Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,642
- 18,660
- Thread starter
- #101
Maumbile yapi unayoyasema, mwanaume na mwanamke wana kichwa kimoja kilichojaa nywele, wana macho, masikio, pua, mdomo, shingo, kifua, matiti, tumbo, mbavu, mikono, kitovu, vikojoleo, makalio, miguu, unataka twende na viungo vya ndani!!?I wonder kama wanawake mngekuwa na maumbile ya kiume, ndio tuseme dunia ingekuwa salama zaidi?
▪ Anyway sitetei ubakaji.
Najaribu kufikiria kama mtu mwenye maumbile ya tofauti anaweza kuwaza nje ya box, akajiweka kwenye position ya hao anaowaponda.
Sio unawaponda hao kwa kujifikiria wewe kwenye nafasi uliyopo, that's easy; kwasababu naamini kama nyege wote tunazo kwa kiwango sawa tu...
Sasa tofauti yetu inakuja wapi?!
Binafsi sijawahi kusikia mwanaune kabakwa na mwanamke, why.. sababu ya kimaumbile.
Haya niambie tofauti yenu ya kimaumbile ni ipi hadi umshangae mwengine na kufikia hatua ya kumbaka au kumdhalilisha?