova
Sasa kama ni hivyo na hao ndio watuhumiwa kwanini kichwa hakijapatikana mpaka sasa don't you smell something rat here?
 
Back
Top Bottom