Wanaume acheni kudhalilisha miili ya wanawake

Wanaume acheni kudhalilisha miili ya wanawake

Wanawake ndo mmekosa maadili ndo maana mnaishia kubakwa na kufanyia mambo ya ajabu.


Asiye na maadili ni yupi? Aliyebaka au mwanamke anayefanya mambo ya ajabu au wote? So why you called out a woman huyu mwingine ukam-reserve… what does this tell about you.?
Mwanamke anayejiheshimu hata wanaume huona haya kumwendea.. Ni nyie ndo mmekosa tabia nzuri, mnavaa nguo za uxhi mnategemea kuleta picha gani kwa jamii?
As a christian woman who wears baibui/dashdash sometimes , i can atest to this.. kuna almost equal number of being hitted by men, kama tu ukivaa kawaida, kama tu ukivaa shorts, Tofauti ni makundi ya wanaume, kila mtu na kundi lake anachagua mwanamke aliyevaa kwa anavyopenda yeye. Kama unaelewa nachozungumza ni kwamba: Mavazi hayamkingi mwanamke kutoka kwa predators. Ndio maana kuna kundi lingine la watoto wa kike/kiume na wazee wanaobakwa, kule kwa taliban wanabakwa, vitani wanabakwa (wanawake wamekonda na kupauka bado wanabakwa)

Kutumia mavazi kujustify vitendo vya udhalilishaji ni kuchagua njia rahisi ya kutokea, sheria kwa kulijua hilo haijaweka hii excuse.

Rudi kwenye mada.
 
Na wewe fikiria dysfunction kwa bigger picture... Inaanzia kwenu wanawake... Msio na heshima kwa waume zenu...

Unampa trauma mwanaume anaenda kubaka mtoto mdogo.

Yaani nyie huwa hamjui ya kuwa nyie ndo nurturing gender?

Umeshawahi kusikia msemo unasema mwanamke akisoma jamii imesoma? Mzizi wa fitna na mbomoko unaanza kwenu nyie wanawake wabishi wabishi mlio tumia elimu zenu kuuza ego uchwara..

Nyie ndo mnaosababisha jamii iteseke.
What? You are a proof that human beings will argue about everything.

😂😂😂😂


Hii mada ni rahisi mno, sikutegemea any illogical argument. It’s just a black and white haihitaji hizi tantalila unazoleta.

Tunazungumzia rape kama immorality na kama crime.
 
Kama nini? kua mwanamke kamuita mwanaume njoo unibake?
Hivi nikuulize swali mbona jamii za wazungu wanavaa vichupi na vibikini ila hawabakani? ushajiuliza hilo swali?
Mimi nipo huku kanda ya ziwa ripoti za matukio ya ubakaji zinatishaa hawa wamama na vibinti wanavaa magauni na masketi marefu na bado wanabakwa,
Acha kuhalalisha ubakaji, haijalishi mwanamke kavaaje, kakaaje, mwili ni wake haimpi haki mtu mwingine kumuingilia bila ridhaa yake, ijue haki yako binti.
Mkuu, sijahalalisha ubakaji kwa sababu ya mavazi, ukiangalia sentensi yangu nimeandika “Kuna muda” nilimaanisha hii pia inaweza kuwa ni sababu moja wapo katika sababu nyingi.
 
Upo sahii kwa maelezo yako.,what about wanaobaka wanyama??..Kuna watu wakiona mbuzi tu gari linawaka,tatizo inakua nini pale?tako la mbuzi,upaja au manyonyo??..
Mzee acha kuleta habari za vichaa hata mbwa hawezi kwenda kubaka nguruwe
 
Asiye na maadili ni yupi? Aliyebaka au mwanamke anayefanya mambo ya ajabu au wote? So why you called out a woman huyu mwingine ukam-reserve… what does this tell about you.?

As a christian woman who wears baibui/dashdash sometimes , i can atest to this.. kuna almost equal number of being hitted by men, kama tu ukivaa kawaida, kama tu ukivaa shorts, Tofauti ni makundi ya wanaume, kila mtu na kundi lake anachagua mwanamke aliyevaa kwa anavyopenda yeye. Kama unaelewa nachozungumza ni kwamba: Mavazi hayamkingi mwanamke kutoka kwa predators. Ndio maana kuna kundi lingine la watoto wa kike/kiume na wazee wanaobakwa, kule kwa taliban wanabakwa, vitani wanabakwa (wanawake wamekonda na kupauka bado wanabakwa)

Kutumia mavazi kujustify vitendo vya udhalilishaji ni kuchagua njia rahisi ya kutokea, sheria kwa kulijua hilo haijaweka hii excuse.

Rudi kwenye mada.
Acha kukimbia biological evidence kwa kuangalia scenario zenye ukakasi..

Kwanini tukatae kitu kilicho wazi?...

Hizo za wazee ni special unakuta ni kutokana na mila potofu au machafuko watu wanafanya kulipia visasi na kwaajili ya mchungu fulani

Linapokuja swala la bailojia nimekwambia hiyo psychology haina chance tena.. Utakataa kisa huna hoja.

Usiwe mbishi kwenye hilo
 
Haha eti nakubwenga 😂

Dr. We ni mzanzibar au wa mtwara?

Ndani ya mada: Wanawake/wamama tunakosea katika malezi ya watoto wa kiume, Familia na jamii haijawahi kum-reward mtoto wa kiume kwa tabia njema, ila akifanya malice ndio utasikia huu ndio uanaume.

Sitegemei matokeo tofauti ya yale yote yaliyofanyika katika makuzi.

NB: katika kundi hili kuna watu wamejielea wenyewe, wamejilea mtaani.

Btw, kuitwa feminist katika dunia ya sasa ni kitu bora zaidi kuliko kuwa pickmisha (internalize misogynists)

Fact
 
Guys, wallah leo nimechafukwa sana ukija hapa uje na akili timamu, nina kirungu changu ukileta uzwazwa nakubwenga cha utosi akili ikukae sawa,

Matukio ya ubakaji wanawake na watoto wa kike ni mengi hadi natetemeka lakini haya yote yanaletwa na wanaume wapumbavu wanaoangalia mwili wa mwanamke kama chombo cha starehe,

Hivi nyie wanaume miili ya wanawake ina tofauti gani na yenu? ile kujazia jazia hata nyie mmejazia, wembamba hata nyie kuna wembamba, manyonyo hata nyie kuna wenye nayo, nini shida jamani mbona mnatukosesha amani wanawake?

Mwanamke akivaa kiguo chake kifupi atembee kwa raha zake inakua gumzo lakini mwanaume akivaa kiguo kifupi husikii kabakwa au kadhalilishwa, miili mbona ni ile ile tu,

Mbona watu wa zamani walikua wanaishi uchi na hakukua na matukio ya ubakaji wala udhalilishwaji, hiki nini mnafanya nahisi hadi kichefu chefu,

Ifike mahala sasa tutaichukua heshima yetu kwa nguvu, haiwezekani kila siku nyinyi tu, kuna wengine humu humu hizo tabia chafu mnazo, unajisikiaje kushika titi la mwanamke bila ridhaa yake au kushika tako la mwanamke ambaye huna mahusiano nae?,

Hakuna mwili unaohalalisha ubakaji,
Hakuna vazi linalohalalisha ubakaji,
Hakuna tabia inayompa mtu haki ya kuvuka mipaka ya mwingine,

Tujenge jamii inayohehimu wanawake bila kufanya miili yao kua sababu ya lawama au udhalilishaji,

Nikisema hii gender ifutwe naitwa feminist.
Ukioma unabakwa kwa sababu ya kuvaa nguo fupi fahamu yafuatayo.
1. Umevaa vazi ambalo haliendani na mazingira uliyopo.
2. Upo kwenye tamaduni tofauti.
3. Upo na wrong company.

Huwezi kujiamulia tu kuingia na kimini chako matako wazi kariakoo au ukaenda uswahilini sana au ukaingia kwenye vilabu vya pombe huko ni kuhatarisha uchi wako.

Uhuru wowote una mipaka na mwisho wa uhuru wako unapoishia ujue ndio tamaa ya mwenzako inapoanzia.

Vaa chochote kutokana na mazingira

Mbona kanisani, misikitini au maofisini hasa ya serikali mnajisitiri?

Uchi ni wako ila una mipaka. Nenda uhamiaji na kimini chako kama utahudumiwa.
 
What? You are a proof that human beings will argue about everything.

😂😂😂😂


Hii mada ni rahisi mno, sikutegemea any illogical argument. It’s just a black and white haihitaji hizi tantalila unazoleta.

Tunazungumzia rape kama immorality na kama crime.
Huu ndo ujinga ambao si ukubali

Hata atheist huwa wanakimbia,

Hauwezi ku reduce argument kwenye logical consistency, maana binadamu hana ufinyu huo ambao unaufikiria

Yaani watu kama nyie endeleeni kuwa changanya wajinga we zenu tu.. Mnajua kabisa y'all the cause of this shit alafu kutwa mnakuja na manipulation za kumfanya mwanaume awe victim.

Nimekuuliza jukumu la ku nurture familia ni nani? Hata kwenye Bible aliyefanya Ufuska ni mwanamke periodt
 
Asiye na maadili ni yupi? Aliyebaka au mwanamke anayefanya mambo ya ajabu au wote? So why you called out a woman huyu mwingine ukam-reserve… what does this tell about you.?

As a christian woman who wears baibui/dashdash sometimes , i can atest to this.. kuna almost equal number of being hitted by men, kama tu ukivaa kawaida, kama tu ukivaa shorts, Tofauti ni makundi ya wanaume, kila mtu na kundi lake anachagua mwanamke aliyevaa kwa anavyopenda yeye. Kama unaelewa nachozungumza ni kwamba: Mavazi hayamkingi mwanamke kutoka kwa predators. Ndio maana kuna kundi lingine la watoto wa kike/kiume na wazee wanaobakwa, kule kwa taliban wanabakwa, vitani wanabakwa (wanawake wamekonda na kupauka bado wanabakwa)

Kutumia mavazi kujustify vitendo vya udhalilishaji ni kuchagua njia rahisi ya kutokea, sheria kwa kulijua hilo haijaweka hii excuse.

Rudi kwenye mada.
Sikuungi mkono,mavazi ya wanawake yasio ya heshima ni chanzo cha kudhalilishwa kwao,ingawa sisemi mara zote ni mavazi kuwa ni chanzo,nimeshakutana na hili jambo,mwanamke mtu mzima tena sio kwa bahati mbaya,amekaa chini kapanua miguu chupi inaoneka barabarani,na akaniangalia akacheka kuashiria kuwa anajua anacho kifanya,huyu naye unafikiri akitokea mwanaume akimparamia utasema kadhalilishwa...
 
Back
Top Bottom